@mshani_wellnes: Faida za kitunguu swaumu mwilini #tanzaniatiktok #fyp #fouryou #kenyantiktok🇰🇪 #swahilitiktok #vyakula #vyakulanatiba #herbs #mitishamba #garlic

Mshani Wellness
Mshani Wellness
Open In TikTok:
Region: NL
Wednesday 25 June 2025 12:28:42 GMT
476122
8249
73
1879

Music

Download

Comments

ramadhanimfuchu
Ramadhani Mfuchu :
mimi hua nakunywa maji kama fundo tatu tu asubuhi sana, alafu inafuatiwa nakitunguu swaum na punje tatu kila asubuhi, nashushia na vijiko vwili vya asali, na by the time usiku pia hua nafanya hivyo nikikumbuka,ila asubuhi ni must iwe nimekumbuka au nimesahau must nitumie hiyo tiba,
2025-06-26 05:48:32
3
nambihalima261
Nambi Halima :
Je kinaweza kutumika kwa mtu mwenye presha ya kushuka,naomba kujua hap
2025-06-26 12:59:33
2
oliver.gold29
Oliver Gold :
na iyo pia n dawa ama???😏
2025-07-31 15:41:12
0
user7201018558596
Balimanda Jensen :
Asante sikuwa najua hili
2025-06-27 04:28:55
0
kalvoo_20
kalvoo_20 :
kila chenye faida hakikosi hasara .....je hasara zake ni zipi
2025-07-10 20:02:27
1
libraryoftimbuktu
libraryoftimbuktu :
sio kitunguu SWAUMU,kinaitwa kitunguu THOM.
2025-06-26 02:13:12
10
mwarogokazungu
mwarogokazungu :
ni nzuri lakini mko mbio sana kwa video mpaka huwezi soma vizuri
2025-06-26 06:04:12
2
josephatlesso
josephati lesso :
Kila mtu dactari TikTok utatuua
2025-06-27 02:48:21
3
oliver.gold29
Oliver Gold :
ma iyo pia n dawa ama
2025-07-31 15:40:41
0
userj4j4
j4 :
kina faa kulaa ukiwa una sumbuliwa na acid reflux dkt🙏
2025-06-29 17:30:08
2
user5904537942085
@naseeb_simba.fans :
Kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo, ulaji wa kitunguu swaumu unaweza kuchochea asidi na kuathiri zaidi ukuta wa tumbo, hivyo si salama kiafya
2025-07-16 13:07:08
1
claudette.ramazan
Claudette Ramazani :
asanti
2025-06-27 12:21:37
0
kylacleophas
Kyla Cleophas :
Asante sana,ubarikiwe
2025-06-26 06:50:38
2
wenyagaliyaya
wenya :
kwanini umtolee mfano rowasa hauoni kuwa nizambi jaman
2025-07-15 19:00:52
2
ahmedmhekelagmail.com
user2268069756105 :
Number kumi umetupiga hivyo vinazalishwa kwa wingi sana Kondoa na Singida
2025-06-26 14:26:04
0
user81838815411588
user81838815411588 :
kwa mtu mweny prexh natumiaje
2025-06-30 18:17:27
1
mnanka.mhabe
Mnanka Mhabe :
ndugu yangu mimi naomba unisaidie hapo kwenye pressure ninakifanyeje ili niweze kujitibu
2025-06-27 09:37:29
0
ryasini
Ramadhani yasini :
ila mungu fundi sana
2025-06-26 22:32:36
1
mshani_wellnes
Mshani Wellness :
@mbajuni2 na @bellavistar_01 zingatieni somo acheni ujuaji wa mlivyokariri. Mnazua taharuki
2025-06-27 08:51:25
1
saidathbarak
saidathbarak951 :
Mimi nikitumia napumua kwashida sana
2025-07-16 20:03:01
0
celine.nyanchera2
celine :
thanks
2025-07-20 03:01:03
0
abdulrasuli.issa
abdulrasul :
siyo swaumu kitunguu thom
2025-06-26 17:16:20
0
kizzboytz
خالد بن الوليد :
nlitumia mwaka 2018 kwa ajili ya vidonda vya tumbo nilikata kata pisi kama 8 nikaacha vipate hew dkk kumi nikameza nikanywa na maji nikapona alcers
2025-06-27 13:09:58
0
rankboi30
Rankboi_sativa :
Kwan ukitumia bila kutafuna hupati hizi faida
2025-06-27 17:27:32
0
hashimkhamis62
FBI :
saumu
2025-06-28 16:22:41
0
To see more videos from user @mshani_wellnes, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About