@dr_daudi_reprocare: Unajua jinsi ya kuhesabu mzunguko wa hedhi wa siku 28 na kuelewa siku zako za hedhi, hatari, na salama? 🌸 Hii hapa njia rahisi: 🩸 Siku za Hedhi: Siku 1-5 (mwezi unaanza kwa flow 🩸). 🌟 Siku Salama: Siku 6-10 na 19-28 (kipindi cha amani). 💛 Siku Hatari: Siku 11-18 (ovulation iko karibu—umakini mkubwa hapa!). Kila mwanamke ana mzunguko wake wa kipekee! Kuwa na ufahamu huu kusaidia kupanga uzazi au kuimarisha afya yako ya uzazi. 💕 Usisahau kujua mwili wako zaidi. 🙌 #Hedhi #SikuSalama #SikuHatari #AfyaYaUzazi #Mwanamke #MzungukoWaSiku28 #ReproductiveCare"_

Dr_Daudi_ŔeproÇare
Dr_Daudi_ŔeproÇare
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 18 December 2024 17:44:13 GMT
295214
2177
345
899

Music

Download

Comments

jovin.focus
Jovin Focus :
Mimi niliingia tatehe 7 nimemaliza tarehe 11 siku zangu za Atari ni lini
2025-08-11 12:53:05
5
starzomeve2
Staż😋dar :
Mimi nimeingia tareh 5 nimemaliza trh nane siku zangu za hatari ni lini dear
2025-10-08 19:21:10
1
chuitown
Chui Town :
Mimi nimeingia tarehe sita siku zangu za hatari ni zipi
2025-11-17 10:12:25
0
dawa_za_uzazi_wanawake
Dawa_za_uzazi_wanawake :
Kuhesabu calendar ni njia salama ya kujizuia kupata mimba
2025-11-17 17:13:16
0
dija.kimodo4
Dija Kimodo :
Dr mm natamani kushika ujauzito ila period zngu azipo sawa
2025-11-11 20:22:28
0
innocencia233
innocencia :
wanaopata siku tatu au mbil je na kwamwez mmoja naweza kuingia mwanzo na mwishn yan mara 2 inakuaj
2025-09-12 08:13:31
0
chimomy78225
Tiffany 🥰🧡❤️🫀❤️‍🩹🦋🦋 :
dokta mi nimeaanza talee mbili talee 6 nimemaliza je siku za atali nizipi
2025-05-07 14:06:05
0
caramelnana6
lady Rwandaa🦋 :
Eti ni kwanini siku ya 18 mmeiweka kwenye hatarii wakat inakuwaga ni siku salama,,na kama ni siku ya hatari je ukifanya hiyo siku ya 18 je ni rahisi kupata mimba
2025-04-16 05:42:30
2
janesalon33
Jane salon🌸 :
af mtowe neno danger kwa mtoto muweke 😁 happy ☺
2025-09-23 00:11:54
7
marryda19
marryda :
mm tr huwa zinabadilika lkn ya sasa ,,mzunguko wa siku33 period naenda siku 5 siku ya hatare ni siku gani dr👏👏
2025-07-15 14:53:25
0
mr.fiance5
ho-nest☺☺💖💯💯🌺 :
mai uaweza pata mimba siku ya kumalizia hedhi eet na inayofwataaa tena
2025-03-15 18:40:17
2
victoriafeston
Victoria feston :
jamn mm jimesalitiwa na hii karendaa dah nilifanya siku salama hiyo ya 9 nimetumia hii kwa mda mrefu lkn now imenisaliti nashangaa nina mimba now
2025-09-29 08:03:53
0
hmbl.by4
Hùmblé Böy :
me nakojoa mara kwa mara
2025-10-28 13:17:52
1
user21885537680383
light :
ukilala mwaume siku ya Kwanza ya hedhi unaweza kushika mimba
2025-10-11 06:44:02
0
aishatyler22
@aishatyler22 :
nanyesha tarehe 8 siku gani cez kupata mimba
2025-03-23 17:04:19
1
ushindimose1
Susan mose :
Hii inamaanisha after mp ukimaliza 5dys kuanzia siku ya sita ndo unaeza shika mimba
2025-09-09 17:42:42
0
user49395452475675
user49395452475675 :
mmi napata soku tano ila tarehe zinabadikilika zinashuka kwa tsno tano mwezi huu tarehe 30 unskuja 25 unaokuja tena 20 ivo yani .ssa naweza kutumiya table hii
2025-07-23 05:13:52
0
jeylamu
jeylamu :
Nina swali na mtu anae pata hethi taree 25 -29 siku zake za hatari ni zipi
2025-09-28 16:26:11
0
denrock
dyanna :
mm niliingia kuanzia tarehe 22-26 salama ni zipi
2025-10-10 04:22:24
0
samny706
Vannah💫💖 :
jmn meingia trh nane cku zang za hatar zinaanz lini🥺
2025-10-23 22:03:58
1
middle955
mirwilliam's3969 :
siku ya 28 ukishiriki tendo unaweza kupata Mimba?
2025-03-26 11:23:54
0
sabitina25
sabisma1 :
Nikiingia p 12 nika maliza tareh 16 nika duuh tareh 3 je naweza kupata mimba?
2025-08-04 08:57:36
0
mamashamy6
😍ms 45kikos 🌺🌹 :
me naingia 31 natoka tarehe4 siku zahatar lin
2025-10-24 10:17:50
0
cute.lee44
Cute lee🥀🌹 :
na me nikiingia 24 nikamaliz 28 cku salm na hatr n zip
2025-10-19 20:00:08
0
To see more videos from user @dr_daudi_reprocare, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About