@bdall51abdall51:

asma 🇹🇿🇴🇲
asma 🇹🇿🇴🇲
Open In TikTok:
Region: OM
Thursday 17 July 2025 12:48:09 GMT
30034
1178
707
91

Music

Download

Comments

loita289
loita🥰 :
acha usiku wa manane 😂hii gulf kunakunga na kesho kweli😂juu nalala leo naamka leo na leo ndio morning na leo ndio leo😂
2025-07-30 15:55:27
1
marriyumkhamis254
marriyumkhamis254 :
na wenye mko training ya kukuja gulf msifundishwee kuosha watoto huku hawaogi🤣
2025-07-22 10:46:06
8
user4618429692558
user4618429692558 :
huku watu wana.lala Leo wanaamka Leo sasa uo usiku WA manane unatoka wapi😅😅
2025-07-29 13:15:01
0
naichammy
Naichammy❤️❤️ :
shule zifunguliwe tu jmn uwiii nshachoka kukesha kwny majumba ya watu mbk sa nane kasoro usiku yn mtu anakaa kw watu mbk sa nane kasoro hakumbuki hata kwake 😩😩😩 hlf asubh natakiw kuamka wakwnz kuwapikia hao nlokesha naooo🥹🥹🥹😭😭😭
2025-07-18 15:52:33
11
yarawalid879gma
fau 😘🥰😍 :
hakuna Wala hamna kesho ni Leo tu🤣🤣🤣🤣
2025-07-18 09:08:59
27
lucychebet77thgmail.lucy
Lucy chebet❤️❤️ :
na stima inapoteanga kweli
2025-07-18 16:45:44
2
user28202814002696
❤️❤️❤️ :
☹️☹️mi mpaka nachanganyikiwa kulala saa7 kuamka saa1
2025-07-22 10:54:07
2
mony.ka.baddy
mama loise na ryan :
itoke wapi na hawa watu wanatembea kuliko ibilisi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
2025-07-18 14:12:40
16
halimakidesu
halimaaa :
labda mchana wa manane
2025-07-28 10:11:27
0
hadijakimolo800
Hadija Kimolo💖💖 :
Labda mchana wamanane ucku kwao mchana ndy maan wanamatumbo mk mifuko ya zubala
2025-07-18 10:08:34
2
elizabeth.sauti
Elizabeth Sauti :
hawa watu wakipisha na paka akihamisha watoto siyo kwa kuzurula huk🤣🤣🤣
2025-07-18 18:46:27
0
user3570286747820
mwanjey :
labda mchana wa manane.
2025-07-18 05:23:26
18
khadijah.omary0
Khadijah Omary :
usiku wa manani watu ndo wanijandaa kwenda harusini🤣🤣🤣🤣
2025-07-18 09:18:35
1
naahmzuwanda
Naah Mzuwanda Love :
cjawahi ona kwakweli maana saa 6 usiku unaambia muangalie hamoud anataka kuswim😂😂😂😂
2025-07-17 14:15:20
1
zuwena452
Zuwena :
Hapana kuna usiku wa masaba tu
2025-07-22 16:48:10
0
theebitch7
Nyar gi Dave :
Hii wahenga hawakunena..so it's like haiko🤔🤔...juu Gaidi na malazi ni kama,maji na mafuta but TikTok ni kama maji na maziwa..😅😅😅
2025-07-21 18:50:15
2
santa.kaingu
Santa Kaingu :
Uku n leo Akuna kesho 😂😂😂😂
2025-07-18 09:37:54
3
halimajumanne45
Halimaty juma :
huku hamn jaman maan mda wote milango inalalmika😂😂😂
2025-07-18 17:02:42
7
mourren.kwendo7
Mom Tanisha :
😂😂😂😂Wewe akili ndio ziko Kenya walai even me I was thinking about your question 🤔but weeee bora date ya Mashaharaa ndio najua na isipite
2025-07-18 21:09:12
0
dorismnywiga2
Doris mnywiga :
utoke wapi huo usiku wa manane, wakati wenyewe saa sita usiku ndio asubuhi, Yao minachoka😂😂😂😂😂
2025-07-18 04:50:30
3
halima.waziri1
Halima.waziri1 :
hakuna usiku huku wao usiku ndio mchana wanazulula kama kuku anaetaka kuataga😂😂😂
2025-07-18 16:08:12
13
sherryboos501
Sherry Boos :
amna mchana kwao usiku usiku kwao mchana
2025-07-17 17:26:01
1
asmaamakia6
asmaamakia6 :
Aisee kusema ukweli mi kwangu upo sema huwa nautumia vibaya🤣🤣🤣🤣🤣
2025-07-18 13:58:35
0
hasnahfarhan2
HASNAH FARHAN :
huku hakuna sasa km saa tisa ndio watarajia giza litande na saa kumi kumi na moja kamwe ndio saa tisa ishara ya jua waona saa kumi jua lachomoza saa kumi na moja jua lachoma km saa sita😅😅😅😅😂😂😂
2025-07-19 01:08:56
4
aidah6938
Aidah :
sijawai kuona usiku uku🤔
2025-07-18 19:00:45
1
To see more videos from user @bdall51abdall51, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About