@godfreynkungudaff: Kumbe ndo code hii😂😂

Mjukuu wa Bibi
Mjukuu wa Bibi
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 22 November 2025 16:20:50 GMT
506729
28243
858
2698

Music

Download

Comments

nyasharu
nyasharu :
bibi umesahau sio kuamka tu hata kudeki ,kuosha vyombo na kufua😅 mtoto anatoka copyright
2025-11-23 06:25:50
609
queenscorpion60
Mrs maher :
nani mwengn kaona 2013 juu ya mlango kweny yale matobo😁
2025-11-22 23:15:34
267
asnaa.nabeel
Asnaa nabeel🦋💫 :
ivi ni kuamka or kujojoa😂😂😂😂
2025-12-07 13:18:26
0
jaydanyasser
Jaydan_Gamer💧 :
Bibi katufumba hapo tafakari
2025-12-07 12:02:34
0
deekimambo21
deekimambo21 :
Ila kweli mi wakwangu kafanana na baba yake mbaya maana alikuwa ananiachaga kitandani asee bibi ni mkweli msimpuuze😂😂🥰🥰
2025-11-22 17:15:54
280
rachelmuhyana7
Rachel :
bibi unaongeya kweli Ila mimi najuwa tofauti bibi ameshindwa kuongeya kiundani
2025-11-22 18:44:26
34
salimogbossmtototz
Salim Og Boss MtotoT :
uliekuja kusoma comment nakuombea kwa mungu December hii upate mimba😂😂
2025-12-05 14:17:16
3
jojobackup39
🦋S.H.E… IS🫂🤎☯️🧸^*^~~@ :
ko mtoto akifanana na jiran inakuaje io bibi😂😂
2025-11-22 18:34:20
54
princebonnytz8
princebonnytz8 :
Muulize ukiwahi kuamka unaenda wapi😅😅
2025-11-22 21:58:08
39
ambawane
TSAR :
stak wafanane na mm😂😂😂
2025-11-23 09:11:20
1
user2058298449004
roby changalawe :
kaka nilikuona mpanda
2025-11-25 15:21:43
1
dukemtoto
Duke mtoto :
maana ya kuwahi kuamka kitandani kma huna D mbili huwezi elewa,,,,
2025-11-26 14:55:20
3
rukia.abdallah46
Rukia Abdallah :
bb nyoo sha maelezo bhnaa kuna kitu unaficha nataka kusikia
2025-11-26 05:35:10
1
maxinit_24
maxinIT :
maana yake tafuta hela utachapiwa😂
2025-11-24 07:36:11
61
patnation
MËDÜSÂ :
inategemea unawai kuamka unaenda wapi kama unapo pokwenda sio mbaya
2025-11-23 19:10:51
3
gfl2000
Dada G :
bibi nikiamka kitandani nikalala kwa kochi je
2025-11-28 07:43:27
5
jayboy4296
Jay Boy :
na mtoto akifanana na boss wa mke wangu iyoo imekaaje bibi🤣
2025-11-23 21:10:23
2
mrsboe19
Official Mrs boe🍫🥰 :
hiii code ni ya kweli wazeee
2025-11-27 06:32:02
2
rehemajohn711
Angel :
Uongo me mme wangu alikua ananiacha kitandani lakn mtoto anafanana na me
2025-11-23 07:35:04
1
emmy25_0
emmyG :
sema mimi ninashida private naomba bibi anisaidie nico serious 😔
2025-11-25 09:29:57
1
rosenasimiyu197
Rose02 :
jaman tushambazie hilo embe akii🥰
2025-11-22 22:22:56
1
www.tiktok.comzeynab4
zeynab :
na mwanamke ukiwahi kuamka usimruke mmeo ukimruka tu unazaa mtoto kamfanana
2025-11-24 08:20:19
2
isher168
isher💥💦 :
Niliwai sikia kwetu iyo ni kwel😂
2025-11-25 09:30:44
6
halifa_shabani
LEE47GAMER :
mm niliambiwa ukiwa unakunywa maji uku unajiangalia kweny kioo wahenga🙌🙌🙌🙌
2025-11-23 03:18:43
2
jr_tamimu.248
RAMADHANI SHILLAH :
huyu bibi hana namba ya Lipa tumchape kwa mix by yas
2025-11-22 23:56:44
2
To see more videos from user @godfreynkungudaff, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About