Mbona hiyo jug yako ni kama taa ya Aladdin!? 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣
2025-06-21 11:06:06
11
munira :
Sio Kwa wanaume wakibongo unamtengenezea umuongozee nguvu akachepuke vinzur uko nje sio wanaume wote wastaarabu kama wk mama mjengo kwaza adivataizi anaacha elfu Tano kazi ataki ufanye alafu ela ya korosho tender ndizi Nazi itatoka wp Bora abaki na kibamia chake kisichokua na nguvu asinichanganye Hela yenyewe anayoacha ya mbuz atakutoa ugali bamia tupu hamna dagaa Wala miguu ya kuku apambane na elfu Tano yk aloacha.
2025-07-24 12:59:29
1
Patricious :
Siwezi kujitengenezea mwenyewe ninywe😂
2025-06-20 12:01:12
8
Ambitious gal :
Nazi hapana bora maziwa
2025-06-19 21:01:20
0
Lovino 🫦 :
😅😅😅Sasa mtu anakuachiaas buku tano busta atapataje