@faynesssichalwe: Akaunti 5 za akiba na Uwekezaji 1. Dar es salaam Stock Exchange(DSE) CDS akaunti hii inakuwezesha kuwa mwekezaji katika soko la hisa na kuweza kununua japo kuanzia hisa 10 @dsetanzania 2. Bank of Tanzania CDS hii ni akaunti inakuwezesha kushiriki minada ya hatu fungani na kuweza kuwa mwekezaji kwa kuikopesha serikali na Serikali itakulipa coupons(Riba) kwa mwaka ambayo inatolewa mara mbili kwa mwaka (after every six month).Kumbuka kila jumatano kuna mnada inakuwepi kupitia website ya BOT @bankoftanzania_ 3.Mifuko ya uwekezaji wa pamoja (Collective schemes) Tuna UTT Amis na Faida Fund hii mifuko unaweza kuanza kuweka akiba kuanzia shiling 5,000 na kuendelea @faida_fund @watumishi_housing_investments @utt.amis 4.SACCOS au VICOBA ni vikundi vya kiuchumi vyote vina malengo sawa isipokuwa mfumo wa uendeshaji. Kwenye hizi vikundi unapaswa kuwa mwanachama na kuweza kuweka akiba na kunufaika na faida zingine 5.Bima- Ni akaunti muhimu sana ambayo inakulinda na majanga wewe na mali zako ni muhimu sana kuwa na bima mbali mbali ili kujilinda

faynesssichalwe
faynesssichalwe
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 21 May 2024 16:28:10 GMT
166304
5707
154
1464

Music

Download

Comments

luka.ngongomi
Luka :
mi naomba kujua zaidi kuhusu UTT AMIS
2024-07-14 13:26:15
1
juliasjeremy
julias e_Jeremy :
hizi akaunti zipo na faida sana lakini watu wengi watuna elimu nayo🥺
2024-06-07 13:56:53
13
vivanniel
Vivanniel :
kwa kawaida riba 2M kwamwiz ni kias gan
2025-07-22 18:17:48
0
neematulamuona1
neema_tulamuona :
baada ya kufungua DSE kiganjani lazima uwe na broker ili uweze kununua hisa zako, mana wakati wa kufungua wanakutaka uchagua broker wako.
2025-06-17 17:14:41
2
asiahango
asiahango🧿 :
tuanzie hapa hisa Ni nn!?
2024-06-27 12:35:59
6
mpoki51
user7045236192601 :
saccos au vikoba wao wanapatikana wap?
2024-05-22 02:00:53
2
user2547192820919
egodfrey90 :
unalo what's up group
2024-05-27 04:02:50
4
skyrocket234
@ ed_Xen 23 :
Sasa nimerudi kumsikiliza huyu mama baada ya sakata la LBL
2025-02-27 08:32:02
2
denoh220
Vatican auto care :
mm kz nawezawekeza
2025-07-29 18:04:24
0
manmyself
Manmyself :
Tahadhar sehemu yoyote penye mkono wa serikali usiweke hela yako....ikiingia huko kutoka utasaga meno!
2024-07-12 19:23:49
2
levina039
levina039 :
Natamn kuelewa zaidi juuu ya ununuaj wa hisaa
2024-05-22 02:22:24
16
user3017873510270
user3017873510270 :
Asante.. natamani kupata elimu hii..
2024-05-23 13:44:23
2
user8618547744039
mama Fifi :
natamani kujua zaidi dada lakini sipo Tz
2024-07-26 14:36:46
0
babashakur
Baba Shakur :
tupe SACCOS nzuri za kujiunga
2024-06-09 23:15:25
2
ruben_nchakaly1
Reuben Nchakaly :
#LINK-PESA sio Mchezo LINKPESA Sio Game LINKpesa sio mchezo ya pata potea LINKPESA NI fursa inayokuwezesha kujiajili kwa kutumia simu yako kupitia mtandao OMBA LINK chap 0715036893🙏🏻
2025-03-02 11:08:45
1
j.com_04
Joshua Mworia :
Jamani! kwa wanaonifuata inbox, kujifunza FIC,mwisho leo! Nichek Tsap leo nikuelekeze maombi yamekuwa mengi nahitaji kuwafundisha kwa pamoja!
2025-01-27 10:13:21
1
_karem25
spartan :
mnatolea madarasa wapi?
2024-07-06 18:56:55
3
kaliboti.j7
Kalibort :
kuna elimu nahitaji kujua nianze mapema
2024-05-22 12:18:58
2
nannah366
nannah :
kwa uwekezaji wa bima karibuni sana Jubilee life insurance
2024-05-28 16:00:36
3
naomimagelanga0
naomijoseph :
Asante sana
2024-05-22 01:08:33
4
oscarkorigwa
Oscar Korigwa :
umeskia kuhusu TIMIZA FUND chini ya ZAN SECURITIES? @person
2024-06-06 17:35:28
1
nonoellah
Nono :
Tu aomba utengeneze video za kuelezea moja moja 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
2024-05-22 19:09:40
3
pishoni_home_design
The Great :
Naomba elimu zaidi dadaa nimekuelewa
2024-07-30 14:45:42
0
streetplayboy
street playboy :
hivi cds namba naìpataje maana nilijisajiri zamani na nahisi nimeipoteza
2024-06-22 18:10:55
1
To see more videos from user @faynesssichalwe, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About