@opkajiru6: #opkajiru #alhamdulillah

Op kajiru💥
Op kajiru💥
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 07 June 2025 06:29:08 GMT
314382
20850
324
4485

Music

Download

Comments

benitho.mtatila
Benitho Mtatila :
Tulikubariana hii Siri tutatoboa December Sasa mbona mapema mkojani hauna uvumilivu🤔
2025-06-08 04:47:25
126
aminkhamisi940
Amin Khamisi :
jaman mie nawambia hii kweli yashanikut kisha mwanume uyo ata habal na mm ana ndio kwaza anasem malaya lkn nimejifuza mpk kufa
2025-06-21 23:54:39
11
alibundez
alibundez :
Comment za wanawake ni kidogo sana hapa mkojani kapita nao hahaha
2025-07-27 16:46:46
0
maulidmuhsin
Maulid 150 :
wanawake wa siku hizi wanaona bora zinaaa watoke nje ya ndoa mwisho waachwe wanendelee na zinaaa ndoa zimekuwa ngumu miaka hiii zinaa imekuwa fashion
2025-06-07 21:33:17
24
usersheta20
sheta 20 :
huwo ndo ukwli wanawake tulieni sisi wanaume waongo tulieni kwny ndowa zenu acheni upumbvu anae kuowa nd anaekupena
2025-06-09 21:12:29
8
hadijamdemu488
Hadija Mdemu :
kaongea kweli wanawake shikeni hayo jamani
2025-06-07 17:41:55
95
baadru__
BAADRU__ :
tunawo mkubali uyu mwamba mkojani tugonge like 🔥🔥🔥
2025-06-09 13:59:00
23
kulwa.shabani.yas
kulwa shabani yasini :
uondio ukweli alafu wasichojua wanawake sisi wanaume nikama mapacha
2025-06-08 03:42:47
19
user5981329071397
riziki :
kweli kabisa wakudanyika tu
2025-07-30 07:45:31
0
ntongolo3
michael ntongolo3 :
kikaochamwisho mkojani hakuwepo huyu bnh mapema San watastuka
2025-06-10 18:59:42
5
yanse1256
Yanse12 :
:hakuna kosa kubwa hapa duniani kama kumbebea mwanaume mimba ili akuoe,unaweza ukazaa na asikuoe!
2025-06-09 21:26:44
5
ali.kadir08
Ali Kadir :
mkojani usitoboe siri kaka
2025-06-08 03:26:10
14
munish______30
Munish_____30 :
duh mov gan hii mkojan hajawi kuongea ukwl km huu
2025-06-08 07:09:15
8
kilopa.jr
kilopa jr :
kikao kijacho akae mbele anatoa siri😏
2025-06-08 17:20:20
8
dogo.ofsa
Mr ofsa45 :
dar mkojani kashatoa cod zetu dar
2025-06-08 11:06:37
34
young5jr
yo :
no reform no election🇹🇿🇹🇿🇹🇿
2025-06-08 16:32:44
14
aidorick45news
Fara kaja 45news :
Waambie sio tena baadae wanaanza kuniita mbabaifu
2025-07-26 09:52:03
2
saidi.maseule
saidimaseule :
nayee uyuu kawai kutiwa sili mapema duuu
2025-06-15 06:26:29
6
abdykyng50
Abdy Kyng :
mnapswa kuridhika wanawak ze2🤔
2025-06-08 16:50:45
1
dudu.baya88
Dudu baya :
Mmesikia wanawake mliolewa anaongea kwel tulieni kwenye ndoa zenu hakuna mwaume yoyote ambae anjua we ni mke wa mtu then uacheki halafu akuoe sio kwel sio wingine hata me mwenyewe binfsi siwez
2025-06-08 09:27:26
5
ikidyhashim
ikdy :
jifunzeni apo wanawake wote
2025-07-04 05:13:26
0
chef.yusuphu
chef yusuphu :
nice point
2025-06-08 07:27:18
9
uncle.uncle998
Uncle Uncle :
Exactly
2025-06-08 13:53:12
4
kenwizzygraphix7
Kenwizzy graphix :
Really 😂
2025-06-08 15:04:58
3
mr_haleem13
Mr-Haleem :
😢Ata ww mwanamke unatoa namba y SIMU ilihali una mume uwo uchepukaji💔 unajua una mume unatoaje namba na kwakutegemea nn 😢😢😢Allah tuongoze ktk njia iliyonyooka na tusiwe miongoni ulio wakarikiaa😢😢😢
2025-07-06 05:02:57
4
To see more videos from user @opkajiru6, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About