@n3ji9: ❤️#فايز_الشهراني #تركي_السبيعي #اكسبلور #fyp

نجمه👑
نجمه👑
Open In TikTok:
Region: SA
Tuesday 08 July 2025 01:17:40 GMT
1060395
43458
1244
31472

Music

Download

Comments

az.wh
ابو شمر 🐆🇸🇦 :
كيف الاستوري ؟؟
2025-07-22 01:09:25
0
t.res5
H👾 :
كيف الستوري💔؟
2025-07-10 01:59:04
1
m20075040
m :
جنبي حاليا هههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههه
2025-07-21 21:11:44
0
fa_507x
فايز الشهراني🏅 :
قوه 👌
2025-07-08 16:46:12
50
25a.x
FH. :
Should I delete my story???
2025-07-09 03:46:23
1
ry46863
Ry❤️. :
@Ry❤️.: ❤️.: بنات صلاتكم لا تفرطون فيها هي راحتكم ونجاتكم صلوا زين وخذوا وقتكم مع الله قولوا له كل شي هو يسمع ويحن ويعطي سامحوا اللي أخطى وارتاحوا لا تثقلون قلوبكم الحياة قصيرة والأعمار ما نضمنها لا تقصرون مع ربكم هو الوحيد اللي دايم لكم وإذا حسيتوا بضيق تذكروا إن السجود هو أقرب طريق للفرج قلبك إذا تعلق بالله تهون كل الدنيا
2025-07-10 13:41:55
0
z_19957
Z_1995 :
فكرتك أنا 🤡
2025-07-08 08:54:21
4
raheeq156
رحيق| Raheeq🤍 :
R
2025-07-21 02:04:29
0
mohamood7
محمد :
كيف الاستورييييي؟
2025-07-22 00:53:03
0
uus1uu
TŵBh 🫦. :
الستوري للكبار 😭🦋.
2025-07-20 23:30:03
0
i88od8
🎶 :
بكره ان شاءالله بشوفها 😜👏🏻👏🏻
2025-07-12 15:15:50
1
zid.j7
A :
ياجماعه صلاتكم لا تفرطون فيها هي راحتكم ونجاتكم صلوا زين وخذوا وقتكم مع الله قولوا له كل شي هو يسمع ويحن ويعطي سامحوا اللي أخطى وارتاحوا لا تثقلون قلوبكم الحياة قصيرة والأعمار ما نضمنها لا تقصرون مع ربكم هو الوحيد اللي دايم لكم وإذا حسيتوا بضيق تذكروا إن السجود هو أقرب طريق للفرج قلبك إذا تعلق بالله تهون كل الدنيا
2025-07-10 01:00:17
2
2xlll0
🫟 :
قيمو ريبوستاتي من عشره ؟😔
2025-07-17 21:26:56
0
n_q910
🇸🇦 :
الاستوري الاخير🫦🫦
2025-07-22 11:52:43
1
705ko
A :
كيف الاستوري
2025-07-11 13:49:52
0
9..li7
Shd :
كيف الاستوري؟
2025-07-10 22:35:49
0
_m.7020
_M 702 :
ههههههههه اناوخوي
2025-07-09 01:31:50
1
o111.mar
omar 🐆 . :
والله اني اعاني من بعض اخوياي مايعجبه العجب ولا الصيام في رجب كل ما شغلت قال ماهي جوي
2025-07-08 17:57:15
7
zlzr_
ِ. :
كيف الاستوري ؟؟؟
2025-07-14 21:44:51
0
abdullah.11232
مارس🔻 :
فلة الدوافير بعد نهاية الاختبارات
2025-07-11 03:40:02
0
xzvbh505
ــــــــــــ :
الستوري للعيال🫦🫦
2025-07-17 00:10:53
0
bd2007hr
f15 :
ياجماعه صلاتكم لا تفرطون فيها هي راحتكم ونجاتكم صلوا زين وخذوا وقتكم مع الله قولوا له كل شي هو يسمع ويحن ويعطي سامحوا اللي أخطى وارتاحوا لا تثقلون قلوبكم الحياة قصيرة والأعمار ما نضمنها لا تقصرون مع ربكم هو الوحيد اللي دايم لكم وإذا حسيتوا بضيق تذكروا إن السجود هو أقرب طريق للفرج قلبك إذا تعلق بالله تهون كل الدنيا
2025-07-10 22:00:38
1
3dl.o
قادح :
الستوريي😋😋
2025-07-18 14:37:41
0
m_q5za
Only العنزي :
كيف الاستوري
2025-07-10 00:46:57
0
fa_gll7
سوزان :
هذا فايز الشهراني وتركي
2025-07-08 04:09:45
36
To see more videos from user @n3ji9, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

NJIA 7 ZA KUMTAMBUA MTU ANAYEKUDANGANYA KWENYE MAHUSIANO. Katika dunia ya leo ya mahusiano, sio rahisi kila wakati kujua kama mwenzio wako ni mwaminifu au la. Lakini kuna dalili fulani ambazo zikichunguzwa kwa makini, zinaweza kukusaidia kugundua ukweli. Hizi ni njia 7 muhimu za kumtambua mtu anayekudanganya kwenye mahusiano: 1. Anabadilika ghafla kitabia bila sababu ya msingi Mwanzo alikuwa karibu na wewe, mchangamfu, anapiga simu mara kwa mara, anakutakia usiku mwema—ghafla haya yote yanatoweka. Ukimuuliza anasema tu
NJIA 7 ZA KUMTAMBUA MTU ANAYEKUDANGANYA KWENYE MAHUSIANO. Katika dunia ya leo ya mahusiano, sio rahisi kila wakati kujua kama mwenzio wako ni mwaminifu au la. Lakini kuna dalili fulani ambazo zikichunguzwa kwa makini, zinaweza kukusaidia kugundua ukweli. Hizi ni njia 7 muhimu za kumtambua mtu anayekudanganya kwenye mahusiano: 1. Anabadilika ghafla kitabia bila sababu ya msingi Mwanzo alikuwa karibu na wewe, mchangamfu, anapiga simu mara kwa mara, anakutakia usiku mwema—ghafla haya yote yanatoweka. Ukimuuliza anasema tu "nimekuwa bize" bila kueleza vizuri. Hii ni ishara ya kwanza kwamba kuna kitu anakuficha. 2. Simu yake inakuwa "siri kubwa" kuliko kawaida Kama simu yake ilikuwa ya wazi lakini sasa anaiweka ‘silent’ kila wakati, anaificha hata ukiwa karibu, na mara nyingine anaondoka nayo hata chooni — hiyo ni red flag. Mtu mwaminifu hana cha kuogopa. 3. Anakuwa mkosoaji wa kila kitu unachofanya Badala ya kukuonyesha mapenzi na kuvumilia kasoro zako ndogo ndogo, kila kitu sasa kinakera. Anaanza kukuona kama ‘mzigo’. Hii mara nyingi ni njia ya kuhalalisha hisia zake kwa mtu mwingine. 4. Anaanza kuwa na muda mchache sana kwako Zamani alikuwa anapanga kukutana, kutuma ujumbe kila siku, lakini sasa hana muda kabisa. Ukimwambia unamkosa, anajibu kwa ukali au kwa kutojali. Mtu anayekudanganya anawekeza muda wake kwa mtu mwingine. 5. Anashindwa kutoa maelezo ya kweli ya wapi alikuwa Anapokuambia alikuwa sehemu fulani, lakini ukichunguza zaidi maelezo yake hayaingiani. Labda anasema alikuwa na rafiki fulani, lakini huyo rafiki anasema hakuwa nae. Hii ni dalili ya wazi ya kudanganya. 6. Maisha yake mtandaoni yanabadilika Akiwa mtandaoni, anaacha kupost kuhusu wewe au anaondoa picha zenu. Anaanza kuweka status au picha zisizoeleweka, au hata kujifanya yuko "single". Hii inaonyesha anaonyesha upande wa pili wa maisha yake ambao haukuhusishi wewe. 7. Anakuwa na hisia za lawama zisizo na sababu Anaweza kukuambia unamdhibiti sana au humuelewi, ili ajitoe polepole kwenye uhusiano bila kuonekana ndiye mwenye kosa. Mtu anayekudanganya huwa na woga wa kukutazama usoni kwa uaminifu. Ukweli hujitokeza, hata kwa dalili ndogo. Ikiwa unahisi kuna kitu hakipo sawa, usijifanye huoni. Sikiliza moyo wako, chunguza kwa busara, usikimbilie lawama lakini usikubali kuishi katika giza la kudanganywa. Mahusiano ya kweli yanajengwa kwa uaminifu, uwazi, na heshima. Uaminifu siyo kitu cha kuomba, ni msingi wa mahusiano yoyote ya kwel, Mimi ni Captain - Patrick Keha Mwalim na mshauri wa maisha, mahusiano, uchumba na ndoa. Kwa Huduma ya ushauri wa maisha na mahusiano, unaweza kuwasiliana nami moja kwa moja kupitia WhatsApp no: 0655653744, save namba kisha nitafute. lakini pia unaweza kuwa mfuasi wa masomo kama haya na mengine meeengi kila siku kupitia Status huko mjin WhatsApp, ungana na maelfu ya watu ambao wanafatilia masomo huko BURE ili kuwa miongoni mwao, save hio namba kisha nitajie jina lako kamili nami nikusave. hakikisha umesave namba ndipo unitumie jina lako.

About