mama atabaki kwenye nafasi yake na mke wangu anabaki kwenye nafasi yangu kwahiyo mke wangu nitakaa nae mbele mama nyuma kwani mama si ana mume wake au?😌🥹
2025-05-02 20:22:57
2689
cute prijoma🥰🧚 :
huyo mkaka ni jiran yangu hana hata baiskel😅😩
2025-05-03 13:52:00
503
zuuh :
Mm naona bhan wanaume wa tz wote wapimwe akili
2025-05-02 14:41:32
1884
mummy Jose 💗💗 :
sawa wee khaa na mamako mbele na mm nikae na babako nyuma 🤣🤣🤣🤣
2025-05-02 18:30:55
915
Frank Boozer :
AS A MAN LOVE YOUR MUM WITH ALL YOUR HEART💯 BUT, YOUR WIFE WILL ALWAYS BE YOUR NO.1 AND LET YOUR MUM BE NO.1 TO YOUR DAD💯
2025-05-03 04:59:35
1233
stisha :
Kama mama ni kipaumbele chake bas chumbani umtangulize piaa 😂😂😂☹️
2025-05-02 15:43:28
729
Ayder💖🌹💍 :
Lakini it's always right mama kukaa front seat unless akataee mwenyewe
2025-05-02 15:38:37
221
mama_resh_mesh :
kama mama ni kipaumbele chake kaenda kutafuta mpz wa nn😏
2025-05-02 14:36:27
296
kIDDYDADY👦❤️ :
Kamuoe mamaako sasa
2025-05-02 14:58:14
499
Happy mbise :
Me sina shida akae nae at apo kwny usukan waendeshe wote me waniweke ata kwny buti kikubwa gari iwe na mziki
2025-05-04 16:05:02
646
Bahati Ryoba :
Huyu jamaa fala kweli mama anakaaje mbele, your wife is your priority😎
2025-05-02 20:26:47
44
Momovidaa21 :
Uyu kaka ni msenge kweli 😂😂 akatombane na mama akee sasa
2025-05-03 11:43:12
92
❣️ᛠΐ𝕗𝕗ã𝐧ᵧ❣️ :
kwahy mkiwa home kam mama ako akija kukutembelea alale kitandan kimoja n ww koz n kipaumbele chako au vp😳😳😳🤣🤣🤣
2025-05-02 16:18:04
8
jayclin :
Perfect cause kama n hivyo akamuoe mama ake bas
2025-05-03 07:31:44
37
Sadah ❤️🩹🫀💫 :
Tako linawasha 😂
2025-05-02 16:10:30
5
RealMe❤️ :
Ila wanaume wangetolew uume tu
2025-05-02 16:28:15
24
❣️baby 💞linah❣️ :
kwanza hilo Gali katoka wapi bhna asituone kama matako yake mtumwenyewe kavaa pensi n sokxi kunandoa kweli pumbavu anajikuta mtu mm wakaka Kam Hawa bhna wanajionag halafu hawana hela🤣🤣😡
2025-05-02 17:44:09
4
Sweetheart lawyer 😘 :
matakoo wewe kijana
2025-05-26 16:00:37
2
kimdyner :
huyo kaka mm namjua hata gari hana
2025-05-03 11:14:49
12
Sabby gal🦋 :
ww mtu anavaa kipensi na unasema ni vitu vyako ww dada ww😂😂😂😂
2025-05-02 14:59:20
512
nayah :
gari lenyewe hanaa😂😂😂😂😂😂😂
2025-05-02 15:13:56
7
gray :
mnaeza kaa na yeye mbele
nitakaa nyuma nikichat na love of my life 😂😂
2025-05-02 18:44:51
73
cecyvanny :
hilo gari unalo kwanza?em tuanzie apo,au unaimagine tu mazafaka 🤣🤣🤣🤣
2025-05-03 06:56:46
8
Thumaa Nassoro :
Mimi Niko single but nataka partner ambae Hana Baba wala mama wote Kae walikufa na pia Kae Hana ndugu
2025-05-03 11:53:09
4
Aston John Carter :
Huyu kwenye kikao hakuwepo
2025-05-04 06:46:14
9
To see more videos from user @ourlovestorypodcast, please go to the Tikwm
homepage.