@upakolive: MKE AOMBA MAPACHA DABO DABO

UPAKO LIVE
UPAKO LIVE
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 07 October 2025 19:08:32 GMT
145918
4929
627
795

Music

Download

Comments

usermsangi
MSANGI JINA KUBWA(HIYANI) :
huyu dada hatakuja kufa kwa presure
2025-10-08 02:23:20
110
user70071876016114
miss dee :
mwenzangu nimemuachia ng'ombe naomba nae apate mapacha huu upendo kiukwel sijawah ona MUNGU jibu maombi ya huyu dada
2025-10-09 02:57:58
56
promis269
🌸Golden girl 💕✨💫 :
Uyu dada amechangamka adi ananipa raha 😂
2025-10-24 08:17:51
1
czb80
Stitch Designx :
nani kasikia hamna matoto
2025-10-08 13:19:34
47
user8010977368062
user8010977368062 :
Kupitia hawa namm napokea mapacha 3
2025-10-08 03:38:27
265
itslg39
It's LG :
basi shida ipo kwa mshua kama hadi mke mwenza nae hazai
2025-10-08 04:38:14
54
user3060756256193
peter mipawa :
😃😃mbavu zangu jamn et mapacha mara dable dable
2025-10-21 04:28:24
0
candylicious858
candylicious858 :
She is a beautiful soul 🙏🙏🙏😅😅😅😅she is so happy 🙏🙏🙏
2025-10-08 07:05:17
61
biyana448
biyana :
tunge kua Wanamake wote tupo hivi tunge shinda vita zidi ya Wanaume
2025-10-08 13:02:19
26
user7364350797040cath
Cathy :
waumin wa mwamposa wamepinda😂
2025-10-09 10:23:34
3
winfridajonath
Winfridajonath :
Ee Mungu mimi siwezi hii nisamehe yaan😅😅😅
2025-10-08 07:41:59
7
my.choice704
Mrs fedrick ❤️🥰 :
Mungu anisamee mm siwez kumwombea mke mwenzangu😂
2025-10-08 08:44:46
5
queenlizzy9075
👑🇰🇪 :
nimeshangaa jicho limenitok 😯😯😲
2025-10-12 13:23:31
1
usermayalaangoshansukuma
Anthony Mayala :
nilijua tu hawa ni familia ila familia yangu nyie Daaah
2025-10-08 05:12:46
10
samiamazoea
samiamazoea❤️🥰 :
Ukutr mwanaue hazalishii😅😅
2025-10-10 19:17:21
0
sajo18_alga
Safina John :
hadi sasa wanawake wenye roho nzuri tumebaki wawili😂😂😂😂😂
2025-10-08 20:34:18
2
ester.munisi3
Ester Munisi :
Ila mkristo ni mke mmoja
2025-10-15 08:08:42
0
eneliasn
Naomie 💗 :
nimecheka Kwa nguvu eti mke mwenzangu wee shindwa pepo
2025-10-08 14:04:48
10
upendo.classic.di
upendo classic disginer :
Dada anaimani sana na watapata watoto inamaana hapo tatizo atakuwa nalo mwanaume kama mke ana miaka 11 na bado kuna mke wa pili na wote hawajazaa basi shida ni baba apokee uponyaji kupitia imani ya mke wake.Mungu atawabariki watapata watoto
2025-10-09 06:06:49
9
usermwamsojo
nnie.,, :
uyu kachanganyikiwa sio ivi ivi 🤣🤣🤣
2025-10-08 04:55:30
14
masoo.com
masoo.com :
Wakati me mke mwenzangu ananitafuta anipige mwenzangu anaombewa😅
2025-10-08 06:53:56
0
vholl2000
Veronica Hollela :
Natafsiri: ukapokee mapacha wawili na mumeo akazini na kuzaa🤗.Mdada anaongea kwa sababu hajaijua nuru bado si kosa lake.
2025-10-08 07:54:35
0
minme5
morgan mog5/8 :
Mwanamke wa kipekee sana huyu anamoyo wa upendo mnooo 🥰
2025-10-08 18:39:30
13
maryaferdinand
mama B :
ana moyo sana na upend juu🤣
2025-10-08 04:48:46
37
nyangeta.kubigwa
nyangeta Kubigwa :
Nalipenda kabila langu love you 💖💖💖 Kanda ya Victoria 😂😂
2025-10-09 04:18:21
7
To see more videos from user @upakolive, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About