@bomber_795: Я нашел работу мечты

BOMBER SHOW
BOMBER SHOW
Open In TikTok:
Region: NL
Thursday 17 April 2025 07:55:51 GMT
3002633
181444
819
158798

Music

Download

Comments

pingvin4ikkk
P1ngvin44ik 👑 :
а за что ему деньги дают бригаду
2025-04-17 14:45:09
2220
akroshka16
AKROSHKA1 :
это игра где надо тыкать на деньги что бы их забрать?
2025-04-17 10:04:51
21842
daffydrine
daffydrine :
натапав😂
2025-04-17 18:59:04
66
17.06.201juka
✦ :
Туда сюда и миллионер
2025-04-18 04:11:51
2212
user9833594706135
Михуила :
Кто смотрит в четверг вечером?
2025-04-17 18:02:34
487
cezskiy
понал :
кто по запросу «работа »?😁
2025-06-26 08:52:39
7
sorinrailean0
Sorin Railean :
Я бы устал к каждому прикасаться 😁 Можно будет оформить отпуск через пару недель🤣 Пусть делают перечесление на карту😁
2025-04-18 14:51:25
10
a.a.damir
A.D.A :
Я бы работал без выходных.
2025-04-18 19:06:02
41
user77042437
user7166710708627 :
вакансии есть ещё? уж очень интересна эта работа 😄
2025-04-18 06:23:41
67
_340137
🦋dashun4ik🦋 :
в пятницу 11:10
2025-04-18 08:10:53
4
valik0820
Valentin_7656 :
вакансия ещё актуально?
2025-04-17 16:31:09
175
nevada_qarma28
NavADa28 :
куда резюме скидывать
2025-04-17 18:28:19
193
gvllxxon
mAki☆ :
что за игра?
2025-04-17 14:03:50
24
a.lissa_
𝐀𝐋𝐄𝐍𝐀 💋 :
Подскажите , а вакансия на это место ещё открыта ?
2025-04-18 05:40:55
264
twitch.tvjesus_two
twitch.tv/jesus_two :
моя школа
2025-04-17 12:54:07
63
liss_x009
Ли♪Сяо :
я тоже хочу тыкать на денежки чтобы они мне приходили...
2025-04-18 03:29:29
80
user12299812271577
user12299812271577 :
бригаду
2025-04-17 15:10:18
5
coocy30
вода :
Сложная, сидеть надо
2025-04-18 15:52:29
76
user1381699972557
Аринусик :
куда поступать на такую профессию????
2025-04-18 04:28:53
17
danilka5099
Danilka :
сотрудники требуются? я готов
2025-04-18 05:15:53
44
vitebsk_love
I ❤️‍🔥VITEBSK❤️‍🔥BUS❤️‍🔥 :
Я готов без выходных в 2 смены раюотать😂😂😂
2025-04-17 17:01:32
52
rpali19
DemonNz :
тап тап дед норм тапает
2025-04-18 07:19:14
13
sprigganalex
КРИНЖУЛЯ :
а немного ли движений надо неее слишком сложно еще чо есть?
2025-04-17 14:55:41
75
anastasia_21.8
Демидова :
мне и это делать лень
2025-04-17 14:51:03
30
yozh4ik
Ежик :
хм я терь понял как становятса милиардерами
2025-04-17 15:03:15
34
To see more videos from user @bomber_795, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

DOMINIKA YA 18 YA MWAKA C MASOMO> ANTIFONA YA KUINGIA: Zab.70:1,5 Ee Mungu, uniokoe; ee Bwana, unisaidie hima. Ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu, ee Bwana, usikawie. UTUKUFU husemwa. KOLEKTA: Ee Bwana, uwe karibu na watumishi wako, na uwaoneshe wema wako wa milele hao wakuombao. Na kwa hao wanaojisifia kwamba wewe ndiwe muumba na mtawala wao, utengeneze upya vilivyoumbwa, na kuvihifadhi vilivyotengenezwa. Kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo Mwanao, anayeishi na kutawala nawe katika umoja wa Roho Mtakatifu, Mungu, milele na milele. SOMO 1: Mhu.1:2; 2:21-23 Mhubiri asema, Ubatili mtupu ubatili mtupu. Mambo yote ni ubatili. Maana kuna mtu ambaye kazi yake ni kwa hekima, na kwa maarifa, na kwa ustadi; naye atamwachia mtu asiyeshughulika nayo kuwa sehemu yake. Hayo tena ni ubatili, nayo ni baa kuu. Kwa maana mtu hupata nini kwa kazi yake yote, na kwa juhudi ya moyo wake alivyojitahidi chini ya jua? Kwa kuwa siku zake zote ni masikitiko, na kazi yake ni huzuni; naam, hata usiku moyoni mwake hamna raha. Hayo nayo ni ubatili. WIMBO WA KATIKATI: Zab.95:1-2,6-9,(K)7-8 1. Njoni, tumwimbie Bwana, Tumfanyie shangwe mwamba wa wokovu wetu. Tuje mbele zake kwa shukrani, Tumfanyie shangwe kwa zaburi. (K) Ingekuwa heri leo msikie sauti yake, Msifanye migumu mioyo yenu. 2. Njoni, tuabudu, tusujudu, Tupige magoti mbele za Bwana aliyetuumba. Kwa maana ndiye Mungu wetu, Na sisi tu watu wa malisho yake, Na kondoo za mkono wake. (K) 3. Ingekuwa heri leo msikie sauti yake! Msifanye migumu mioyo yenu; Kama vile huko Meriba, Kama siku ya Masa jangwani. Hapo waliponijaribu baba zenu, Wakanipima, wakayaona matendo yangu. (K) SOMO 2: Kol.3:1-5,9-11 Mkiwa mmefufuliwa pamoja na Kristo, yatafuteni yaliyo juu. Kristo aliko, ameketi mkono wa kuume wa Mungu. Yafikirini yaliyo juu, siyo yaliyo katika nchi. Kwa maana mlikufa, na uhai wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu. Kristo atakapofunuliwa, aliye uhai wetu, ndipo na ninyi mtafunuliwa pamoja naye katika utukufu. Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu. Msiambiane uongo, kwa kuwa mmevua kabisa utu wa kale, pamoja na matendo yake; mkivaa utu mpya, unaofanywa upya upate ufahamu sawasawa na mfano wake yeye aliyeuumba. Hapo hapana Myunani wala Myahudi, kutahiriwa wala kutokutahiriwa, mgeni wala mshenzi, mtumwa wala mwungwana, bali Kristo ni yote, na katika yote. SHANGILIO: Efe.1:17,18 Aleluya, aleluya! Ewe Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, uyatie nuru macho ya mioyo yetu, ili tujue tumaini la mwito wake jinsi lilivyo. Aleluya! INJILI: Lk.12:13-21 Mtu mmoja katika mkutano alimwambia, Mwalimu, mwambie ndugu yangu anigawie urithi wetu. Akamwambia, Mtu wewe, ni nani aliyeniweka mimi kuwa mwamuzi au mgawanyi juu yenu? Akawaambia, Angalieni, jilindeni na choyo, maana uzima wa mtu haumo katika wingi wa vitu vyake alivyo navyo. Akawaambia mithali, akisema, Shamba la mtu mmoja tajiri lilikuwa limezaa sana; akaanza kuwaza moyoni mwake, akisema, Nifanyeje? Maana sina pa kuyaweka akiba mavuno yangu. Akasema, Nitafanya hivi; nitazivunja ghala zangu, nijenge nyingine kubwa zaidi, na humo nitaweka nafaka yangu yote na vitu vyangu. Kisha, nitajiambia, Ee nafsi yangu, una vitu vyema vingi ulivyojiwekea akiba kwa miaka mingi; pumzika basi, ule, unywe, ufurahi. Lakini Mungu akamwambia, Mpumbavu wewe, usiku huu wa leo wanataka roho yako! Na vitu ulivyojiwekea tayari vitakuwa vya nani? Ndivyo alivyo mtu ajiwekeaye nafsi yake akiba, asijitajirishe kwa Mungu. #catholicsoftiktok #kgmediatz #benomkatoliki #wimbowamwanzo #mkatolikidaima #catholicchoir #Bikiramaria #kwayakatoliki #ekaristitakatifu #CapCut #tanzaniantiktok🇹🇿
DOMINIKA YA 18 YA MWAKA C MASOMO> ANTIFONA YA KUINGIA: Zab.70:1,5 Ee Mungu, uniokoe; ee Bwana, unisaidie hima. Ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu, ee Bwana, usikawie. UTUKUFU husemwa. KOLEKTA: Ee Bwana, uwe karibu na watumishi wako, na uwaoneshe wema wako wa milele hao wakuombao. Na kwa hao wanaojisifia kwamba wewe ndiwe muumba na mtawala wao, utengeneze upya vilivyoumbwa, na kuvihifadhi vilivyotengenezwa. Kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo Mwanao, anayeishi na kutawala nawe katika umoja wa Roho Mtakatifu, Mungu, milele na milele. SOMO 1: Mhu.1:2; 2:21-23 Mhubiri asema, Ubatili mtupu ubatili mtupu. Mambo yote ni ubatili. Maana kuna mtu ambaye kazi yake ni kwa hekima, na kwa maarifa, na kwa ustadi; naye atamwachia mtu asiyeshughulika nayo kuwa sehemu yake. Hayo tena ni ubatili, nayo ni baa kuu. Kwa maana mtu hupata nini kwa kazi yake yote, na kwa juhudi ya moyo wake alivyojitahidi chini ya jua? Kwa kuwa siku zake zote ni masikitiko, na kazi yake ni huzuni; naam, hata usiku moyoni mwake hamna raha. Hayo nayo ni ubatili. WIMBO WA KATIKATI: Zab.95:1-2,6-9,(K)7-8 1. Njoni, tumwimbie Bwana, Tumfanyie shangwe mwamba wa wokovu wetu. Tuje mbele zake kwa shukrani, Tumfanyie shangwe kwa zaburi. (K) Ingekuwa heri leo msikie sauti yake, Msifanye migumu mioyo yenu. 2. Njoni, tuabudu, tusujudu, Tupige magoti mbele za Bwana aliyetuumba. Kwa maana ndiye Mungu wetu, Na sisi tu watu wa malisho yake, Na kondoo za mkono wake. (K) 3. Ingekuwa heri leo msikie sauti yake! Msifanye migumu mioyo yenu; Kama vile huko Meriba, Kama siku ya Masa jangwani. Hapo waliponijaribu baba zenu, Wakanipima, wakayaona matendo yangu. (K) SOMO 2: Kol.3:1-5,9-11 Mkiwa mmefufuliwa pamoja na Kristo, yatafuteni yaliyo juu. Kristo aliko, ameketi mkono wa kuume wa Mungu. Yafikirini yaliyo juu, siyo yaliyo katika nchi. Kwa maana mlikufa, na uhai wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu. Kristo atakapofunuliwa, aliye uhai wetu, ndipo na ninyi mtafunuliwa pamoja naye katika utukufu. Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu. Msiambiane uongo, kwa kuwa mmevua kabisa utu wa kale, pamoja na matendo yake; mkivaa utu mpya, unaofanywa upya upate ufahamu sawasawa na mfano wake yeye aliyeuumba. Hapo hapana Myunani wala Myahudi, kutahiriwa wala kutokutahiriwa, mgeni wala mshenzi, mtumwa wala mwungwana, bali Kristo ni yote, na katika yote. SHANGILIO: Efe.1:17,18 Aleluya, aleluya! Ewe Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, uyatie nuru macho ya mioyo yetu, ili tujue tumaini la mwito wake jinsi lilivyo. Aleluya! INJILI: Lk.12:13-21 Mtu mmoja katika mkutano alimwambia, Mwalimu, mwambie ndugu yangu anigawie urithi wetu. Akamwambia, Mtu wewe, ni nani aliyeniweka mimi kuwa mwamuzi au mgawanyi juu yenu? Akawaambia, Angalieni, jilindeni na choyo, maana uzima wa mtu haumo katika wingi wa vitu vyake alivyo navyo. Akawaambia mithali, akisema, Shamba la mtu mmoja tajiri lilikuwa limezaa sana; akaanza kuwaza moyoni mwake, akisema, Nifanyeje? Maana sina pa kuyaweka akiba mavuno yangu. Akasema, Nitafanya hivi; nitazivunja ghala zangu, nijenge nyingine kubwa zaidi, na humo nitaweka nafaka yangu yote na vitu vyangu. Kisha, nitajiambia, Ee nafsi yangu, una vitu vyema vingi ulivyojiwekea akiba kwa miaka mingi; pumzika basi, ule, unywe, ufurahi. Lakini Mungu akamwambia, Mpumbavu wewe, usiku huu wa leo wanataka roho yako! Na vitu ulivyojiwekea tayari vitakuwa vya nani? Ndivyo alivyo mtu ajiwekeaye nafsi yake akiba, asijitajirishe kwa Mungu. #catholicsoftiktok #kgmediatz #benomkatoliki #wimbowamwanzo #mkatolikidaima #catholicchoir #Bikiramaria #kwayakatoliki #ekaristitakatifu #CapCut #tanzaniantiktok🇹🇿

About