mabraza mje mtuletee mjadala wa elimu kwa upana kbs, haiwezekani nchi yetu ina vitu/rasilimali nyingi san kama gold, misitu, vivutio vya utalii kama maziwa mbuga za wanyama n.k, afu tunafundshwa mofim
2025-03-20 16:13:00
8
user7206943071420 :
yaani huo jamaa apewe ulizi. wake
2025-05-17 15:22:51
0
Kerende Murefu :
wizara zote tz ni vitengo vya kuchuma kodi kutoka kwa wananchi.. ndo mana kila wizara ina leseni za kukuzuia kufanya chochote bila kibali(kulipia)
2025-03-20 23:21:47
9
i_am_god963 :
TBS KAZI YAKE SIO KUTHIBITISHA N KUHALALISHA,UNAKUTA SUMU INAMUHULI WA TBS NA NI CHAKULA ETI😅 WANATUONA SISI MAZWAZWA KWEL YANI,,KILA UNACHOKIONA KIPO TOFAUTI NA UNACHOFIKILI NDIO CODE INAYOTUMIKA💯
2025-03-20 13:00:11
8
JAMES JSM :
we mwenyewe ni mfugo umesoma had university
2025-03-21 13:41:35
0
Mc Mr Ticha🎤💉 :
ELIMU YAKO ELIMU YAKO OOOH HAPA NIMEKULEWA NDO MAANA MWAMBA IBRAHIM TRAOLE AMEKATAZA WATU WAKE WASISHOBOKEE KIFARANSA😤😤😤
2025-03-21 04:51:45
2
@mustapharamadhan :
pamoja bro uko sawa kabisa asimia mia
2025-03-21 17:02:20
0
doctor_mariam_afya_na_uzazi :
hakika🤣🤣🤣🤣🤣🤣
2025-03-21 06:10:26
4
NOTORIOUS MIMI🇹🇿🇲🇾 :
ktk siku duniani uliyoongea point ni LEO.
2025-03-20 14:44:47
3
felixrusingira :
naomba nafasi tuungane kufundisha watz
2025-03-22 15:25:05
0
msigwa10 :
tanzania hakuna elimu kama mtu anadegree anaenda veta kujifunza kutengeneza stuli