@afmradiotz: Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limeendelea na oparesheni maalum ya ukaguzi wa vyombo vya moto barabarani kwa lengo la kuhakikisha usalama wa abiria na watumiaji wengine wa barabara katika Jiji la Dodoma. Oparesheni hiyo imefanyika leo chini ya uongozi wa Mkuu wa Usalama Barabarani Mkoa wa Dodoma, Mrakibu Msaidizi wa Polisi, SSP Yussuf Kamotta, ambapo Jeshi hilo limefanikiwa kufika katika kituo cha mabasi ya mikoani kilichopo Nane Nane na kufanya ukaguzi wa kina kwa magari ya abiria. Katika oparesheni hiyo, Jeshi la Polisi limefanikiwa kulikamata basi moja la abiria ambalo lilikuwa na mizigo mingi ndani ya gari hilo kiasi cha kuhatarisha maisha na usalama wa abiria. Aidha, Jeshi la Polisi limeendelea na utaratibu wa kulichukulia hatua za kisheria dhidi ya dereva wa basi hilo. ✍️ @omari_koge #10YearsOfAFM #Miaka10YaAFM #VibesKubwaTOFAUTI

Afmradiotz
Afmradiotz
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 10 July 2025 10:53:38 GMT
28280
355
4
11

Music

Download

Comments

ramadhanimrcovid
@Ramadhan. B NGABA :
kamanda uko vizuri sana
2025-07-11 08:48:34
0
user2932602988145
𝑗𝑜ℎ𝑛𝑠𝑜𝑛𝑖 𝑑𝑎𝑛𝑖𝑒𝑙 :
minaona simamisheni madereva wote wapelekeni shule au nawashauli jamani madereva gomeni mbona mnateseka sana
2025-07-11 16:17:38
1
babjoy17
@Bab joy :
Ndugu afande si unaona hata gar yenyewe ilivo??😂
2025-07-12 16:52:37
0
allaboutbusestz_backup
ALL ABOUT BUSES BACK UP🇹🇿 :
𝗛𝗜𝗢 𝗡𝗜 𝗖𝗟𝗔𝗦𝗦𝗜𝗖 𝗭𝗔 𝗞𝗔𝗠𝗣𝗟𝗔 𝗗𝗔𝗥 𝗕𝗛𝗔𝗡𝗔
2025-07-11 18:49:41
2
To see more videos from user @afmradiotz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About