@richardsimeod: Sheria 10 ambazo kila familia inatakiwa izifuate#viraltiktok #formychampions #jifunzekitu #kenyantiktok #fypシ゚viral

Richard Simeo
Richard Simeo
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 28 May 2025 11:38:49 GMT
87243
3032
71
1973

Music

Download

Comments

bambi_for_real
B A M B I :
happy birthday to me 🎁🥳
2025-05-28 14:04:09
15
miss_independent22
Mwanaa msuya :
kuna mimi naishi mwenyew najisalimia, najiaga na naomba pamojaa 😢
2025-05-30 09:46:06
1
elisemukaz4
Elise Mukaz :
merci merci papa🙏🙏
2025-06-17 16:26:03
0
lilianvumilia
Nyar waganjo :
iyo namba 3😭😭🙌 chakula ikishawekwa kwenye hotpot kila mtu anakula kwa mda wake....nshasemwa weee na wageni wanaokuja lkn wap...
2025-05-28 15:48:43
3
mummy30123
Mummy@ :
Amen 🙏🙏🙏
2025-06-16 01:39:00
0
gucci_gamingseries
MVPツGㄩ匚匚Ĩ :
kwenye kitanda sasa apo😂😂😂😂
2025-05-30 12:36:08
1
sachakiss22
Kiss🦀🗽🌍 :
Kabisa ilikuwa inahitajika familia tuishi hivo ila kuna mengi kwenye ma familia ayapo tena 😌
2025-06-01 17:41:54
0
theresia.kassanga
Eternal madame :
guys naomba mnisaidie k2, je mfano kila baada ya miez 2 naingiza kipato cha mil1 na laki 6.half mm nikachukua laki 8 kwaajr ya matumiz yng ,nyumban kwetu na mungu...ikabakia laki 8 nikaweka kama aliba je ???... nitafika salama kwakila katk lengo lang au nafuja pesa kwa kutumia kikubwa tofaut ninacho kiingiza ?????
2025-05-30 14:43:27
0
nestorymroso
Mrosso :
barikiwa ndg Kwa roho nzuri Kwa jamii
2025-06-17 04:46:35
0
abuali17.18
AbuAli1 :
salute 🫡
2025-07-16 18:18:12
0
edwinpaul789
Edwin Paul :
mi nyumbani najiondokeaga tu huwaga siagi mtu
2025-07-11 19:40:22
0
nasibu.creation
nasibu Said :
hapo kwenye kutandika kitanda mtanisamehe tu kwa kweli nimejitahidi sana nimeshindwa😂😂😂
2025-05-29 14:07:22
5
paulrichardtrezyo
paulrichardtrezyoh :
Hapo umetisha
2025-06-25 08:13:29
0
rebeccamboya1
Rerambo :
kuna mm naishi mwenyewe hizi sheria nazitumia mwenyewe🤣🤣
2025-05-31 06:11:41
0
auntcecy
auntcecy :
Familia yangu sheria utoe ww c wenyew hatuaganag kaka
2025-05-31 09:48:41
0
anniewasavo
Annie wa Savo🌹 :
number 2 jamani number2 hii inaumiza zaidi imagine hujaaga umefika mahali umepata shida hakuna mtu anajua wapi umeenda, ukikosa msaada huko utamlaumu nani??
2025-05-29 13:47:19
0
rukiaabdallah737
rukia abdallah mbokeleni :
💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯I Love You 💜💜💙💙💜💜💙💙
2025-05-30 21:28:01
1
decory2016.b
decory2016 b :
Asante
2025-05-29 23:29:11
0
loyceferdinand0
Loyce Ferdinand :
hiyo ya nne huwa napigana na watu sana
2025-05-30 12:55:14
0
user4556103216833
user4556103216833 :
zamani chakula kwenye sinia mnalizunguuka. mama na wadada. baba na wa kaka
2025-05-30 06:43:31
2
madukasayi39gmail
[email protected] :
nimezipenda hizo sheria
2025-05-29 11:36:18
1
jackiealeco
Jackie Alex :
barikiwa ndugu
2025-05-29 17:35:31
2
wema.james
Wema James :
2 3 5 6 8 zimezingtiwa
2025-05-30 15:58:18
0
shuby.bakama
shuby bakama :
shukrani!!🥰
2025-05-29 19:07:20
0
sofia.sud3
Sofia Sud :
🙏amina
2025-05-29 10:37:27
0
To see more videos from user @richardsimeod, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About