@iroc.tv: Hatakiwi kuonekanaa😂😂 Bonyeza link kwenye Bio kunagalia kipindi Youtube iRoc Networks 📺 Cc. @melody_byt33 @_ms_annah In Partnership with @nbc_tanzania #BeMore #NbcKiganjani #UkigusaTuImoo#tanzaniantiktok🇹🇿 #kenyantiktok🇰🇪 #ugandatiktok🇺🇬 #rwandatiktok🇷🇼🇷🇼
Yani akithubutu kufanya hvyo tukifika mahali kunawatu wengi namuita babe kamba za viatu zimefunguka nisaidie kufunga😆
2025-05-15 04:18:57
1
swai motors tz :
Tabia yangu kabisa hiyo
2025-05-14 08:41:57
1
Totebags_tz :
Iyo yesuu wangu ya kaskazini kabisa😂
2025-05-12 12:03:33
93
Beards Of Islam :
Ukiona hivyo jua kabisa hana interest na wewe, Jamani mbona jambo liko very clear, kupo mahala ambapo nyie wanawake mnawapotezea wanaume ambao hamna interest nao na sisi wanaume pia ziko mahala tunawapotozea kama hatuwajui.
2025-05-12 12:00:12
1
BOY....UNDER✅ :
yupo na ww bs tu ila anaona hudeserve kuwa nae especially kimuonekano labda hamuendani😅😅
2025-05-12 15:44:35
5
jlo boss lady1 🥂🥂🥂🥂🥂😘😘 :
nyie niwarembo
2025-05-14 11:58:27
1
@poppinblack :
mtuache kuwa na girlfriend haimaanishi tuache kutafuta mke 😂😂 unakuta tunakoenda out naweza kutana na future wife 😂
2025-05-12 13:07:31
16
Tech Land :
Tumia Veed Captions AI kuweka naneno kwenye screen, ili mtu akiwa anaangalia hata kwenye Bajaj hata kama hana earphones basi anasikia.
2025-05-12 12:28:42
5
.mariam___ :
huyu ni bwanaangu kabisa mpka nimamua tuu kuondoka khee mchezo natamani kungekua na sehemu ya voice note niisimulie dunia duuh allloh😅😅😅😅
2025-05-14 16:53:57
3
amazing boy💤💤💝 :
tabia yangu mm kweli hio
2025-05-12 12:21:10
2
Stitch Designx :
Hizo ni Big Red Flag za kumkimbiaa mtu kama anajidai hamjuani jua wewe sio type yake runiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii my sister😅😅😅😅
2025-05-12 15:35:01
16
Sallie 💕🔐 :
kheee me alinitambulisha kwa rafiki zake ety ni dada yake sema tu mm ni mfupi iliniuma aseeeee
2025-05-25 08:33:24
0
PAPI :
Anaejua account ya uyo dada mwenye kipini amtag. Please
2025-05-12 23:06:07
0
sky boban :
sio lazima uzoeane na watu wengi tunafata protocole 😂
2025-05-14 18:30:44
1
Tee🌹🦋 :
😂au unakuta anakwambia mm ni church boy 😂nkionwa jau nyie😹
2025-05-12 12:35:15
2
🦋Therealsoso💖 :
Hmna mbon me ni mwanamke na niko hivyo inatokea tuu wala sio kwamb ni muhuni
2025-05-12 13:30:30
18
maya JP :
wapo kabisa
2025-05-14 09:13:10
0
Queen Patrick :
Mngenialika nije nichangie mada jamani
2025-05-12 12:17:58
3
Aston John Carter :
Huu mtaa watu wambea sana ebu tangulia mbele tusionekane tupo pamoja 😂😂😂