@makinitv: SERIKALI HAIINGILII MKATABA WOWOTE WA MTU ISIPOKUWA WA NDOA PEKEE -PROF. KABUDI Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akiwasilisha mada kuhusu Usimamizi wa Misingi ya Kitaifa inayojumuisha (Maadili, Miiko, Umoja, Mshikamano na Uzalendo) kupitia sekta ya Utamaduni, Sanaa, na Michezo kwenye sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa, katika Kikao kazi cha 15 cha Maafisa Utamaduni na Maafisa Maendeleo ya Michezo Tanzania, Aprili 23 jijini Dar es Salaam. " Serikali inahusika na mkataba wa ndoa moja kwa moja, ndio mkataba pekee ambao Serikali inausimamia, kwasababu familia ndio msingi wa raia wa taifa, na hao raia ndio wanakua viongozi, askari wazalendo, na ndio maana serikali inaingilia mkataba huo" amesisitiza prof. Kabudi Kikao hiki cha mafundo na mazingativu kinafanyia katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.

Makinitv
Makinitv
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 25 April 2025 10:49:09 GMT
646
62
2
2

Music

Download

Comments

roberthamis1
RobertHamis :
sasa ndoa
2025-04-29 06:45:54
0
barakajackson72
barakajackson72 :
❤❤❤
2025-04-27 05:50:35
0
To see more videos from user @makinitv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About