tumemeliza kitabu chako cha " wapi watu wanatupa pesa ukaokote" sasa tuna ngojea kazi nyingine soon
2025-07-16 14:33:21
2
#Capricorn babe♑️ :
huyu kak sanamu lake tuliweke wapi jmn😍
2025-07-25 05:41:03
0
Malkiz🩶 :
nikitoka kwa anko t naingia kwa mtot wa fundi mota😂😂😂.
2025-07-17 11:58:06
2
Aysha2005 :
hongera sana bro umekuwa mtetez wetu
2025-07-16 09:36:41
13
Irene Ngowi 569 :
Hebu niambie kitu kimoja kaka kwa mf mm najiudumia mwenyewe ukituma sawa ukiacha sawa ukiona naenda kupumzika labda hotel kubwa na familia kelele shida nn wasukuma ndo mpo hvyo?
2025-07-17 10:24:26
1
Doppe waxy :
HIYO KWELI MDOGO WANGU
2025-07-16 10:02:00
1
gwankyo :
Mimi ni yule naeingia baada ya wewe mtu wake kumpa hela, Na ninaweza kua nauwezo wa kumpa x3 ya ulichompa, kila mtu anamalengo yake duniani 😂😂😂
2025-07-18 06:40:55
1
Neliasiame :
kaka naomba niwe mpenziwsko😂😂
2025-07-17 19:03:30
1
mapa :
sema Amani ufungue vijana walionyang'anywa mamlaka yao kwa kuhongwa na wanawake.
2025-07-16 11:16:18
3
user93285601875508 :
iv amani unajua nakupendaga natk uwe mme wangu
2025-07-16 11:41:36
1
Baby gelo 🦋🔐❤️ :
Nachangia mifuko ya simenti elfu 2000 kwaajiri ya sanamu la Amani pamoja na kokoto roli 10 kwaajili ya Amani 😂😂😂
2025-07-18 09:25:22
2
Beatrice William :
sijawai kuona unaongea pointless bro umebalikiwa kipaji kikubwa sana kuelewa mambo ubalikiwe🙏🙏🙏 endelea kupaza sauti ili wajinga wanaopenda kujifunza waelimike kupitia wewe🥰🥰
2025-07-16 15:46:04
1
anna sofia :
amani uwa hananikosha unaongeaga point nzuri kbx
2025-07-17 08:51:49
1
Cbofficial_2011# :
kaka dimile umesema lazima uwe na mtajii😂😂 duuh kama biashara t ani 😂💔 mtajiii mtajiii mtajiii 😂 hata kanisani tunaenda na sadaka 😂😂💔🙌🏾
2025-07-17 06:27:52
1
sonyoritha...doo :
una akili we kaka
2025-07-17 14:47:49
2
Doris Cons ♥️ :
yn wanaume wt wangekuwa na ufahamu km wa huyu kaka tungekubali mapenzi ya kweli yapo lkn kitu kinaitwa mapenzi ni pasua kichwa
2025-07-19 01:24:02
1
the modern king🤴 :
ukwel mchungu 💯
2025-07-16 20:14:54
1
vestina :
kaka unaongea ukweli
2025-07-17 07:13:45
1
bby U J❤️S :
kabsa bro 💯💸
2025-07-17 22:58:42
1
Mrs smile 😊😁🤗💝❣️🫀🌹 :
sahihi
2025-07-18 09:12:30
1
mamuu_authony :
nimekupend umeongea pointi kabisa
2025-07-25 13:55:10
0
Umary Nurdeen :
amani ndio mchambuzi wa tunaekutegemea kwa sasa
2025-07-16 07:28:50
20
kaylah mkumbo99 :
kaka unamiliki akili timamu bila kupepesa macho😆
2025-07-16 19:21:11
6
Diana🤍 :
Wangekuwa kama wewe kumi the world is endlessly
2025-07-16 10:04:19
1
To see more videos from user @amani_dimile, please go to the Tikwm
homepage.