tupo nanyinyi mpaka vijana wa chuga mfe wote muishe
2025-06-23 20:20:23
57
X-bity Mkaskazini :
aisee🙌speed limit akuna ndo tatizo bhn
2025-06-24 10:55:23
0
oscarenock :
dereva mzima Oscar
2025-06-27 10:41:33
0
Hustler 💪 😎 👌 :
Mulisema zetu ni mabati kwenye rim
2025-07-26 16:28:14
0
user9617538440921 lucy sinde :
polen san jaman
2025-09-21 08:18:08
0
Man'Kush :
Watu wana endesha cc1250 kutoka Ulaya na wanakuja Africa yote wanazungu bila ajali, leo iwe cc200? Ni akili za watu tu mabarabarani,sisi wengine ni watu wa barabarani kila siku,swala la waendesha pikipiki hapa nchini hawa vijana ni tatizo kubwa
2025-06-24 04:21:37
162
Iddy boy :
knavuta bange ovyo mnajifia mnaendesha pikipiki kama vichaa mnaliaa na 200cc😏😂😂😂😂 mnajuonaga wajanja kukimbizana sio na mtakufa sana t
2025-06-24 04:43:45
4
SHEMEJI :
hilo ni igizo Ama nn kilichobomoa pkpk
2025-06-27 05:15:34
0
🥷~Urio'h Tz🇹🇿 :
nyeupe za mashee sio 😭
2025-08-27 14:59:59
0
linc's bike life :
Sasa embu was just chilling 🙁
2025-06-24 13:37:06
0
Tumaa 💸💸 :
R.I.P mamen larussa 😭😭😭😭😭
2025-06-23 20:48:26
74
Mathayo robati1997 :
poleni San ndungu mliopatwa ha majanga hayo
2025-09-12 19:05:58
0
ManTassi13 :
Chuma ukiiendeshea sifa na ujuaji mwingi lazima ikumanue tu
2025-09-15 21:56:20
0
philibertphilipo :
kama siyo bangi speed zote izi alikuwa anawahi nini😳😳😳
2025-06-25 19:27:07
1
Jay 01 :
mukuu nn mbaya tena uko
2025-06-24 20:23:07
1
nelsonmathias757 :
duh hapo hakutoka mtu rip dereva mpambanaji
2025-09-14 17:43:52
0
thug life :
Apo fezea mjomba angu
2025-10-07 08:58:23
0
Tom👉keen :
Huyu kama amepona kufa atafute mbuzi achinje na kumshukuru Mungu kwanzaa aisee🙌🙌🙌
2025-06-23 21:38:54
1
Alone G😔 :
uyo alie kuwa kwenyw iyo bike yupo wap
2025-10-03 18:20:19
0
mollel olengang'esaitiama :
wengi mnawahukumi waendesha pikipiki lkn,ni swala la kimuomna mungu tu,pikipiki ata ufuate sheria kiasi gani ajali zake hazikwepeki
2025-06-25 05:32:03
7
christopher joseph :
punguzen majitapo pkpk hajatengeneza baba yako🤣😂😂
2025-09-20 21:10:56
0
m gello :
niwapi apo mkuu
2025-09-14 18:27:01
0
AlexLifepoa :
sitak sana kusema ni uzembe cz Nisha pata ajali na mungu akani okoa but watoto wa chuga wanajifanya wajuaji sana na icho ndicho kina wakuta 🙏 mungu wasamehe mazambi yao
2025-06-27 19:26:48
1
Ndovu Jiwe Mkwawa :
gongo aangalie hii
2025-09-17 11:53:57
0
G-unit🏍🇰🇪 :
si mlisema sisi tunapenda boxer na nyinyi mnapenda sinoray... poleni sana ndugu zetu
2025-06-23 20:20:28
1
To see more videos from user @oscar.rimoy2, please go to the Tikwm
homepage.