kwel kabisa halafu kila post ya wakenya mm na like2
2025-06-24 08:10:11
408
Evodius E Fulgence :
kuma la mamako ebu toa komwe ukooo🤣🤣
2025-07-12 10:42:51
2
Mandela max :
Anae coment ma2si kwa7bu kaongea mkenya ni mpumbavu sanaa Big up my brother
2025-06-24 10:23:17
115
zuu26 :
tatizo wa Tz njaa na uchawa ndio kitu wanathamini
2025-06-24 11:01:53
23
festo mwanjunjuwi :
sikuzote mtenda mema adumu so endelaeni kutukumbusha
2025-07-21 09:37:41
2
husseinissa4845 :
anaemkosoa huyu jamaa akili yake ina matatizo makubwa.
2025-06-24 18:35:42
45
Joel Stephen :
dogo yakenya yamekushindaa au🙄
2025-06-24 08:33:53
23
RAJOMU 🤦🤦🤦🙏 :
fuata ya kweny nchi yakooooooo
2025-06-27 16:58:55
8
Siri Julai :
wa kenya tuna shukulu sana musaada mulio tupa sisi wantananzania mume pigania haki zetu asant nawa penda san
2025-07-13 21:04:57
1
user1827712004656 :
Yani mtu ana tukana bila kusikiliza vizuri wa TANZANIA🇹🇿🇹🇿 Huuu uongozi ni kwaajili ya mpira na sio maendeleo ya nchi yetu
2025-06-25 21:25:36
27
Nassoro Mkwanje :
WAKENYA HAWANA LOLOTE WANATUONEA GERE HUKO KENYA KM WAO NI WADEMOKRASIA MBONA ODINGA ANASUGUA TU
2025-06-24 11:23:04
7
aisha :
kwani we unashida gani na wa tz
2025-06-27 16:39:18
2
angel John :
kwani wewe unaitaka nchi yetu au Yani ukilala ukiamka tz acha tuumie shida nn kijana kafanye kazi
2025-06-28 10:39:27
2
Vanny_De :
wakenya wanatutetea nakutuonea uluma
2025-06-27 23:06:49
7
AISHA RASHIDI :
kuanzia leo naenda kuwa raia wa kenya
2025-06-25 03:42:48
7
Mussa lucas angaga :
kwani nyie yakwenu mmeyamaliza mbona mnatusemea ,wakati mwavunja maduka ya wanyonge na kuiba ,au ayonimaduka ya uma ,achana na habari zetu 🇹🇿 . kenya njaa mingi
2025-07-08 06:28:43
4
Nicodemus John :
Kwan sisi tuna taka ushauri wenu 🤣
nyie pambaneni na nchi yenu
2025-06-28 10:20:42
6
Novatz 26 Colorless :
kashaur nch yako tuachie nch yet tunaimudu
2025-06-24 09:02:25
4
yohana:-\ sosb^_^ :
ujue post zako zamani nilikua
nazipitatu nilikua sitaki kusikia
nilikua naona kama ni upuuzi
ila kwasasa 🙌🙌🙌🙌 nimeamua rasimi kukuunga mkono
2025-06-26 10:46:00
6
miss Maa💞 :
WEWE KAKA UNAONGEA UKWELI KABISA SEMA WATU HATUPENDI KUAMBIWA UKWELI WANAOKUTUKANA HAKILI HAWANA
2025-06-27 13:42:32
4
usermishbless :
hata kama hatochaguliwa lazima wamipitishe
2025-07-20 11:57:33
2
Favoured 💜 Francis :
The message is loud and clear think twice 😂😂😂
2025-06-24 09:25:11
4
user8282448384363 :
safiiiiiiiiiiiiii
2025-06-24 19:49:02
5
Amos PambalaJr :
asanti sana kwa kuwapa elimu mazuzu
2025-07-14 15:03:25
3
Chirwa wanaman OG :
kweli kaka tusemeeen
2025-07-19 05:15:27
2
To see more videos from user @kenyatvke, please go to the Tikwm
homepage.