sifa hizo zote naziona kwako siwez kuishii bila ww😂
2025-07-10 09:17:42
3
She♥️cute🥰 saloon :
Mimi ninaye lkn mume wa mtu🫣🫣
2025-07-14 20:43:01
2
koku🥰 :
anazo zote Ila tatizo nimfupi na anaongea sanaaa yanii muchknow Yani vitu akiongea mbelee za watu adii unaona aibuu ukimwambia anakununia kama demu Yani😭
2025-05-22 10:24:13
25
Meckline de cute :
Sijawahi mpata
2025-07-22 20:14:21
1
elizabethmumbi00 :
wangu yuko ivyo ila hana hela😭
2025-05-22 13:05:13
31
Genevieve love🦋 :
hizi sifa alikuwa nazo na tukaachana 🙌🏻
2025-05-22 00:49:27
95
user7593430454762 :
na kama hizo sifa zote anazo lakin hanipi hela??
2025-07-05 20:25:47
2
Angelaporinally❤️ :
Nimempat anasifa zote tatizo ni mume wa m2🥲
2025-05-22 20:51:52
24
Mo Golden Boy12 :
usitaje sifa zangu huku mtandaoni😂😂😂😂😂
2025-05-22 10:12:58
2
Rehema Silvanus :
sjawah kupat wa hivyo🤣🤣🤣
2025-05-22 19:43:52
4
user9600705611490 :
najua haiwahusu ila leo nimemtania jamaa nijue kam ananipenda kwel nimemwambia baba anatak kuniozesha kasem anakuj kesho 😁😁😁
2025-05-21 22:53:30
1
beril254 :
nilikua naye bt sikumpenda tukaachana😂😂
2025-05-22 05:06:53
1
mysarah_auto_spear_part :
Na huyo mwanaume ayupo Tanzania
2025-05-22 12:57:12
16
Marietta Nyoni :
kile changu kifupi km nyundo ya kienyeji kifupi km kigoda yaan usisubutu kudate wanaume wafupi ww unamuonea huruma kakomaa km nyia za vichochoro vya kijijin ila kenyewe kamekaza kichwa ngumu km kisiki kilichopigwa na laan dadek kbs stk wanaume weusi mm zote Hana mbwa yule
2025-05-22 07:28:04
3
Susan Jelagat :
kabisa umeongea ukweli 🙏
2025-06-12 23:17:29
0
C.H.S. :
kaka nina mwana ume yupo nje lakin kaanz safar ya kuja Tanzania na anataka aende kwa wazaz wangu na pih mm niend kwao je yupo sahihi kwel
2025-05-22 13:11:45
1
matha Eliya :
me akiwa ananipa hela basi imeisha iyoo😅😅😅
2025-07-14 02:43:29
0
Sarafina2056 :
Mm nilikua naye tumeachana ja na tarehe17/06/2025🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣