@njonge: 😂😂 #fy #fyp #nairobi #kenya #foryou #foryoupage #🇰🇪

Corridor
Corridor
Open In TikTok:
Region: KE
Monday 21 October 2024 18:47:16 GMT
365458
23199
630
4107

Music

Download

Comments

designgra
Graphic Design Studio :
Kiatu yako ndio inatumiwa kuua mende😅😅
2024-10-22 06:07:23
869
joekirathe
Joe Kirathe :
na soda wanakupea krest, ndio ikunyonge uende Sayuni😂
2024-10-22 03:30:20
471
estarmichael0
Mamy :
hiyo kutumwa Sasa makalio hayagusi kiti🤣🤣🤣
2024-10-22 16:42:31
1
nikomajuu
RastaWorship🇺🇲 :
watoto wako wanatumika kuchunga wengine 😅😂
2024-10-22 14:30:28
223
owino_ian
Solly :
Alafu Wakiserve kuku wanasema upewe mguu...aty hyo ndo wewe hupenda😂😂😂
2024-10-22 16:20:19
137
bettysoni
Sonia☺️ :
Wewe ndo unafungulia watoi soda na meno😂
2024-10-22 13:23:51
242
delry88
Delicacy88 :
alafu ni bibi yako anaambiwa akaoshe matumbo 😅
2024-10-22 13:51:54
212
ndivo001
Nicholas Ndivo :
wanaonaga ni kama unaleta confusion.Alafu after umeongea wanasema"tulikuwa tumefika wapi "😂😂🤣🤣
2024-10-25 08:47:49
73
mahwira5
mah wira 🇰🇼 🇰🇪 :
hio chance itoke wapi na umekaa kwa nyasi wengine wakipewa viti😁😂 Ata hauonekani
2024-10-23 05:11:37
4
mr_cee_dangulo47
Mr Cee Dangulo :
we ndo unatumwa uende uonyeshe wageni njia
2024-10-22 15:26:35
136
serenitysphere254
Star ✨ :
Na unaambiwa kazi ni pombe 😂na wao wenyewe hupiga sherehe ata kukuliko😅😅😅
2024-10-22 08:45:23
95
kimkhali3
Kimkhali 📿 :
utaambiwa hio ni siasa umeanza 😅
2024-10-22 10:28:30
88
blessednaomy254
Naomy Wilson :
kuna huyu cousin ya mum wueh😂😂😂😂.atasema kitu na wabaki kumshuku ..give him money at your own risk....Alikula pesa ya announcement of death kwa redio😂😂😂😂
2024-10-22 17:42:54
36
kiprono.g
kiprono g :
ata hawakuulizi unatumia soda gani unapewa stoney ama krest😢😢
2024-10-22 17:02:14
63
xavier.ke
Xavier.ke :
heri uyo mii waliniambia nikusanye watoto niwapee story 😂😂😂
2024-10-23 15:09:35
23
picadilly_2
Picadilly :
Uweeee, kuna time nilisota after kuacha employment. Nakwambia hata kwa family gathering, mimi na my hustler cousin hatukubaliwi kusema occupation🤣🤣
2024-10-22 09:50:32
12
njiraini2020
Njîrainî Dennis₩♧ :
kama mimi walinichagua nikadeposit pesa ya kubuy ng'ombe kama investment,ilikuwa niongezee 20k ndio ifikike 100mpaka wa leo tunaonananga tiktok😏😏
2024-10-23 16:49:45
8
921larry
larr :
me sometimes back nilisema mtu anisaidie na 50bob ninunue dawa kichwa inaniuma sana,auntie zangu wakasema niswear ni kichwa inauma ama ni bangi nataka,nilitoka na sijaienda hizo vitu tena
2024-10-22 12:19:03
22
kajanajunkajan1
kajanajunkajan :
Ile huuma Sana NI hao makuzo hujifanya hata hawakumbuki jina yako ati tulikuwa tunakuitaje?
2024-10-22 15:20:09
51
koomejackallan478
Jack Allan Koome :
kazi ya bibi yako ni kuosha vyombo 😂, kuchonga viazi na mandizi hawezi kubaliwa apike pilau😅
2024-10-24 10:20:17
11
dcyai
Chris Onyango :
wee ndio unapewa stoney ikunyonge ukufe😂😂
2024-10-24 06:07:58
11
samadora12
mam kids :
unapeangwa matumbo uoshe na kupuliza moto ya kuni😅
2024-10-22 17:11:29
28
dennyzray6
Denny C :
Mimi ndo wananiambia nioshenye watu maali watapark🥲🥲
2024-10-23 11:22:23
11
shee_trathan
Trathan Shee :
hata siendangi😂, wacha nikazane watoi wangu wasifike hapo😊
2024-10-22 15:17:28
26
evaeve533
evaeve533 :
then unapewa stoney ukohoe ukufe😩😞😅😅
2024-11-15 13:41:46
2
To see more videos from user @njonge, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About