@livingmothernature: #godsfavor #uzazi #PID #tiktoktanzania🇹🇿 #tiktokkenya🇰🇪 #trending

Cousin
Cousin
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 10 December 2024 11:49:50 GMT
236214
2262
156
548

Music

Download

Comments

sambaiveronica3
sambaiveronica :
nimetumia mwezi ulopita now 🤰🤰 Asante sana lafiki angu anaitwa mage ndo alinipa hii dawa
2024-12-14 16:26:01
4
use4298768352738
Fetty 🥰 :
unachemsha mizizi au majani yake ?
2025-08-22 08:32:25
0
gourl_ye
Ghurly ~YE🦋🤍 :
Guys hii inasaidia for realll🔥🔥mimi nilkua na viuvimbe maji kweny uzaz wa 2CM nkatumia Mkunde yangu nasubir mpk unga 🔥🔥nmekuja kurud kufanya checkup kwa ultrasound after mwez nmekuta nmepona KBs 🙌🙌🙌
2025-10-06 12:06:28
1
haikacareen
haikacareen🦋 :
anasema mizizi ndo inachemshwa, lakini kwa picha naona majani🙆‍♀
2025-10-20 18:30:38
1
chuchunge2
chuchunge :
kwaio km umemaliza period haifai kutumia?
2025-09-08 19:53:38
0
ummy983
user2240284614351 :
coast ukiwaambia huu ni mkunde watakushangaa huu unaitwa mnuka uvundo mizizi yake ni mujarab kwa jino kma lauma five minutes waskia ziii
2024-12-11 15:35:06
5
amina.kilonga
Amina Kilonga :
samahani unakunywa ukiwa period au ukimaliza?
2024-12-11 09:49:05
4
monica.nginya
Monica Nginya :
kwahiyo unatumia kiasi gani glass moja au vipi ,pia hiyo dawa unayochemusha unakuwa unaipacha tu unakunywa had siku saba au ikimaliza siku nyingi unatafuta nyingine tena
2024-12-23 20:07:00
2
snashasam
Snasha Sam :
mm mwnyew jna ndo nimetoka kuchemsha Leo ndo nmeanza dozi naomba mngu anifanyie wepesii hii ikawe dawa yngu ya mwsho nije kuleta mrejeshoo
2024-12-11 20:26:56
5
vaileth68
Binti D 🌄 :
dada kila ninapo karibia P huwa napata vichomi vikali sehemu ya haja kubwaa naomba nisaidie dawa gani nitumie dada angu 🙏
2024-12-16 13:43:02
0
nurukibiki705
Nuru Kibiki :
Mimi naomba uniagizie nipo njombe mana sioni nimetembea sioni msada please
2024-12-11 07:26:18
2
marryabdalla
marryabdalla :
unachemsha majani na mizizi yake
2024-12-10 15:49:52
1
user6137863918304
maman Neema :
naomba unioneshe dawa ya kutowa ges kwenye tumbo na kiunguliya
2024-12-11 19:40:43
1
thomasmassaga
Thomas masaga :
mke wangu katumia sasa anamapacha💐
2024-12-17 08:34:59
5
jasminhairthiy
🦋 JASMIN🦋❤️ :
weee wa uchungu ukinywa unakat maumvu ya tumbo la preod
2024-12-10 14:42:32
2
user8723442725121babyg
babygarl :
asante saan unatumia mara ngapii
2024-12-10 13:41:41
1
princesssandiapri1
😋😍ummuakhil😉😊 :
unatumia kunywa sio
2024-12-10 19:10:25
1
user88574710299825
user88574710299825 :
mbn naon unachemsh na majan harafu kila ukitak kunywa unachemsh ten
2025-02-28 07:41:13
0
user300463068672
sophymasito :
hapa kwa uvimbe mm miguu ndo imevimba baada ya kujifungua nifanye vp
2024-12-24 21:16:35
0
user0820229969
user0820229969 :
cool
2024-12-11 07:30:36
0
winfridajastin396
winfridajastin396 :
Kama ni mjamzito unaweza kutumia ili kutibu PID
2024-12-18 08:07:22
0
latifamtandaya5
latifamtandaya107 :
nakubali sana hii dawa
2024-12-11 14:13:09
1
carolbonniface
carolbonnie💞💞 :
hii mkunde pori sijui ni nini,any kamba here tell me
2024-12-11 09:21:32
2
magesamussa656
Masamu de fighter :
hiii inatibu nini mpenz mimi uti inansumbua sana but nipo shule bado vip kuhusu kutibu mimba
2025-02-27 11:10:27
0
To see more videos from user @livingmothernature, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About