@frankmavura: Sifa 20 za mke bora, akiwa na sifa hizi oa bila kujiuliza mara mbili 🤵‍♂️💍👰 20 qualities of a a good wife #wife #WomenOfTikTok #men #wanawake #ugandatiktok🇺🇬 #tanzaniatiktok #swahilitiktok #swahili #kenyantiktok🇰🇪 #ndoa

Frank Mavura
Frank Mavura
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 05 July 2025 15:13:40 GMT
92211
5597
561
1119

Music

Download

Comments

baadru__
BAADRU__ :
Kama umemuelewa Frenk mavula na una mkubali gonga like
2025-07-05 15:46:40
167
getrudamwambatz
madam g :
nina sifa hizo ila shida napenda kukagua cm yake cku akiwa amelewa nasoma sms zote za madem zake nachukua namba za hao mademu nasev wakiwa wanampgia kama nipo nae hapokei..bas mm nawatumia sms hao mademu..kusoma hujui hata picha huon unampgia hapokei anakuchatisha hujiongezi kwamba yupo na mke wake sio mpaka akuambie kwamba kaka ukiona hapokei cm zako ucku jua kaoa..basi wale mademu nilikuwa nikiwaondoa kwa njia hiyoo now bby ananiambie et ooh mamy ckuhiz nimetulia naacha umalaya wale madem cku hiz hata cm hawapokei et anasema mungu kaamua kuwaondoa kumbe mm ndo nilikuwa nikimuharbia bila yy kujua🤣🤣🤣🤣
2025-07-06 07:59:38
39
user5579810956912
user5579810956912 :
napenda kumtunzia mume penzi langu hata kama haja nioa kushirikiana, huruma na ukomavu, kumtia moyo tusonge mbele niko na moyo wakutoa, kusimamiFedha
2025-07-07 20:42:38
1
user4228872961224
💐mrs muhamed ♥️💋ashfayna🥰🥰 :
mi hizo sifa zote sina 😂😂😂,asante rafiki wangu wa maisha
2025-07-05 16:10:25
16
rebeccamboya1
Rerambo :
huyu unayemsema ni wifiangu kabisa,yaani kwa jinsi tunavyomfahamu kaka yetu wasingedumu na wasingekuwa walipo.Nakukupenda wifiangu unamuheshimisha bro
2025-07-08 09:29:50
6
user1200357327856
Aisha :
Nina hizo sifa hila nangukia tu kupata wapenzi wa hovyo tu adi moyo unachoka kwa kupenda
2025-07-09 00:00:25
1
d_pianist
d_pianist :
hamna cku umeongea point icyo na maana, blessed broh kazi Yako njema
2025-07-06 11:20:17
8
user47393062347
Esther charles :
Kwanzia leo naanza kuwa na hizi sifa😁
2025-07-08 08:40:14
1
analize289
Analize :
Zote ninazo
2025-07-05 15:26:27
4
user10541430860543
salome Mbwambo :
unatoka kwenu binti. unasifa zooote hiizi unaanzia kubwaltizana na watoto watundu. kisha babayao anakupiga mitukio. yaani unaj
2025-07-06 20:58:42
3
mamaakeharvey
💁🏽😘 :
Unaongeaga point tu mungu akutunze
2025-07-08 06:01:20
2
rurukenny
mrs omy❤🥰 :
mbn vyote sina🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
2025-07-09 08:57:35
2
yousramutwale
kiongozi :
mbona sifa 20 kwanini zisiwe 2
2025-07-08 13:15:42
1
zena.kiyoga.zenak
KZ🧕 :
Izi sifa wanawake wengi tunazo ila sasa kumpata Mwanaume wa ndoto yk ndio Tatizo Mungu tuhurumie wanawake tunapitia mengi💔
2025-07-06 02:53:25
2
user66533477731520
user66533477731520 :
zote ninazo hongera kwake mume wangu🥰
2025-07-07 04:54:41
1
judith.mdope
Judith Mdope :
zote
2025-07-07 21:45:51
1
user811277229946
user811277229946 :
ninazo karibuuu zote nimekosa mbili tu🤣
2025-07-06 16:46:37
1
user1596008198445
MR ERIA :
nzuri kk
2025-07-07 17:59:25
1
mindyemmanuel963
💝MS. ROSE🌹🥀 :
mbna mm sna sifa hata moja. unanisaidiaje?
2025-07-07 07:02:09
2
veronicajonh6
veronica John :
Namshukuru Mungu sifa zote ninazo ila amenacha na watoto 3 bila huruma naomba Mungu awe mfariji wangu 😭😭😭🙏🙏
2025-07-06 11:18:56
1
u.n.i.q.u.e203
unique 🧡 :
Haya tuambie kazi ya iyo kucha kidole cha mwisho
2025-07-08 06:18:38
3
emmax.340
emmax 34 :
Asante bwana Frank wangu anasifa hizo zote na mawaidha mengi kutoka kwako🤝🤝🤝🤝🤝
2025-07-08 07:13:19
1
user2277869199610
alpha :
mimi ninazo zote ila sikupata mwanaume sahihi
2025-07-07 05:40:17
1
sososhembe8
Dripp with Soso Shembe :
Sina ata moja😂😂😂😂
2025-07-07 11:25:14
1
user1342494832684
Elizabeth :
Mimi zote ninazo na tunapendana na mchumba wangu lakini ndugu zake wanapinga na hawataki tuoane wameshatuzungusha sana😭😭😭😭😭😭
2025-07-08 05:34:37
1
To see more videos from user @frankmavura, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About