@khadija_kh05:

مطبخ أم بنات🥪🍔
مطبخ أم بنات🥪🍔
Open In TikTok:
Region: MA
Sunday 22 June 2025 23:32:28 GMT
42362
638
37
578

Music

Download

Comments

..bounnit
. bounnit :
تنميرت ايمازيغن اينا غلان
2025-06-23 00:14:07
1
user218016498
خياطه كروشي 🪡🧵 :
🥰🥰🥰
2025-06-23 11:17:44
1
banakisalami
BANAKISALAMI :
🥰🥰🥰
2025-07-21 14:28:49
1
fallah437
❤❤😤😤🖐💯fllah :
🥰🥰🥰😁😁❤😂😂😳😳😳😳😏😏😏
2025-07-20 13:03:02
1
fallah437
❤❤😤😤🖐💯fllah :
🥰🥰🥰😁😁😁❤❤❤❤😂😂😏😏😏😳😳😳😳😳😳😳
2025-07-14 22:04:25
1
meknasy20
meknasy20 :
🥰🥰🥰
2025-07-13 14:03:59
1
ahmadroudani5
AHMAD🇲🇦ROUDANI :
❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️
2025-06-23 10:47:21
2
user3307513575105
محمد الحاج :
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
2025-07-12 20:32:37
1
mbraek2
MBRAEK :
🥰
2025-07-10 18:54:50
1
belgo.arabe
BELGO ARABE :
♥️♥️♥️♥️
2025-07-10 09:18:33
1
amina_wakrim
Amina wakrim :
👍👍👍
2025-07-07 00:15:27
1
aghouchaf212233
حسن :
❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰🥰💘💘💘👏👏👏💘💘🥰🥰❤️❤️🥰🥰🥰💘💘💘👏👏👏💘💘💘🥰🥰🥰❤️❤️❤️🥰🥰🥰💘💘✌️✌️✌️👏👏👏✌️✌️💘💘💘🥰🥰🥰❤️❤️❤️🥰🥰🥰👏👏👏💘💘💘🥰🥰🥰❤️❤️❤️👏👏✌️✌️
2025-07-05 18:15:48
1
moustaphaaqrid
moustaphaaqrid :
🤲🤲🤲
2025-07-04 08:33:23
1
kara.tikin
kara tikin ouarzazat :
❤️❤️❤️
2025-07-03 10:14:58
1
fadma.123bid
طبخ 82 :
🥰🥰🥰
2025-07-02 13:28:41
1
youssefalbast
Youssef Albast :
🥰🥰🥰
2025-06-30 02:00:46
1
mohamed.alla76
Mohamed Alla :
🥰🥰🥰
2025-06-29 17:01:25
1
lbhja53
✨karim✔♓ lbhja❤👈🇲🇦 :
🥰🥰🥰
2025-06-26 16:22:10
1
mansouri.omar0
Mansouri Omar :
🥰🥰🥰
2025-06-25 19:06:46
1
user99481884220281
إليس نتمزيرت :
🥰🥰🥰
2025-06-25 15:08:00
1
user6503654070680
محمد ادوبيهي :
💖💖💖
2025-06-25 07:38:03
1
hamzahh243
Hamza123 :
🥰🥰🥰
2025-06-24 18:49:45
1
achor48l0zoib
عاشور :
🥰🥰🥰
2025-06-24 16:41:46
1
omar.chrif59
Omar chrif :
🥰🥰🥰
2025-06-24 15:06:27
1
mohamed.lmalki1
Mohamed Lmalki :
❤❤❤❤❤❤
2025-06-24 07:35:14
1
To see more videos from user @khadija_kh05, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Surah An-Nisaa || Ayah 43 Mwenye Tafsir Al-Kashif ana maelezo marefu hapa nitayafupisha, kama ifuatavyo: Kuna riwaya kwamba swahaba mmoja aliwaalika wenzake chakula pamoja na pombe. Ulipofika wakati wa Swala walikuwa walevi, basi imam wao akaikoroga swala ndio ikashuka Aya. Udhaifu wa riwaya hii, mbali na mambo mengine, unajitokeza pale zilipogongana riwaya kuhusu mwalikaji, imam na hata namna ya swala ilivyokorogwa. Ilivyo hasa ni kwamba kukatazwa mtu kuswali hali ya kuwa amelewa hakufahamishi kwamba ni halali katika isiyokuwa Swala; kwa mfano ukisema: Usiwaangalie wanawake ukiwa unakwenda njiani, hakufahamishi kuwa inafaa kuwaangalia ukiwa ukumbini. Kwa hiyo Aya hii haina uhusiano hata wa mbali na uharamu wa pombe; bali imekuja kueleza hukumu za Swala. Na kwamba pombe ni miongoni mwa vitu vya mwanzo mwanzo kuharamishwa baada ya kuabudu mizimu. Hata kabla ya Uislamu mlevi alionekana mpuuzi asiye na maana. Sayyid Ja'far Murtadha, katika kitabu chake cha as-Swahihu Min Siratun-Nabiyl-a'dham, Juzuu ya 5 kuanzia ukurasa wa 289 na kuendelea, ameeleza kwa urefu kuhusu kuharamishwa pombe mwanzo mwanzoo mwa Uislamu; na humo amewataja maswahaba kadhaa waliojiharamishia pombe hata kabla ya Uislamu. Kisha Mwenyezi Mungu anaelezea hukumu za mwenye janaba; kwamba ni haramu kwake kuingia msikitini, ila anepita tu, isipokuwa masjidul Haram na Masjidun Nabawi, haijuzu kabisa kupita na janaba katika misikiti hiyo mwiwili. Mwenyezi Mungu Mtukufu pia ametaja hukumu ya tayammam kwa kukosa maji kwa watu aina nne: Wagonjwa, Wasafiri, waliotoka chooni na waliowagusa wanawake (yaani kuwaingilia). Hata hivyo mafakihi pia wamewajibisha tayammam kwa asiyekuwa msafiri akikosa maji isipokuwa Abu Hanifa aliyesema Swala itamwondokea. Msomaji @shekh_mmanga  #nurunaimani #nuruyetu #quran #quranrecitation #Tiktoktanzania
Surah An-Nisaa || Ayah 43 Mwenye Tafsir Al-Kashif ana maelezo marefu hapa nitayafupisha, kama ifuatavyo: Kuna riwaya kwamba swahaba mmoja aliwaalika wenzake chakula pamoja na pombe. Ulipofika wakati wa Swala walikuwa walevi, basi imam wao akaikoroga swala ndio ikashuka Aya. Udhaifu wa riwaya hii, mbali na mambo mengine, unajitokeza pale zilipogongana riwaya kuhusu mwalikaji, imam na hata namna ya swala ilivyokorogwa. Ilivyo hasa ni kwamba kukatazwa mtu kuswali hali ya kuwa amelewa hakufahamishi kwamba ni halali katika isiyokuwa Swala; kwa mfano ukisema: Usiwaangalie wanawake ukiwa unakwenda njiani, hakufahamishi kuwa inafaa kuwaangalia ukiwa ukumbini. Kwa hiyo Aya hii haina uhusiano hata wa mbali na uharamu wa pombe; bali imekuja kueleza hukumu za Swala. Na kwamba pombe ni miongoni mwa vitu vya mwanzo mwanzo kuharamishwa baada ya kuabudu mizimu. Hata kabla ya Uislamu mlevi alionekana mpuuzi asiye na maana. Sayyid Ja'far Murtadha, katika kitabu chake cha as-Swahihu Min Siratun-Nabiyl-a'dham, Juzuu ya 5 kuanzia ukurasa wa 289 na kuendelea, ameeleza kwa urefu kuhusu kuharamishwa pombe mwanzo mwanzoo mwa Uislamu; na humo amewataja maswahaba kadhaa waliojiharamishia pombe hata kabla ya Uislamu. Kisha Mwenyezi Mungu anaelezea hukumu za mwenye janaba; kwamba ni haramu kwake kuingia msikitini, ila anepita tu, isipokuwa masjidul Haram na Masjidun Nabawi, haijuzu kabisa kupita na janaba katika misikiti hiyo mwiwili. Mwenyezi Mungu Mtukufu pia ametaja hukumu ya tayammam kwa kukosa maji kwa watu aina nne: Wagonjwa, Wasafiri, waliotoka chooni na waliowagusa wanawake (yaani kuwaingilia). Hata hivyo mafakihi pia wamewajibisha tayammam kwa asiyekuwa msafiri akikosa maji isipokuwa Abu Hanifa aliyesema Swala itamwondokea. Msomaji @shekh_mmanga #nurunaimani #nuruyetu #quran #quranrecitation #Tiktoktanzania

About