@afya_detox: #kidneyfailure #fypシ゚ #0766696494 #kidneyfailure #fypシ゚ #tanzaniatiktok #healthtips #healthy #CapCut

꧁༺AFYA  DETOX ༻꧂
꧁༺AFYA DETOX ༻꧂
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 18 June 2025 17:19:54 GMT
214831
4055
352
1592

Music

Download

Comments

mwasig7
mwasig :
Kwenye Friji na watoto hawa nitakuta wameshaupiga pafu moja
2025-06-19 09:15:44
40
ivan.qra
Iván Qrá :
KUNA MBOGA YA MAJANI INAITWA GILIGILANI..HII MBOGA NI NZURI SANA INASAIDIA KUTOA MAWE KWENYE FIGO..MBOGA SHILINGI 500 TU..TUOKOE FIGO ZETU.
2025-06-19 16:47:34
1
user761151934969924
user7611519349699 Patricia Gub :
na ukiweka usiku uangalie asubuhi ni sawa
2025-09-16 16:14:12
0
psalmsinteriors
psalms interiors :
na mkojo ukiwa na rangi kama chai rangi ,iko sawa ama ni uchafu?
2025-07-15 17:23:58
1
user5299869631878
Habemus Ad Domine :
Mmnh, nyumba yenye wapenda mvinyo watauacha mkojo huo salama kama siyo kuwakwqza?
2025-08-13 11:07:50
1
aminamickael
aminamickael :
Asante Dr kwa ushauri
2025-09-16 15:15:51
0
jmtz996
Jmtz Abdallah :
Tiba ya figo au ini lakini pia kusafisha kwa uhakika kabisa Tafuta majani ya mtabibu, magome ya mgosi wa kaya, mzz ya msikesike chamsha kunywa siku 14
2025-06-19 17:05:48
2
halimamashaka.com
Halima Mashaka :
kama sina friji docta
2025-07-14 00:07:06
1
user8257467967741
James carlos🇰🇪 :
Mimi nishauru ntumie nini nlipimiwa mkonjoo nkaptkana Figo yangu (protein+++) Na pressure ilikuwa 200/110 saa hii natumia tu Dawa za pressure 😔
2025-06-22 17:30:33
1
azizguguru7
azizguguru7 :
Pima figo zako
2025-08-12 19:25:57
1
agnes.chombo3
Agnes Chombo :
Acha nikaweke wangu saa hii warabu wakikunywa shauri yao mm nimelala😂😂
2025-06-20 19:20:47
1
user71796378177960
user71796378177960 :
😂😂😂 watoto wengin wa roho km wanywa supu ya yanga baadh yao wakion vitu vya kimiminik tu frejin time iyo iyo ishanyewa wewee watoto wa uswahilin hao
2025-06-29 09:27:24
1
ena9707
Ena :
mke wangu atakubali kueka mkojo wangu kwenye friji
2025-06-19 08:58:39
14
ramarj476
Ramar botto juma :
yani wee siyo mzima ww mkojo uka kae kwenye frij kwel mkojo upi kwanza?
2025-09-14 17:20:38
0
sada.swalehe
Sada Swalehe :
hospital yako iko wapi?
2025-06-29 20:11:56
1
alicegichana6
morry :
Thx for gd advice
2025-07-29 00:03:31
1
kichuna0022
kichuna002 :
hiyo glass iwe wazi kwa friji ama ifinikwe
2025-06-20 13:24:47
1
barakashaibu117
Baraka Shaibu :
kama zikiwa nzima wateja wapo
2025-06-19 18:43:05
1
shukranikatigula
ziro k tz :
hawa madoctor mitandaoni
2025-07-23 21:09:43
1
paschal.vice
Paschal Vice! :
tusio na friji
2025-06-21 12:47:18
1
turkana_cowboy2030
Turkana-Cowboy :
ninaye Rafiki ,zake ,zote hazifanyi kazi hata kidogo. Kila wiki Mara mbili Kwa dialysis Je kunaye Dawa ?
2025-06-20 04:36:31
1
floranzota
Flora Nyamataga :
Asante, ila nikiweka kwa fridge watoto wangu watakunywa mapema tu, wakijua ni juice ya apple🤣
2025-06-19 02:12:54
2
user5836003781509
janekaruma :
ukiwa huna frinji?😄😃😁
2025-06-21 07:46:22
1
defenderspeed
Defender Speed :
Doctor naomb mteja wa figo nauza moja nisaidie Doctor
2025-06-19 20:08:54
2
user98374621797411
mtu wa mungu :
vipi nikiweka kwenye chupa za maji safi nikafunga kizibo nikaweka kwenye friji?
2025-06-29 22:04:05
1
To see more videos from user @afya_detox, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About