@fawazalazam: البحر دامه ركد .. لاتستفزه 👏🏼 للشاعر الكبير #عبدالكريم_الجباري #السعودية🇸🇦 #الرياض #الكويت #اكسبلور #قصائد #تصميمي

فواز العذم
فواز العذم
Open In TikTok:
Region: SA
Monday 19 May 2025 20:53:13 GMT
403119
11964
126
4040

Music

Download

Comments

albdor2020
ba.alotaibi3 :
ايش معنى النيشان
2025-05-21 22:53:23
6
b_l_a_l__515
⊰شـريــان آلــحـديدي⃟𝟓𝟏𝟓⊱⃟⊰ :
شنو اسم شاعر بربكم
2025-05-21 22:01:00
4
3saf.811
عساف ال دليم" :
صح السانك كلام من وجع عميق جدا
2025-07-17 17:08:37
0
iiouy66
فــرس 🦌 :
البحر لا ركد لا تستفزه 👌👌🔥🔥
2025-05-21 13:11:21
7
puregold561
🖐اسلام عليكم ꧁يوسف꧂ :
صح لسانك كلام ذهب ___لايفهمه غير اصحاب العقول اراجحه.. ومشاما
2025-05-21 17:10:59
3
kayan.kayan59
العبيويه :
صح لسانك ياولد الطنايا ياليت فيه رجل مثلك بهالزمن🔥👑
2025-05-24 15:15:04
4
louiaalshhadat
Louia Alshhadat :
يارجل انت الي مثلك قليل صح لسانك
2025-05-21 18:55:08
1
kall9117
، :
ي سلام ابداع 🫡🫡🫡
2025-07-01 04:44:48
1
ma.ma.88.1
🎶☕مهاوي☕🎶 :
جميل وقوي💪
2025-07-12 10:50:34
0
algareee
غريب الدار ♥♥ :
الله الله
2025-05-21 04:20:45
2
a_lbdoyah..28
💙💛🇸🇦آلَبـ☪ـدٍوٌيـ☪ـه🇸🇦 :
لاتحسب اني ليا طحت منضايق ابدااااااااع شاعر
2025-05-20 23:40:51
5
albalushi.qtr
الله يا عمري قطر الارض مونديال :
صح لسانك
2025-05-21 10:26:10
3
obeedalshammari5
عبيدصالح المفضلي ( ابوهديل) :
صح لسان الشاعر الجباري والناقل👌
2025-05-21 18:49:41
2
ali.saeed6169
Ali Saeed :
لا تحسب اني ليا طحت متضايق مبدع لك حبه خشم راقيه 🌹🌹
2025-05-21 16:41:23
2
deab.hosen.faead
وحيد القيسي🍂511🍂 :
صح الله لسانك🌹
2025-05-23 04:48:56
1
wedad12299
وداد بنت مبارك المنيّع :
رضيت بدبرةةالمولى ونا بعيشيتي راضي وينه بو انت ياحضرة القاضي 😩😫😫😫😫😩😫😫😫
2025-05-23 02:36:14
2
mohiyalden
محيى الدين الخلايله :
والنعم
2025-05-21 06:27:52
1
haif570
أبورغد الشمري :
والله صح لسانك يالجباري .
2025-05-20 21:50:16
1
abuhaaadi
Abu haaadi :
الله الله 👍🏻👍🏻👍🏻
2025-05-21 23:47:10
2
thx1x2
ولد فلة يلعب سلة :
انشهد وكفو صح لسانك الجباري والشمري
2025-05-20 22:03:17
1
abadpl
Abu Ali :
صح بوحك 💯💯💯✌️✌️✌️
2025-05-23 03:42:34
1
gsnvt
ابو حسن النداوي🦅 :
ونعم وله
2025-05-21 17:52:44
1
rlrlr75
ً :
صح
2025-05-21 12:53:37
1
To see more videos from user @fawazalazam, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

SOMO 1: Kum.30:10-14 Ukiwa utaifuata sauti ya Bwana, Mungu wako, kwa kuyashika maagizo yake, na amri zake zilizoandikwa katika chuo hiki cha torati; ukimwelekea Bwana, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote. Kwa maana maagizo haya nikuagizayo leo, si mazito mno kwako, wala si mbali. Si mbinguni, hata useme, Ni nani atakayetupandia mbinguni akatuletee, aje atuambie tusikie, tupate kuyafanya? Wala si ng'ambo ya pili ya bahari, hata useme, Ni nani atakayetuvukia bahari, akatuletee, aje atuambie, tusikie, tupate kuyafanya? Lakini neno li karibu nawe sana, li katika kinywa chako na moyo wako, upate kulifanya. WIMBO WA KATIKATI: Zab.69:13,16,29-30,32-33, 1. Nami maombi yangu nakuomba wewe, Bwana, Wakati ukupendezao; Ee Mungu, Kwa wingi wa fadhili zako unijibu. Katika kweli ya wokovu wako. Ee Bwana, unijibu, maana fadhili zako ni njema, Kwa kadiri ya rehema zako unielekee. (K) Enyi mmtafutao Mungu, mioyo yenu ihuishwe. 2. Nami niliye maskini na mtu wa huzuni. Mungu, wokovu wako utaniinua. Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo, Nami nitamtukuza kwa shukrani. (K) 3. Walioonewa watakapoona watafurahi; Enyi mumtafutao Mungu mioyo yenu ihuishwe. Kwa kuwa Bwana huwasikia wahitaji. Wala hawadharau wafunga wake. (K) 4. Maana Mungu ataiokoa Sayuni, na kuijenga miji ya Yuda, Wazao wa watumishi wake watairithi, Nao walipendao jina lake watakaa humo. (K) SOMO 2: Kol.1:15-20 Kristo ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote. Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni viti vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake. Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika yeye. Naye ndiye kichwa cha mwili, yaani, cha Kanisa; naye ni mwanzo, ni mzaliwa wa kwanza katika wafu, ili kwamba awe mtangulizi katika yote. Kwa kuwa katika yeye ilipendeza utimilifu wote ukae; na kwa yeye kuvipatanisha vitu vyote na nafsi yake, akiisha kufanya amani kwa damu ya msalaba wake; kwa yeye, ikiwa ni vitu vilivyo juu ya nchi, au vilivyo mbinguni. SHANGILIO: Mdo.16:14 Aleluya, aleluya! Fungua moyo wetu, Ee Bwana, ili tuyatunze maneno ya mwanao. Aleluya! INJILI: Lk.10:25-37 Siku ile, mwanasheria mmoja alisimama amjaribu, akisema, Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele? Akamwambia, Imeandikwa nini katika torati? Wasomaje? Akajibu akasema, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote; na jirani yako kama nafsi yako. Akamwambia, Umejibu vema; fanya hivi nawe utaishi. Naye akitaka kujidai haki, alimwuliza Yesu, Na jirani yangu ni nani? Yesu akajibu akasema, Mtu mmoja alishuka toka Yerusalemu kwenda Yeriko, akaangukia kati ya wanyang'anyi; wakamvua nguo, wakamtia jeraha, wakaenda zao, wakimwacha karibu ya kufa. Kwa nasibu kuhani mmoja alishuka kwa njia ile; na alipomwona alipitia kando. Na Mlawi vivyo hivyo, alipofika pale akamwona, akapitia kando. Lakini, Msamaria mmoja katika kusafiri kwake alifika hapo alipo; na alipomwona alimhurumia, akakaribia, akamfunga jeraha zake, akizitia mafuta na divai; akampandisha juu ya mnyama wake, akampeleka mpaka nyumba ya wageni, akamtunza. Hata siku ya pili akatoa dinari mbili, akampa mwenye nyumba ya wageni, akisema, Mtunze huyu, na chochote utakachogharimiwa zaidi, mimi nitakaporudi nitakulipa. Waonaje wewe, katika hao watatu, ni yupi aliyekuwa jirani yake, yule aliyeangukia kati ya wanyang'anyi? Akasema, Ni huyo aliyemwonea huruma. Yesu akamwambia, Enenda zako, nawe ukafanye vivyo hivyo. Nasadiki husemwa.
SOMO 1: Kum.30:10-14 Ukiwa utaifuata sauti ya Bwana, Mungu wako, kwa kuyashika maagizo yake, na amri zake zilizoandikwa katika chuo hiki cha torati; ukimwelekea Bwana, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote. Kwa maana maagizo haya nikuagizayo leo, si mazito mno kwako, wala si mbali. Si mbinguni, hata useme, Ni nani atakayetupandia mbinguni akatuletee, aje atuambie tusikie, tupate kuyafanya? Wala si ng'ambo ya pili ya bahari, hata useme, Ni nani atakayetuvukia bahari, akatuletee, aje atuambie, tusikie, tupate kuyafanya? Lakini neno li karibu nawe sana, li katika kinywa chako na moyo wako, upate kulifanya. WIMBO WA KATIKATI: Zab.69:13,16,29-30,32-33, 1. Nami maombi yangu nakuomba wewe, Bwana, Wakati ukupendezao; Ee Mungu, Kwa wingi wa fadhili zako unijibu. Katika kweli ya wokovu wako. Ee Bwana, unijibu, maana fadhili zako ni njema, Kwa kadiri ya rehema zako unielekee. (K) Enyi mmtafutao Mungu, mioyo yenu ihuishwe. 2. Nami niliye maskini na mtu wa huzuni. Mungu, wokovu wako utaniinua. Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo, Nami nitamtukuza kwa shukrani. (K) 3. Walioonewa watakapoona watafurahi; Enyi mumtafutao Mungu mioyo yenu ihuishwe. Kwa kuwa Bwana huwasikia wahitaji. Wala hawadharau wafunga wake. (K) 4. Maana Mungu ataiokoa Sayuni, na kuijenga miji ya Yuda, Wazao wa watumishi wake watairithi, Nao walipendao jina lake watakaa humo. (K) SOMO 2: Kol.1:15-20 Kristo ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote. Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni viti vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake. Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika yeye. Naye ndiye kichwa cha mwili, yaani, cha Kanisa; naye ni mwanzo, ni mzaliwa wa kwanza katika wafu, ili kwamba awe mtangulizi katika yote. Kwa kuwa katika yeye ilipendeza utimilifu wote ukae; na kwa yeye kuvipatanisha vitu vyote na nafsi yake, akiisha kufanya amani kwa damu ya msalaba wake; kwa yeye, ikiwa ni vitu vilivyo juu ya nchi, au vilivyo mbinguni. SHANGILIO: Mdo.16:14 Aleluya, aleluya! Fungua moyo wetu, Ee Bwana, ili tuyatunze maneno ya mwanao. Aleluya! INJILI: Lk.10:25-37 Siku ile, mwanasheria mmoja alisimama amjaribu, akisema, Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele? Akamwambia, Imeandikwa nini katika torati? Wasomaje? Akajibu akasema, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote; na jirani yako kama nafsi yako. Akamwambia, Umejibu vema; fanya hivi nawe utaishi. Naye akitaka kujidai haki, alimwuliza Yesu, Na jirani yangu ni nani? Yesu akajibu akasema, Mtu mmoja alishuka toka Yerusalemu kwenda Yeriko, akaangukia kati ya wanyang'anyi; wakamvua nguo, wakamtia jeraha, wakaenda zao, wakimwacha karibu ya kufa. Kwa nasibu kuhani mmoja alishuka kwa njia ile; na alipomwona alipitia kando. Na Mlawi vivyo hivyo, alipofika pale akamwona, akapitia kando. Lakini, Msamaria mmoja katika kusafiri kwake alifika hapo alipo; na alipomwona alimhurumia, akakaribia, akamfunga jeraha zake, akizitia mafuta na divai; akampandisha juu ya mnyama wake, akampeleka mpaka nyumba ya wageni, akamtunza. Hata siku ya pili akatoa dinari mbili, akampa mwenye nyumba ya wageni, akisema, Mtunze huyu, na chochote utakachogharimiwa zaidi, mimi nitakaporudi nitakulipa. Waonaje wewe, katika hao watatu, ni yupi aliyekuwa jirani yake, yule aliyeangukia kati ya wanyang'anyi? Akasema, Ni huyo aliyemwonea huruma. Yesu akamwambia, Enenda zako, nawe ukafanye vivyo hivyo. Nasadiki husemwa.

About