@dw_kiswahili: Viongozi hawa walikumbana na masaibu na mateso makali kutokana na misimamo yao ya kisiasa na hasa inayopingana na serikali zao. Nilikua kiongozi gani unamfahamu aliepitia haya waliyoyapitia hawa? #DWTunavuma #vumakwakishindo #DWAfricaTok #leadership #africa #politics #viralvideos
Namuelewa sana Mwandishi/Mtangazani, bado anaipenda kazi yake 🤩😂😎
2025-05-30 17:21:29
17
Kevin_clif7 :
Lissu alipigwa chuma 17
2025-05-30 10:02:32
17
ombenu James :
ujataja Raila odinga wa kenya
2025-06-02 08:35:45
0
Gcom :
unatumia kichwa kama mfuniko wa shingo Lisu alipigwa risasi 17 na kupewa kesi ya uhani auoni anasifa tosha ya kuna namba moja hapo ??
2025-05-30 11:12:59
3
wakusaminisha :
munguyupo❤
2025-06-03 20:17:13
1
Napenaorg :
lissu anastahili kuwepo katika orodha hiyo kwa mantiki ifuatayo
jaribio la kutaka kuuwawa mwaka 2017
kuishi nje ya nchi yake kwa kipindi cha miaka kadhaa kama mkimbizi wa kisiasa
kufunguliwa kesi ya uhaini ambayo adhabu yake ni kifo
kukamatwa na jeshi la polisi mara kwa mara kupigwa kunyanyaswa na kuteswa na vyombo vya ulinzi
2025-05-30 08:59:05
10
mwarikimwariki172 :
tuliyo msubiri tundu lissu tukamkosa tujuane😳
2025-05-30 20:30:17
6
ockytz :
orodha yko bila lisu ni ya kisenge
2025-05-30 13:28:20
4
HOSEE DE LAVEGA :
nakupenda siwezi kuishi bila wewe
2025-05-31 09:50:39
0
Bin Bakar :
nimesikiliza Hadi mwisho nikifiri mutamtaja lissu hiyo orodha iyo ngezwe awekwe Lissu
2025-05-30 12:01:03
3
Elijah :
TUNDU LISU kaumizwa sanaa
2025-05-30 15:05:19
2
Jose Big :
Ina nchi kwako hujaona
2025-06-01 04:45:35
1
miloneier/billionear :
Waafrica ni wapuuzi Sana,hawana maana yoyote,wapo radhi kujua ndugu zao kuwafurahisha vibaraka wao
2025-05-31 05:01:22
1
GHOST :
Orodha hii haina maana bila kuwataja wale wa Tanzania
2025-05-30 12:53:28
2
frankwilly :
kati ya wote nani alipigwa risasi 9 kama tundu lisu na bado yupo
2025-05-30 10:15:56
2
penta254 :
Nzuri,sikuwa najua mengi
2025-06-02 04:48:01
1
Robert Metana :
Huwezi kumaliza Bila kumtaja Tundu Lissu aliyepigwa risasi 32 na Kupewa Kesi ya uhaini je akina Ben saa nane Mdude je!!?
2025-06-01 11:59:38
1
miraji furniture supplies :
mbona unaongea kiswahili alafu hakuna mfano wa tz
2025-05-30 12:17:18
2
Livingstonelile :
Lisu asipokuwepo kwenye hiyo orodha ni ubatili
2025-05-30 13:33:07
1
teacher kuly :
na hio ndio Africa 🌍 yangu
2025-06-01 10:06:34
1
feruzi :
yaan mpaka wandishi abari mnaogopa kumtaja lisu tutafika kweli kwa hali hii wote uliowataja akuna aliyepigwa risas je lisu si zaidi
2025-05-30 15:35:16
1
Michael Materu :
Freeman Mbowe yuko wap hapo
2025-05-30 14:16:12
2
Official Bunzales 😎 :
Nyie Nao wajinga...Kwamba hamuoni wanayofanyia akina Lissu na upo hapa hapa nchini 😳😳, Kama sio Unafiki huo ni nini
2025-05-30 14:56:53
1
marishari seuri meteri :
mbona lisu hayupo
2025-05-30 12:36:51
2
OfficialMo✅🕢 :
😍Kabinti 🔥🔥🔥
2025-05-30 08:47:51
1
To see more videos from user @dw_kiswahili, please go to the Tikwm
homepage.