Unexplainable,at least mtu unakuwa umepass that stage ya mbele Mungu ndo anajuwa tu😂😂
2024-05-15 19:02:34
2
nanki dennis1256 :
form six Mazinde ndo usisemee
2024-06-04 17:35:26
0
CBM. :
Tanzania ni nchi inayozalisha wajinga wengi na wachache wenye akili za kuzaliwa ndio wanasurvive ila mifumo yetu ya elimu inazalisha watu wajinga wajinga sana
2025-05-13 13:23:39
5
Girl❤️🩹🫶🪄 :
🤣🤣😂ila Arts wanashida sana
2025-05-12 13:56:03
7
Frida Paul :
AMBAO TULIKIMBIA SIX😂😂😂..........LIKE KULE🤣🤣🤣🤣.......
2025-05-13 17:00:43
5
MAFUWA :
Mnauwakika pakuanzia nn au mnasheheleekea kuludii home huku jua tu yaan hata mbuzii kuku wanao dhurura bala balani hawapo yaan nyii haya
2025-05-15 11:28:11
1
Tom benenga :
bora mnge endemea kusoma lwenzenu nilikua hvy hvy ila natembeza makava ya cm sas hv chaja
2025-05-15 02:14:24
1
Farry Missago :
karibun chuon mshindie mihogo mlalie mihogo afadhali huko mlikua mna uhakika wa ugali maharage huku n km mmeruka majivu af mnakuja kukanyaga moto🤣🤣
2025-05-13 16:37:36
2
Nica cute🥰 :
Tuwaache tuu waikute dunia tusiwaambie watatupiga😂🤣🤣🤣
2025-05-14 16:56:17
1
ngongaboy :
ukute wanafurahia kurud mtaani kufanya vibarua vya kubeba taka😂😂
2025-05-10 15:54:41
4
KIVYELE 🇹🇿TZ :
njooni mtaani tuuze mkongo original kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣
2025-05-10 18:56:46
1
Naryan :
😂😂 mkikaa jinsia moja sehem moja wote mnakosa akili ndo madhara haya japo elimu ya advance shikamoo ila awajamaa jau sana
2025-05-15 11:10:25
0
Ernie :
Waje huku tu saidiane kusubiri boom😂
2024-05-15 18:09:24
3
REBEKA JOSEPH :
ila kuhitimu bwana nakumbuka sku tunahitimu kidato cha 4 tulijifungia darasan kuchezaa