@magufuli.quotes: #tanzaniatiktok #tanzaniatiktok #viralvideotiktok #fypシ゚ #fyp #fypppppppppppppp #fyyyyyyyyyyyyyyyyyyy

Magufuli Quotes
Magufuli Quotes
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 08 June 2025 05:13:46 GMT
216134
11173
457
590

Music

Download

Comments

msomimshamba
msomimshamba :
anayeamini kuwa bila magufuri barabara za flyover na trein za mwendo kasi tungeishia kuziona kwa majirani, angusha like hapa🥺
2025-06-08 21:50:36
249
user54903129759751super
Super Jinde :
dah! yani mwili mpaka umesisimka na choz juu da kweli tumeondokewa na shujaa wetu aisee
2025-06-08 14:07:55
125
nestor.kazen
Cnepar_kazeeni :
safi sana
2025-07-09 07:53:53
0
peopleofpeople229_
MC ANKO P STAR :
kuendelea kufollow machawa ndo wanazidi lemaza watanzania muwa unfollow wajikute wenyewe wanao support muozo
2025-06-09 21:05:15
0
me.chawa.wa.captai
Black Eagle 🦅 :
ninacho kumbuka jpm alisema mtanikumbuka kwa mazuli na si kwa mabaya R I P MWAMBA MUNGU AKUSAMEHE KILA ULIPO KOSEA wa tz tunakukumbuka
2025-06-09 20:31:50
6
shax1238
Shax poku :
Kwan nchi imefanyej mbona sielew
2025-06-10 06:41:17
0
dickson.nhonya
Nhonya🇹🇿🇹🇿 :
kwakweli alikua rais bora ukipinga shauri yako🫡🫡🫡
2025-06-08 05:39:06
52
shirack_kwitanda
SK_THE_VAMPIRE🎙️ :
KUNA WASANII ALAFU KUNA HUYU MWAMBA NI KAMA ALIIMBA KITU AMBACHO KINAISH NA NDICHO KINACHOTOKEA SASA HVI HATA 2060 HAIJAFIKA ILA TUMEANZA KUSIMULIAAN.
2025-06-08 11:25:47
43
user9416079269288
James :
nchi ya mwenda zake ilienda nae pamoja jamani
2025-06-24 19:00:25
0
baadru__
Baadru__ :
tunawo ikubalii hii ngoma tugonge like
2025-06-11 12:10:59
12
the_african_lad
The_African_Lad😎 :
Imechukua miaka michache tu tushaanza kuadithiwa
2025-06-08 13:05:59
61
fadhilwilson931
Fadhil Wilson :
No reform no election kila video nitakayo kutana nayo😂😂😂
2025-06-08 17:23:19
75
soja8437
soja :
💪🥰👏😁 salute
2025-07-22 19:01:57
0
dar_stat
Shahrukh :
mtuyeyote anaemsema vibaya magufuli KUMA l MAMA KE
2025-08-08 22:43:17
1
user7945859915744
Nguli baba Yao :
ninacho kumbuka jpm alisema mtanikumbuka kwa mazuli na si kwa mabaya R I P MWAMBA MUNGU AKUSAMEHE KILA ULIPO KOSEA wa tz tunakukumbuka
2025-06-08 20:47:26
8
salim.abaya
SALIM ABAYA :
siyo kwa ubaya kwani hii ndo nyimbo ya taifa??
2025-06-09 22:08:48
4
dullahmsouth3
dullah msouth 🇿🇦 :
Alisem tutamkumbuka na kweli tunamkumbuka miaka 5tu Alifany vitu vikubwa huyu wa ss miaka mitan 5 bandari sio yetu ten maden kibao
2025-06-08 12:02:00
27
johnalicksimwinga
john alicksimwinga :
nakubal madee tena nakukubal kitambo. R.I.P Magu.
2025-06-08 07:22:16
31
user6704922300080
user6704922300080 :
JPM. Angetufikisha mbali sana.
2025-06-08 11:32:23
10
user5955935614226
😆 :
tamu hii
2025-08-06 10:40:24
0
ladyleo230
ladyleo♥️😘 :
magu alifanya hayo yote, na hakukopa hayo ma trillion, leo mtu kununua baskeli na magari kakopa miela yote iyo nimelia😪 ila wamejiwekea hakiba sana😂
2025-06-25 13:15:39
3
ally.ismail.mtau
ally Ismail mtau :
Amini
2025-10-08 13:13:43
1
user3560188347280
solo :
kizur hakidum
2025-06-17 16:55:05
0
hamis0770
Hamis :
mbona jamaa kama aliekuwa mbele ya MUDA??
2025-06-08 14:36:23
3
chikambare
mapenz :
lakini chadema walimpinga na mange kimavi wao mrusha video za uchi za watu
2025-06-10 06:43:22
0
To see more videos from user @magufuli.quotes, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About