enyewe hapa lazima mungu amuone juu wewe huwezi muona😭😭😭
2025-12-01 09:46:06
11888
m. nady :
Blood group O Kuna mtu ako kwa ndoa kweli😂😂😂😂
2025-12-01 12:48:47
1778
Joseph konya :
mwachie tu mungu alichokufanyia kitamrudia pole sana
2025-12-02 00:58:10
3
S.O.G.E.T🇰🇪🇱🇷 :
if you're a gal buana kalenjin boys hatuongeleshwi venye unatakaa🫴
2025-12-01 08:09:31
247
_wicky_💎🇰🇪 :
Gai😭😭..
Weka number tukutumie za macho aki😭😭
2025-12-01 11:35:25
4239
💠Maliah Carey the DJ🤸💃🕺😇 :
Tutakusoport mpaka muuane
2025-12-01 11:34:38
95
Esau wekesa :
kwani alikua akikupiga tu macho pekee ama ulimwambia hauoni mkipelekana mbali
2025-12-01 08:26:21
195
User94_0 :
Ukiguza comment yangu nakuitia mechi 🥰🤭
2025-12-01 17:02:41
29
Big nation :
hiyo ni rungu ama head🤣🤣🤣🤣
2025-12-02 00:39:46
0
THËÄFRÏÇÄÑPRÏÑÇË🌍🇰🇪🪖⚓ :
WANAUME NI WENGI, WE UKICHAGUA MKALE SHAURI YAKO 😏
2025-12-01 09:37:58
1253
Rita👸❤️ :
vumilia tu kamama asikuje kuchapa mwingine 😹😹😹
2025-12-01 08:03:57
2797
Pretty_Carol🦋💜 :
I'll always advice ladies to go for rich wababaz wanakuanga so cool and caring, hawa wanaume broke ndo sikuizi wanauwa wasichana, wanakuanga na hasira za umaaskii*ni , chanukeni babygirls usiwahi vumilia umaskini na toxic relationship, mkujie connections za wababaz mkae life poa
2025-12-01 15:54:35
15
I'm a Queen👸💅✅🥰 :
40/40 kujeni
2025-12-01 11:32:55
12
Ashley🥵🥵💦💦🍾🍷 🇺🇸🇺🇸 🔐 :
Ndio maana cjaolewa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
2025-12-01 08:59:38
47
𝐁𝐨𝐲 𝐎𝐧 𝐆𝐨𝐝✨🇺🇸 :
Enyewe hapa lazima mungu amuone juu wewe huwezi muona😭😭😭
2025-12-01 17:31:54
24
HIV/AIDS :
Uko wapi nikuje nikuuwe 🥺🥺
2025-12-01 10:46:13
96
vihiga Finest, proud Luhya :
this is so unfair hadi nimeshindwa kitu ya kusema mimi personally ill never ever lay my hands on a woman never ever
2025-12-01 23:16:18
5
kizzohofficial :
Noo we can’t beat our women like this nooo its better to let them goo just don’t lay your hands on a woman be a gentleman
2025-12-01 13:41:23
41
☺️Lgee💍kadydy💦❤️ :
wenye mnacheka mnatumia makojoo Kwa kichwa, this is not something to laugh about💔🤦
2025-12-01 18:09:18
49
Its Mokeira Ali✨❤️ :
Hakuna cha mungu kulipa kujia p3🙏🙃😒😒😒😒😒
2025-12-01 12:13:53
319
🌹🇶🇦WINFRED🦋 :
Usiniambie ni juu ya ndoa 🤣😂😂
2025-12-01 11:36:27
12
Dalaziii :
Lakini kusema ukweli sionangi aja ya kuumiza mtoto wa mtu. Kama ni ndoa ama mapenzi imekataa mwambie aende kwao kwa amani.
2025-12-01 11:27:24
1279
Mercy ✨ :
ndio maana nilisema kwa kina ndoa lazima niende na hii😩😩
2025-12-01 14:24:26
34
💖💝 shammy 🔥 :
kama huko ndio kww kina ndoa acha nikae kwetu...... lakini mbona upige mtoto wa mtu hivi jameni 😔😔
2025-12-01 04:54:09
12
@jossie💜💝 :
Wale wa kulike video twende nalo
2025-12-01 11:09:26
13
To see more videos from user @user3753659708381, please go to the Tikwm
homepage.