@freetaxguidetz: Replying to @Dr. Meku . .#mwanza #tanzania🇹🇿 #tanzania🇹🇿tiktook #tanzania #tanzania #tanzaniasafari #tanzaniasafari #tanzaniasafari #africa #tanzaniantiktok🇹🇿 #biasharatiktok #magari #tanzaniatiktok

freetaxguidetz🇹🇿
freetaxguidetz🇹🇿
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 23 May 2025 08:55:19 GMT
59404
1276
79
373

Music

Download

Comments

evelih2
Evermo😍 :
no yako plse
2025-06-27 10:28:37
1
kulwasospeter339
Kulwa Sospeter :
hivi office ya brela iko moja tu nchi nzima na ipo wapi ? je kiwango ya usajili kinatofautiana kulingana na biashara ?
2025-05-24 11:55:27
3
user7003598550530
Ashrppy :
nina biashara nataka isajili kaka yangu
2025-06-26 12:34:50
2
dr_mchuta
Dr Mchuta :
mnapatikana wap
2025-07-26 00:24:35
0
jecodesigner
jacothepaintervsdecoration :
ukisha sajir jina la. biashara kwa maka unatakiwa ulipiee kodi au ulipi kitu chochotee
2025-05-24 05:49:23
1
busekelephones
Busekele phones :
ivi ukisajili jina la biashara brela inakua tayar ni kampuni au?
2025-06-21 08:46:19
1
addy_naturalist
addy_naturalist :
Unaweza kusajili jina la biashara bila kuwa na biashara?
2025-05-24 15:27:51
3
goldgapprinting
Goldgap Printing :
Jumla ni shilingi ngapi?
2025-06-30 18:22:06
1
vanydizo
Vanydizo :
una biashara nyingi zinazo tumia jina moja mfano jemsi cash point, jemsi medical heath laboratory , Jemsi duka la dawa muhumu swali utasajil? jina mo
2025-07-22 01:15:43
0
jacksonmfauli
Destin boy :
nauliza ukisajili jina la biashara unaanza kulipia kodi? Au ni hadi usajili kampuni ndo unaanza kulipia kodi asante
2025-05-25 15:08:18
1
mafialeoy
profleoy :
ukisajiri jina la biashara na biashars ya online. je nina haja ya kwenda TRA kufanyiwa makadirio. au nikishakuwa na hii ya brela naweza endelea na biashara?
2025-06-02 20:57:33
1
babamaher17
babamaher :
kwn ht hizi duka za mangi shop zinahitaji hy usajili
2025-05-25 02:59:11
2
philbertaloys
philbertaloys :
kila kitu ni kukamuliwa tu,
2025-05-24 19:06:56
1
radhia.juma72
Radhia Juma :
mnapatikana wap
2025-07-22 09:42:24
0
nanaya.official_
Ms Numero :
eh kumbe
2025-06-26 18:11:04
1
decaption1
𝚁𝚊𝚖𝚊𝚍𝚑𝚊𝚗-𝚔𝚒𝚓𝚊𝚗𝚊 :
kwani jina la biashara ndio jina la kampuni.?
2025-06-24 14:22:45
2
zackiasaidy595
zackiasaidy595 :
ofisi iko wapi??
2025-06-25 07:02:19
1
mr.1ig
Mhina :
penati ya kodi usipolipa kwa miezi mitatu huwa ni asilimia ngapi
2025-05-25 17:45:19
0
dr.kiwale
Dr Kiwale :
namna ya kulipia jina la biashara kwa mwaka unafata hatua ipi?
2025-07-10 13:21:48
0
imaculathmtaresi
imaculathmtaresi :
Nawezaje kukuona maana huku hata sielewi
2025-06-26 06:00:46
0
ellyjohn79
Kimario,John G :
iyo Ada inalipiwa kila mwaka? Ni Tsh ngap jina linakuwa linalipiwa kwa mwaka
2025-05-23 09:42:40
1
heke.kayungilo
HEKE :
nikiingilia brela naweza kujisajili mwenyewe au niende wapi nkasajili
2025-05-24 11:26:39
1
dinosour_tz
diNo 🦕 :
GHARAMA LA BIASHARA KUSAJILIWA NI 20,000 THEN KILA MWAKA UNALIPIA SHINGAPI UKISAJILI JINA LA BIASHARA KUNA MADHARA YEYOTE
2025-05-23 12:28:30
1
poni_homesdecor
poni_homesdecor :
Nahitaji mkuu
2025-05-24 07:12:51
0
To see more videos from user @freetaxguidetz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About