@freetaxguidetz: Part 82 | LIPA ADA YA LESENI NA SERVICE LEAVY KWA HAKIMASHAURI/MANISPAA KILA MWAKA✍🏻 🔘Tunatoa Ushauri mbalimbali kuhusu Uanzishwaji wa Biashara. 🔘Usajiri wa Jina la Biashara, Biashara ya Ubia (Partineship), Kampuni na Tust (Mfuko wa Uaminifu) 🔘Ushauri kuhusu Kodi mbalimbali na Forodha. 🔘Ushauri kuhusu uagiza wa Magari nje ya nchi hasa JAPAN🇯🇵 🔘Ushauri kuhusu Uagizaji wa Bidhaa nje ya Nchi. 🔘Kupata Leseni mbalimbali za Bishara 🔘Ushauri kuhusu Kulipa Tozo mbalimbali za Halimashauri na Manispaa 🔘Tunatoa Huduma za Kitaalamu (Tax Consultants) kwa watu binafsi na makampuni mbalimbali. 🔘Tunasaidia kufile return mbalimbali za Mamlaka ya Mapata (TRA) . . . . . 📌 Swali Lolote au Ushauri, Tupigie📞 ☎️0783-727-272 📍Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 ©️HAKI ZOTE ZIMEHIFADHIWA . . . . . . . . .#tanzania #tanzaniatiktok #tanzania🇹🇿 #tanzaniantiktok🇹🇿 #tanzaniatiktokers #tanzaniatiktokers #tanzaniacomedy #tanzaniasafari #biashara #biasharatiktok #bongofuntiktokers #bongo #bongofleva

freetaxguidetz🇹🇿
freetaxguidetz🇹🇿
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 06 April 2025 19:48:48 GMT
4798
107
8
26

Music

Download

Comments

afyanacalvin
single boy :
je kijiji kuna service levi
2025-05-05 05:38:27
1
cityobserver
City Observer :
kwenye tausi Service lery option ipo dormant
2025-05-03 16:43:29
0
adammj268
Adam Mj :
Hizo huduma zote tunalipia jamani lakin bado Levy tunakabwa
2025-04-27 09:44:22
0
esmails
Esmail Sumra :
Kwa maana hiyo malipo tunayotozwa na wakandarasi waliyopewa kazi ya usafi na ukusanyaji taka, hatustahili kuwalipa kwa vile tunalipa service levy?
2025-04-06 21:44:02
0
burudoza1
one kill one cover :
mara nyingi huduma zinazotolewa na halimashauri/manispaa hazilingani na gharama hizo wanazotozwa wafanya biashara mf.usafi ,ulinzi imara na usalama ,je! mteja achukue hatuagan akikosa huduma sahihi?
2025-04-06 21:40:25
0
To see more videos from user @freetaxguidetz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About