lakini mwakani usirudie, nakumbuka mjomba wangu alilima akapata mahindi ya kutosha, akaweza zaidi mwaka uliofata kilichotokea hadi leo kwake ataki kuuona ugali🤣🤣🤣
2025-06-03 19:34:18
1
abuu Kamtema 🇹🇿🇹🇿الباحث :
sawa kaka tumeskia ngoja tuje kuanza fundu
2025-06-03 17:38:23
1
bakari kayugwa :
onyesha ummepata guni ngapi tukupigie hesabu una sh hata M 3 hazifiki Kila mtu na utafutaji wake cheza Kwa step
2025-06-03 21:43:10
1
mbilooliverpool :
Uhakika Mzee baba uko ni wp
2025-06-04 06:41:46
1
Hamis Ramadhan :
Tumekuelewa
2025-06-04 04:26:35
1
user22913552758285 :
nakuomba namba Yako
2025-06-04 16:33:27
0
jonathan :
nakuamin mwamba
2025-06-03 19:32:54
1
Oloperendim :
nimekukubali sana jomba.
2025-06-05 17:03:05
0
husseinissa4845 :
kaka achana na watanzania hata uwam ie nini hawatakuelewa hata kidogo.
2025-06-04 07:54:17
0
trust God :
sana mkuuu tuko pamoja
2025-06-18 16:39:47
0
Kasimu Bakarri :
sasa wew hiyo hela unaisubir kwa miez yote hiyo mzee utatoboa lin🤣
2025-06-04 04:09:04
0
Negro156 :
lete mjini tule. kubeti ukiwa na mtaji wa elfu hamsini ukawa unachagua odds ya mbili tu unapata laki ndani na dakika tisini.@ sikufundish kila kitu
2025-06-03 19:01:11
0
Manika :
ujumbe umefik bro
2025-06-04 14:00:45
0
user52586583629408 :
wapi hapo mzee
2025-06-05 07:47:51
0
josia :
nitumie number bro ,
2025-06-04 12:23:05
1
TICHA [mkulima] :
haaa
2025-06-03 17:22:05
0
Eliyamhimba :
wapi kaka tuje turime
2025-06-03 18:07:40
1
George :
sawa ndugu
2025-06-04 13:06:49
0
bakari kayugwa :
ukimaliza kuvuna tuambie umepata gunia ngapi huenda umepata gunia 12 unakuja tukupigia kelele ambayo sawa na ukiuza 1200000 sawa na odds 120 kwa 10000 TU unaondoka nayo acha dharau kazi za watu muheshimu hata muokota makopo anaishi na mipango yake la saba veta degree veta 😂 acha dharau
2025-06-06 06:57:50
0
To see more videos from user @mkulimaoriginal, please go to the Tikwm
homepage.