@maxwellbarasa7: #maxy bizzy msavage

Maxwell Barasa
Maxwell Barasa
Open In TikTok:
Region: KE
Tuesday 01 July 2025 18:23:39 GMT
1238983
72843
4285
6468

Music

Download

Comments

user80853429427
Amani kazungu(dennis) :
hizo n nyakati za musa lakin yesu alipofika mambo yakabadilika
2025-07-02 05:51:49
261
benedictalecks
[email protected] :
😂😂😂 Kama unamkubali huyu mwamba gonga like
2025-07-19 04:51:45
37
user6188380172636
sadoc :
wewe una dafuda laana kweli🤣🤣🤣🤣🤣
2025-07-22 17:22:30
1
ski_254
Mc_Ski_254 :
ukisoma bible ivo utapotea
2025-07-22 17:18:32
0
godsdaughter457
Mish Amuu :
🤣🤣 mama yko si anachukuanga sadaka brayo ww😒
2025-07-22 20:44:13
0
callmechosenone59
CHEGE THE PREACHER :
Wagalatia 3:27 Maana ninyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo. Wagalatia 3:28 Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana mtumwa wala huru. Hapana mtu mume wala mtu mke. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu. Yohana 1:12 Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;
2025-07-02 06:28:00
243
user579126312033
Miso :
ukitusi huyu kijana umemtusi Mungu juu ameleta neno la Bwana
2025-07-02 04:29:11
1392
user73939269955622
Gidii Ramdaye :
Nani anataka tulikiane video😂😩🥰
2025-07-22 20:34:32
0
tyler.kim17
Tyler Kim :
bana joo umenena
2025-07-15 10:34:50
2
jcute017
Cutee :
Mbona hizi mistari mapastor huwa hawasomi
2025-07-02 05:23:26
1411
vivih_588
viona :
sijui ni post kwa group ya church alafu nizime simu,juu wueee ni vita🤣🤣🤣🤣
2025-07-02 06:00:22
250
rbn......m
Maiyo👌👌 :
Hadi uko na evidence enyewe wanawake ni viherehere 🤣🤣🤣
2025-07-01 22:56:43
1375
kerrynya1
Kerry Nya💊 :
Na hawasomi hizi why😂😂
2025-07-22 18:57:44
0
mussaanania
znz mawaidh Tz :
Alhamdulillah Mimi ni muislam
2025-07-22 20:04:55
0
pastor.m.alf
Pastor M Alfred :
We are not under the law but operating under the grace of God when you read the bible try to understand
2025-07-10 04:13:24
2
m.a.p.e.s.a.2
Kevin mapesa :
Moja kwa Moja Hadi comment section 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
2025-07-02 06:09:43
16
tuweinancy
TUWEI❤️😇 :
kijana mjinga kama nani😂😂
2025-07-01 22:30:25
47
mugisho.bihume.gd
Mugisho Bihume Gédéon :
Maandiko za Paulo zimekupoteza kweli. Unasema usicho kijuwa:2Petro:3:15-16.
2025-07-15 15:49:17
1
instinctsii
instinctsii :
we kijana achana na wamama wetu bwana.
2025-07-22 19:37:19
0
princebunnys
Princebunny🤝 :
🤣🤣🤣🤣huyu naye ameamkia kisirani gani ? 🤣🤣🤣
2025-07-01 23:13:58
3
tate4992
Tate :
So leo wanasema bibilia iko wrong. Yet wakitaka kuprove men must provide they refer to the same bible
2025-07-22 18:48:36
0
josephinemubatsi4
The queen 👑💖💖💖 :
No no boy hiyo ni old testament dear we have new testament pasia ili pasuka kila mtu akue huru kwa neno😂😂
2025-07-16 13:12:19
2
itsb.igdeal
big_deal😎😎 :
wanawake in the house wanasema aje 😅😅😅
2025-07-22 16:02:54
1
peter.nganga83
Peter Nganga :
very true and I support you with 1 Timothy 2:11-12 : 11 Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna. 1 Timotheo 2:11 12 Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu. 1 Timotheo 2:12
2025-07-02 05:45:43
50
josekongolosaavimbi67
Jose kongolo FBI savimbi :
kwanza mama njoro
2025-07-02 04:31:42
9
To see more videos from user @maxwellbarasa7, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About