@kijanawakindiki: #CapCut

Kijana Wa Kindiki
Kijana Wa Kindiki
Open In TikTok:
Region: KE
Thursday 05 June 2025 09:36:19 GMT
45420
2606
146
135

Music

Download

Comments

stivcetric.com
stivcetric.com :
Wale wa Kumi Bila Break, weka like
2025-06-05 10:21:41
284
bidii.fashion.cent
BIDII FASHION CENTER 🥰🥰 :
Unapaswa kuchagua kati ya kushirikiana na kufaidika na serikali hii au kushikilia msimamo wako na Gashagua... Walishasema hawajali kuhusu barabara. Huruma ni eneo la makazi, kula maharagwe. Kwa sasa, huko kwa Sudi, watu wanapewa pikipiki, mabasi, na mashine za kusaga bure, na wewe uko hapa ukisema ukisema Wantam zako.
2025-06-07 11:10:39
1
dankemboi2025
DanKemboi🇺🇸 :
Na Gachagua aliwaambia mapema kura yenu 1.5m itafika wapi😀 na bado mnampigia makofi 👏
2025-06-06 03:32:08
1
davidkhasiah
davidkhasiah :
Hon Kalonzo welcome to transforming government please your people needs change,Dr William Ruto 10 bila break his waiting for you
2025-06-05 10:56:59
33
bradleyvukenya62
bradleyvukenya62 :
avery good advice to kalonzo
2025-06-05 19:22:54
33
therealsubai
Kijana ya Rais KBB❤🥰🔥 :
Kalonzo alirogwa
2025-06-05 10:38:57
8
philipchepkelioke
Keny Philip🇰🇪🇰🇪 :
wale tunasimama na William tukonge like tuaipishe shetani
2025-06-06 04:19:21
14
raymondmwendah
Raymond Paulo :
kumi mbila break
2025-07-22 08:59:19
1
hon.kktarus
Hon KK Tarus :
Tano tena loading bila break
2025-06-06 04:31:31
1
reigoestate
TruthMeter :
Wakamba wamekuwa opposition for the whole of Uhuru term, now with Ruto. Kalonzo kama hakufahulu akiwa VP wa Kibaki, sioni Tena sirkali yenye Kalonzo atapata zaidi ya hiyo.
2025-06-05 10:38:13
34
sospeterwahtown1
Sospeter :
🤣🤣🤣gonga ya kichwa bado inainuka
2025-06-06 02:42:48
0
maaking78
MANCHESTER UNITED FAN❤️ :
Kalonzo allow kamba to enjoy the benefits of being in Government 😔😔
2025-06-05 21:20:34
4
tenaiemily91
emilytenai :
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sina maoni kuhusu msioka
2025-07-28 18:08:52
1
stassin6
Paz A :
mnaongelea Kalonzo na Kalonzo wenywe ako kwa shughuli zake
2025-06-05 12:00:36
3
mark34480
Mark :
kalonzo anaenda Kwa serikali
2025-07-29 07:51:22
0
manonmission08
Proud Luo :
what happened with kalonzo? he must be regretting why he left brilliant party ODM
2025-07-20 11:34:10
0
alex.ndundah
Alex Ndundah :
this is true,on point.
2025-06-05 10:36:10
20
davydavid597
🇰🇪SIR DAVID🇾🇪🙏 :
hi haina comeback 😅
2025-06-06 14:30:25
1
dennitah
🅳🅼🆆 :
tell them louder please 🙏
2025-06-05 11:14:50
20
kipkiruichirchir1
KIPKIRUI CHIRCHIR :
😂😂😂😂, wakamba mnaskia...ntawachapa ka bado mtaskiza yule mtu wa mitego
2025-06-05 16:41:46
3
psalmsinteriors
psalms interiors :
inafaa jamii tafauti fauti ziamke.niwakati wa kabila mbalmbali kufungua macho. ati wakati wao wanakula na kumeza,wengine wakimeza mate ,wanasema serikali iko imara,lakini wakati wametimuliwa na wengine kuingia ati serikali inakua mbaya na haifai.ongera wakamba.bado wakisii,na waluya wachache washenzi.
2025-06-05 18:06:04
1
merccheps
Mercy cheps :
anakaripisha alafu anakaa nyuma kama yatima😂
2025-07-08 16:17:19
0
user4551238166967
kitingo junior :
tuambieni toka gachangua alitoka....mmefanya nini ukambani wacheni kupayuka
2025-06-05 16:54:37
0
scotts913
WiseMan :
Next week Kalonzo atakuwa kwa serikali. Ukiskia hawa wanaskuma Kalonzo, hiyo ni sauti ya Kalonzo inaongea. Gachietha atabaki pekeyake kwa opposition.
2025-06-06 05:24:05
3
netiarfrica
shim :
wakamba chanukeni...Kalonzo has been in government for years...he want to prove he is relevant...forget about him...join the government and develop ukambani...
2025-06-06 04:02:52
1
To see more videos from user @kijanawakindiki, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About