@shustryi_dimon_tf2: #рекомендации #tf2 #tf2memes #tf2meme #тф2 #тимфортресс2

Шустрый Димон!
Шустрый Димон!
Open In TikTok:
Region: RU
Saturday 15 January 2022 08:42:29 GMT
1971696
175597
811
2508

Music

Download

Comments

tatar_net_mongol
Tatarka :
XD
2022-01-15 09:02:48
1
bootvlz_xexe
bootvlz :
Expiration Date:
2022-09-25 08:43:07
0
ultraobeme3000
∆|м@ :
So
2022-09-17 07:16:22
0
legostrange123
Lego Strange =/ :
clutch or kick?🤨
2022-09-16 16:51:54
0
armatura7773
арматура. :
Играть на шпионе потому что это сложный, но полезный класс ❌ Играть на шпионе потому что он совершил соитие с матерью скаута✅
2025-06-24 05:43:16
37
pizdec_nahui75767574
я запрещаю есть детей :
жтза
2025-06-30 15:22:56
6
rustf2enjoyer
Scot. :
флэш в банке вкуснее
2022-01-15 11:13:29
1633
zitrrraxx_jugger
zitrrraxx_jugger :
если человек не может играть за скаута выход один:бонк!
2022-01-15 08:55:08
1293
hecu.grunt
World :
Мне кажется флеш в бутылке вкуснее чем флеш в банке
2022-01-16 21:35:51
798
toxa_2287
Тоха :
оу у меня такая же шляпа в тф2
2024-08-25 15:38:22
9
kriwapl1
_Kriwapl1_ :
ода слава Богу 42🙏❤️СЛАВА 42🙏❤️АНГЕЛА ХРАНИТЕЛЯ 42 КАЖДОМУ ИЗ ВАС🙏❤️БОЖЕ ХРАНИ 42🙏❤️СПАСИБО ВАМ НАШИ БРАТУХИ🙏🏼❤️ХРАНИ БОсса💯Слава Богу 42🙏❤️СЛАВА
2025-03-07 04:48:10
8
adskoedrislo
Wife :
Ну наконец-то, я ждала этот мем
2022-01-15 11:15:13
291
melkiy._.8
♡_♡ ¤_¤ ●_● ☆_☆ •_• ._. :
я пытаюсь позвать офецанта моргая азбукой МОРЗЕ
2023-11-28 10:30:57
32
pashaa4386
pasha :
где найти оригинал
2022-01-15 09:37:14
72
poplmluk
самсурик :
он прав
2022-05-21 08:27:12
186
gogoloid_69
я запрещаю Гоголь Кинни :
жиза
2025-03-06 18:37:18
5
pybr0_tf2
Пибрентий Драгунов Сергеевич :
критокола лучше 😎 ну ладно, ладно всё....
2022-01-15 08:58:22
51
the_first_is_hole
TheFirstRunowolf :
вот вам смешно, а я данного "мцфайзера" не только кинню, но и мейню... назовёте меня имбецилом и будете абсолютно правы.
2024-12-16 16:28:38
26
xleb674
Starling :
согл с инцифайзером
2022-05-21 05:45:06
16
user1791018490586
всевидящий Блекмор :
на протяжении ближайшей недели ходить к маме скаута?...
2025-01-03 05:33:20
10
cr1psus_hanahak1
Крипсус Ханахаки :
Украду идею? Заранее спасибо
2022-02-02 16:30:12
11
iiijietta
тр :
мне папа сказал выклуючить компютер или он размажет меня по клавиатуре но я сказвл нет потому что я независеммый от своих родиллсмоплслсшгег7п7оонз50а
2022-05-21 16:04:35
6
leonardo200492
LeoNardo2004 :
флеш в тарелке есть вилкой вкуснее
2023-11-28 10:00:11
13
.2287560
стэндоф онвог (наоборот) :
смысла игры?
2025-06-23 17:40:45
1
thetim2010
TheTim :
а я пиро мэйн))))))))))))
2025-06-23 20:03:41
3
To see more videos from user @shustryi_dimon_tf2, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

SOMO 1: Kum.30:10-14 Ukiwa utaifuata sauti ya Bwana, Mungu wako, kwa kuyashika maagizo yake, na amri zake zilizoandikwa katika chuo hiki cha torati; ukimwelekea Bwana, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote. Kwa maana maagizo haya nikuagizayo leo, si mazito mno kwako, wala si mbali. Si mbinguni, hata useme, Ni nani atakayetupandia mbinguni akatuletee, aje atuambie tusikie, tupate kuyafanya? Wala si ng'ambo ya pili ya bahari, hata useme, Ni nani atakayetuvukia bahari, akatuletee, aje atuambie, tusikie, tupate kuyafanya? Lakini neno li karibu nawe sana, li katika kinywa chako na moyo wako, upate kulifanya. WIMBO WA KATIKATI: Zab.69:13,16,29-30,32-33, 1. Nami maombi yangu nakuomba wewe, Bwana, Wakati ukupendezao; Ee Mungu, Kwa wingi wa fadhili zako unijibu. Katika kweli ya wokovu wako. Ee Bwana, unijibu, maana fadhili zako ni njema, Kwa kadiri ya rehema zako unielekee. (K) Enyi mmtafutao Mungu, mioyo yenu ihuishwe. 2. Nami niliye maskini na mtu wa huzuni. Mungu, wokovu wako utaniinua. Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo, Nami nitamtukuza kwa shukrani. (K) 3. Walioonewa watakapoona watafurahi; Enyi mumtafutao Mungu mioyo yenu ihuishwe. Kwa kuwa Bwana huwasikia wahitaji. Wala hawadharau wafunga wake. (K) 4. Maana Mungu ataiokoa Sayuni, na kuijenga miji ya Yuda, Wazao wa watumishi wake watairithi, Nao walipendao jina lake watakaa humo. (K) SOMO 2: Kol.1:15-20 Kristo ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote. Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni viti vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake. Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika yeye. Naye ndiye kichwa cha mwili, yaani, cha Kanisa; naye ni mwanzo, ni mzaliwa wa kwanza katika wafu, ili kwamba awe mtangulizi katika yote. Kwa kuwa katika yeye ilipendeza utimilifu wote ukae; na kwa yeye kuvipatanisha vitu vyote na nafsi yake, akiisha kufanya amani kwa damu ya msalaba wake; kwa yeye, ikiwa ni vitu vilivyo juu ya nchi, au vilivyo mbinguni. SHANGILIO: Mdo.16:14 Aleluya, aleluya! Fungua moyo wetu, Ee Bwana, ili tuyatunze maneno ya mwanao. Aleluya! INJILI: Lk.10:25-37 Siku ile, mwanasheria mmoja alisimama amjaribu, akisema, Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele? Akamwambia, Imeandikwa nini katika torati? Wasomaje? Akajibu akasema, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote; na jirani yako kama nafsi yako. Akamwambia, Umejibu vema; fanya hivi nawe utaishi. Naye akitaka kujidai haki, alimwuliza Yesu, Na jirani yangu ni nani? Yesu akajibu akasema, Mtu mmoja alishuka toka Yerusalemu kwenda Yeriko, akaangukia kati ya wanyang'anyi; wakamvua nguo, wakamtia jeraha, wakaenda zao, wakimwacha karibu ya kufa. Kwa nasibu kuhani mmoja alishuka kwa njia ile; na alipomwona alipitia kando. Na Mlawi vivyo hivyo, alipofika pale akamwona, akapitia kando. Lakini, Msamaria mmoja katika kusafiri kwake alifika hapo alipo; na alipomwona alimhurumia, akakaribia, akamfunga jeraha zake, akizitia mafuta na divai; akampandisha juu ya mnyama wake, akampeleka mpaka nyumba ya wageni, akamtunza. Hata siku ya pili akatoa dinari mbili, akampa mwenye nyumba ya wageni, akisema, Mtunze huyu, na chochote utakachogharimiwa zaidi, mimi nitakaporudi nitakulipa. Waonaje wewe, katika hao watatu, ni yupi aliyekuwa jirani yake, yule aliyeangukia kati ya wanyang'anyi? Akasema, Ni huyo aliyemwonea huruma. Yesu akamwambia, Enenda zako, nawe ukafanye vivyo hivyo. Nasadiki husemwa.
SOMO 1: Kum.30:10-14 Ukiwa utaifuata sauti ya Bwana, Mungu wako, kwa kuyashika maagizo yake, na amri zake zilizoandikwa katika chuo hiki cha torati; ukimwelekea Bwana, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote. Kwa maana maagizo haya nikuagizayo leo, si mazito mno kwako, wala si mbali. Si mbinguni, hata useme, Ni nani atakayetupandia mbinguni akatuletee, aje atuambie tusikie, tupate kuyafanya? Wala si ng'ambo ya pili ya bahari, hata useme, Ni nani atakayetuvukia bahari, akatuletee, aje atuambie, tusikie, tupate kuyafanya? Lakini neno li karibu nawe sana, li katika kinywa chako na moyo wako, upate kulifanya. WIMBO WA KATIKATI: Zab.69:13,16,29-30,32-33, 1. Nami maombi yangu nakuomba wewe, Bwana, Wakati ukupendezao; Ee Mungu, Kwa wingi wa fadhili zako unijibu. Katika kweli ya wokovu wako. Ee Bwana, unijibu, maana fadhili zako ni njema, Kwa kadiri ya rehema zako unielekee. (K) Enyi mmtafutao Mungu, mioyo yenu ihuishwe. 2. Nami niliye maskini na mtu wa huzuni. Mungu, wokovu wako utaniinua. Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo, Nami nitamtukuza kwa shukrani. (K) 3. Walioonewa watakapoona watafurahi; Enyi mumtafutao Mungu mioyo yenu ihuishwe. Kwa kuwa Bwana huwasikia wahitaji. Wala hawadharau wafunga wake. (K) 4. Maana Mungu ataiokoa Sayuni, na kuijenga miji ya Yuda, Wazao wa watumishi wake watairithi, Nao walipendao jina lake watakaa humo. (K) SOMO 2: Kol.1:15-20 Kristo ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote. Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni viti vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake. Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika yeye. Naye ndiye kichwa cha mwili, yaani, cha Kanisa; naye ni mwanzo, ni mzaliwa wa kwanza katika wafu, ili kwamba awe mtangulizi katika yote. Kwa kuwa katika yeye ilipendeza utimilifu wote ukae; na kwa yeye kuvipatanisha vitu vyote na nafsi yake, akiisha kufanya amani kwa damu ya msalaba wake; kwa yeye, ikiwa ni vitu vilivyo juu ya nchi, au vilivyo mbinguni. SHANGILIO: Mdo.16:14 Aleluya, aleluya! Fungua moyo wetu, Ee Bwana, ili tuyatunze maneno ya mwanao. Aleluya! INJILI: Lk.10:25-37 Siku ile, mwanasheria mmoja alisimama amjaribu, akisema, Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele? Akamwambia, Imeandikwa nini katika torati? Wasomaje? Akajibu akasema, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote; na jirani yako kama nafsi yako. Akamwambia, Umejibu vema; fanya hivi nawe utaishi. Naye akitaka kujidai haki, alimwuliza Yesu, Na jirani yangu ni nani? Yesu akajibu akasema, Mtu mmoja alishuka toka Yerusalemu kwenda Yeriko, akaangukia kati ya wanyang'anyi; wakamvua nguo, wakamtia jeraha, wakaenda zao, wakimwacha karibu ya kufa. Kwa nasibu kuhani mmoja alishuka kwa njia ile; na alipomwona alipitia kando. Na Mlawi vivyo hivyo, alipofika pale akamwona, akapitia kando. Lakini, Msamaria mmoja katika kusafiri kwake alifika hapo alipo; na alipomwona alimhurumia, akakaribia, akamfunga jeraha zake, akizitia mafuta na divai; akampandisha juu ya mnyama wake, akampeleka mpaka nyumba ya wageni, akamtunza. Hata siku ya pili akatoa dinari mbili, akampa mwenye nyumba ya wageni, akisema, Mtunze huyu, na chochote utakachogharimiwa zaidi, mimi nitakaporudi nitakulipa. Waonaje wewe, katika hao watatu, ni yupi aliyekuwa jirani yake, yule aliyeangukia kati ya wanyang'anyi? Akasema, Ni huyo aliyemwonea huruma. Yesu akamwambia, Enenda zako, nawe ukafanye vivyo hivyo. Nasadiki husemwa.

About