@ushindeubayakwawema:

UTAKATIFU MASHAKANI
UTAKATIFU MASHAKANI
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 13 June 2025 18:05:38 GMT
131422
4404
313
361

Music

Download

Comments

sailor_kinsley
Sailor kinsley 🦋❤️🔐 :
Bashe apew at uraisi bc
2025-06-14 16:31:27
30
careen291
Ramadhan gama :
akili zinaanza kuwakaa eeh na ukiitaji maendeleo huwezi kumuweka mwigulu aongoze ndomaana mzee magu akili nyingi alimtumbuwa maana alimuona ni zezeta halina haiba ya uongozi
2025-06-14 03:41:03
59
godykweka7
Gody adventure :
vipi watu wanajitambulisha kama polis na kila kitu mapaka upelelezi nipolisi tutawaaminije polisi jmn serikali yetu jmn
2025-06-14 19:44:16
1
thomas.kipese0
Thomas Kipese :
ivi wabunge wanaendaga course ya kipiga madawati 😂😂maana Kila hoja wao ni paaaa ata tuongee utumbo
2025-06-14 13:23:12
17
quintusseptimus
QuintusSeptimus :
Bashe Ali ongea kabla ya kuteuliwa. Baada ya uteuzi ana play safe 😅
2025-06-14 04:44:12
14
yekogentleman
@gentleman. Ando's boy :
uyu mwigulu anatuchukiliaje anaongea upupu mtupu bashe umetumwa na wananchi kwl tunatama wabunge kama ww sio kama hao wanaojali maslah yao binafsi
2025-06-13 19:11:49
12
user2421236065108
Eda Kiwango :
wabunge wote hawajitambui maan kila kitu wanapiga makofi xa tuelew nn
2025-06-14 10:01:46
6
g.wala.wala8
G. wala wala :
wabunge mbona siwaelewi kila hoja ni makofi
2025-06-14 05:03:01
5
joycekimaro48
joycekimaro48 :
waziri wetu basheee.
2025-06-14 14:36:10
1
dr.khery
dr khery :
Bashe sio mbabaishajii, wabunge muige hapo Kwa Bashe na mpina
2025-06-15 06:33:21
9
user102839166374
@hamonenga :
iyo ndio oja ya bunnge apo bungee liko sw
2025-06-13 19:16:10
4
davis.11.duma
Davis 11 Duma :
Bashe wewe ninakukubali toka zamani,Mungu akulinde.
2025-06-15 05:51:32
4
user2903111636782
Sammy mniko :
Tumeona Gwajima amefanya kazi sana hadi mumeanza kuelewa mnatoka wapi mnaenda wapi
2025-06-14 08:06:44
8
renegofficial
🫦🥀Rynee4real💞🦋 :
Bashe chukua form ya uraisi basi
2025-06-15 07:05:20
5
aishadrew6
Aishadrew 🇹🇿🇰🇪 :
NO REFORMS NO ELECTION
2025-06-15 04:23:07
3
johnluhende5
Ngosha Family💪 :
kwani mwigulu Anastaafu lin 😏😏
2025-06-16 04:42:15
1
nancy.chambo7
Nancy chambo :
mbona mkiwakamata watekaji mnawaachia token hapa watekaji ni selikal yenyewe mnawatuma
2025-06-14 10:32:44
4
joyce.poso5
Joyce poso🥰🥰 :
Bashe utafka mbali
2025-06-15 05:20:25
3
kissarop
kissarop :
This supposed to be State of Emergency for National Security. GWAJIMA was RIGHT and is not about GWAJIMANAIZATION
2025-06-14 17:00:59
2
user14829137438878
lizna :
bashe mitano tena😂
2025-06-14 04:30:34
10
fadhili.mboyi..de6
Fadhili Mboyi..dereva mstarabu :
Huyu mwigulu magufuli alimtumbua baada ya kuona n mnafiki na hana haiba ya uongozi,lkn alipokuja huyu mama akamrudisha kwa maslahi yake binafsi.mtu anaongea anasoma inamaana kichwa chake hakina uwezo wa kung'amua mambo.
2025-06-15 05:02:05
2
mai550430
Mai :
iv mwigulu anatuona si kama matako yake
2025-06-14 09:25:39
3
admusic075974
Ad music Babu mshauri w vijana :
MH mm bado siwaelewi raisi Yupo Kimya matukio yote yanayo fanyika hasemi chochote bado anataka tumpgie Kula!!! wabunge Sisi hatukuwatuma ukakae Tu bungeni uko watu MNASEMA tuendelee kuzaa shule zifanyekaz SASA wanaozaliwa wanauwawa tuzae wengine wanini!!?? kama walio zaliwa badala yakulindwa wawesalama tunawauwa nini maana!!?? na viongozi wetu mpo mnaona lkn hamsemi tukisema mnatuita wachochez mnatuita wavunjifu WA Amani WA tz tunakwenda wap!!?? UHURU ukowap!!?? Amani ikowap!!?? nchi hii !!?? aisee 😭 mungu anawaona ila inauma aisee dah 😭 bila sababu ya msingi unamuuwa Mwenzako kweli!!?? 😭😭
2025-06-15 01:14:38
2
user5915700654433
restuta :
mbona bandali wananchi tulikataa bunge mkapitisha acheni kutufanya atuoni ccm chagueni mgombea ulaisa samia atumtaki na atukumchagua ahachie madalaka
2025-06-14 21:18:00
2
mwamba672
SMART LADIES 2025 :
No reform No electrion🤣🤣🤣🤣
2025-06-14 09:57:42
3
To see more videos from user @ushindeubayakwawema, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About