Usihukumu wewe ni binadamu tu ambaye siku ya mwisho utasimama kwenye kiti cha hukumu kama hao unaowahukumu, Hubiri habari za toba, ondoleo la dhambi na kuokoka, Usihukumu usije ukahukumu mzee.
2025-05-31 07:13:38
7
Chireng' :
Unatangaza kama nani? mhubiri huna andiko unabuni neno upate umaarufu na pesa.Unaubiri kiukisirani Yesu hayuko hivyo. SOMA KUMBUKUMBU LA TORATI 14:26
2025-05-31 17:31:04
5
gadsonmwambondo78 :
Chaajabu vitoto vidogo vinasema usihukumu wewe kunywa pombe ni motoni akuna chanini wewe tukana unadhidi kujiongezea lakini moto unakuhusu
2025-09-09 17:27:40
0
charleschrist :
Asante kwa hekima na busara zako mmi ni shabiki wako na ninajifunza mengi ubarikiwe sana. Ni wachache kukuelewa
2025-08-27 06:56:57
1
Tinnah❣️❤️ :
uzinzi na ulevi ni mapacha fact mtumish👏👏
2025-06-08 16:51:41
1
mbugi@4188 :
nyie mnao tumia visivyo faa wote motoni badilikani
2025-06-04 15:57:04
3
Frankly001 :
Kuma kwel ww
2025-06-05 20:37:35
0
Nicejesus :
Binadam nyie mnapenda mtu atende dhambi ya kuwafarij kwa kuongea uongo hakuna kumfariji mtu neno la mung lpo waz hatupindish injili mungu hasem nawatu wavuta bang na walev