Unamuheshimu mtu vizuri tuu kumbe usiku huwa anapiga simu kwenye radio kutoa salamu kwa watu watano
2025-06-07 07:57:19
537
Tika boy :
ww lidada una weusi mzuri adi unatia nyege 😂😂😂😂😂
2025-06-06 13:31:26
195
madaliz jr :
kama Kuna mtu anauza nyumba ya vyumba vitatu na choo ndani mwacheni auze maana ni yake
2025-06-07 08:24:27
7
ChrissCr7 :
NO REFORMS NO ELECTION
NO REFORMS NO ELECTION
NO REFORMS NO ELECTION
NO REFORMS NO ELECTION
2025-06-07 09:08:01
55
paola almontes de león :
kisa Cha kutafutwa nirogwe nn
2025-06-06 13:01:53
7
Philippe Karangwa :
Follow me 🥰
2025-07-11 19:41:59
0
fatma :
aku dunia bado naipenda nije nirogwe wakat sin pesa ata ya panadol
2025-06-06 16:09:06
22
Fatma Mohamed Ibrahim :
wewe unataka niuliwe wajue nina hela
2025-06-06 13:50:33
24
wizboy classic :
umenisaidia acha nishtue watu wa ushago
2025-06-07 05:17:36
19
Latyankira Shoo :
Huo ni msemo mbaya sana ambayo matunda yake ndio haya tunayo-yaona...
"kuwa mambele" SIO KUTOBOA. Na katika swala la uzalishaji wa MAUDHUI, AUTHENTICATION IS THE KEY = DO NOT FAKE "for the haters" because you don't CREATE CONTENTS for HATERS but for clients whom you are bringing SOLUTIONS to their changamoto.
AMKA AFRIKA 🌹
2025-06-27 07:18:02
9
chibu-lover :
sasa ikitokea mtu anakuja nyuma yako anakuambia msosi tayari mtakaaje hapo
2025-06-06 16:00:42
11
Mrs Gideon💍🥰🙏🙏 :
tatizo ninkua hao maadui wenyewe wako humu humu ndani wameshaskia hii video sasa pia na wao watatumia😂😂😂😂😂😂
2025-06-06 13:19:56
76
chi🇹🇿milion✅️🇴🇲 :
chakurogwa kitu gn
2025-06-06 11:12:06
14
miwani tiba :
Shida ni kwamba hii kila mtu anajua kama ni fake hivyo hatuna wa kumfakea