nikwel 😪 mmewangu kaniacha nikamwambia oa alinijibu sitakuja kuoa 😪! namuombea aoe apate mke mwema mm Ckuwa mwema kwake hakutaka kunibdrsha niwe vile anatak akiamua kuniacha 😭😭😭💔🙌
2025-05-29 19:48:48
24
Zay beauty saloon🦋🍀💅 :
Mmmh mm miezi minne Kaoa nae talaka ajanipa 😇
2025-07-26 19:40:13
0
SOS k :
tulio katika hii Hali Kwa mda huu tujuane
2025-05-29 20:04:41
88
Angel mapunda :
ukipAta nafasi ya kumuumiza mwanaume msiichezee😂😂😂 ukishindwa kumvunja moyo mvunje hata miguu
2025-05-30 11:37:19
9
BAADRU__ :
tunawo mkubali uyu mwamba tugonge like
2025-06-05 20:57:59
12
Goalpoucher :
Mwaka.4 natafuta alfu kuna mda najiona naishi kwa Amani sana ,Ila Omba yasikutokeee haya mambo uwa hayaelezeki mpaka yakukute,Unaweza kuhisi anaongea kitu rahisi sana
2025-05-29 16:30:27
21
🥰Raniah’s_Mom♥️ :
Si aoe tu😒 mi mwenyew kauchakaza moyo wangu sifikirii kuolewa tena kwny maish yangu
2025-05-29 20:01:12
3
Rose Makoyo :
sio kaline hii bor
2025-07-26 17:45:25
0
Joseph :
kitu kinacho weza kunitesa mm nipesa namungu tu bc hivyo vingine mmh nabuluzatu 😂😂😂
2025-05-29 20:21:05
2
hassan dabo :
ebana mimi nimepigwa tukio siitaji kusikia kitu ndoa kwa Sasa
2025-05-29 22:10:59
8
T🍁mwesya💫 :
real
2025-06-11 05:16:09
0
taussbless :
kaka umeobgea mwaka wa 5 mume wangu ataki kuoa😅
2025-05-30 07:16:20
3
chima precious6 :
mwanaume hajui kupenda bhn😏
2025-05-30 04:58:38
3
stuart68 :
Sikupingi kaka onelove kaka mkubwa🙂🙂🙂🙂
2025-05-29 19:58:34
1
Machuzi :
Nikweli
2025-05-29 20:08:37
0
Official Mwinyi Muzung :
Umeongea Ukweli bro
2025-05-29 14:37:30
3
hassani mwidini :
tunaoa uzuria vikaoo ndugu izozama zimepita
2025-05-29 13:02:24
2
𝑫𝒊𝒄𝒌𝒔𝒐𝒏 𝑴𝒐𝒎❤️ :
𝒎𝒆 𝒏𝒂𝒕𝒂𝒌𝒂 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒖𝒎𝒆 𝒘𝒐𝒕𝒆 𝒘𝒂𝒇𝒆💔
2025-07-07 14:20:57
2
Challenge Boy :
Kak Umesema Kwel Maan Kupenda n Mara 1 Waha wengine N Kujiridhisha Kwa wanao Kuzunguk
2025-05-29 18:36:06
6
gang :
dhh 😄🤣🤣🤣🤣
2025-07-21 14:34:39
1
minaaa :
mhh wanaoa saana😏
2025-05-31 11:25:04
0
Official Seph Tz :
bro mbona unanisema me
2025-05-29 17:54:13
5
Sizzo Boy🕸 :
sahihi👍
2025-07-06 19:23:45
3
Barclay.tz :
fact
2025-05-29 14:10:44
2
To see more videos from user @youngchinga1236, please go to the Tikwm
homepage.