sas nimsikie msenge anasema hinyimbo ni ya kwako hii nyimbo ya kwangu nimeiwahi
2025-07-17 18:12:49
132
@jeyyy❤️ :
last bron patten mkuje hapa🥰🥰🥰🥰🥰🥰
2025-07-18 12:16:08
9
sky james :
kudadeki tuondokee apo sikupend bonge la goma lik apo wanangu
2025-07-17 19:19:35
96
adellah :
kumamake ili goma kali kinoma
2025-07-18 19:16:57
8
innocent girl 🥰 :
Mungu akusimamie paten ufike mbali uwe zaidi ya wasanii wa apa bongo 🙏
2025-07-18 13:16:54
3
benjox :
mbona sauti inagoma goma
2025-07-18 14:45:54
3
kaijage plus :
hapo moyo wangu unaniumaaa daar amenikumbusha kipind na kina musa kwenye bahari ya shamu pale kwenye ile kona daah nusu nipagawe na goma hilo🤣🤣
2025-07-18 21:02:41
0
Asia Mengi :
Umasikin siyo kilema🥰🥰
2025-07-18 09:33:56
8
king.smile🤴 :
kila akifunga macho tu anamuona yule jamaa wa mjini Fm mwenye kikofia
2025-07-17 20:54:50
11
Mbazu Boy🌹🌹🌹🌹 :
hii imenigusa Sasa dog pateni mkaliii wee mitano tena🤜🤛
2025-07-17 18:51:55
32
Daiy🧸 Harithy :
😂nkiskia hil goma nakumbuk mjin fm paten na majaj wa masomo ya watu😂😂😂
2025-07-18 11:35:37
5
best used home quality Tz :
huyu dogo partnen anakitu Kwan Mondy hamuoni huyu jamn dogo kesho tukutane Kwa mteja kunta nikununulie ata passo
2025-07-18 07:29:23
2
Paťîŕck Śâlüm :
Jaman tuwe makin Sana na vitu kama hivi , unaweza ukajikuta unaingia kwenye matatizo bila kutegemea na hii ndo shida ya sisi watanzania na inatuponza sana unakuta mtu yupo serious kabisa anasoma comment yangu badala aandike yakwake.😂🥲😂
2025-07-17 19:11:12
6
Mo talent 💥 :
pole kwa uchovu wa kusoma comment 😂😂
2025-07-18 10:54:29
9
ryene gal🥰 :
yaaan huyu dog anadharau saan sjui anajikuta naani yaan kumpend na simtaki dadeq huyu msenge anajua sjui anatungia nyimbo nchi gan🤣🤣🤣
2025-07-18 06:01:13
3
toto badz🧿 :
watoto wa mama kupenda usiko pendwa ni mbaya yani unateseka mwanzo mwisho🥹🥹
2025-07-18 13:39:54
3
innoz_boe 2003 :
kashindikana🙌🙌🙌🔥🔥🔥
2025-07-18 13:06:46
1
Subira Kombo :
noma san mdgo wangu tuko na ww mpka waachane na ww
2025-07-17 20:06:29
7
Abdul Mbonde :
alafu kunambwa wanasema atoendelea daaah kisa kutoa mamb ya maisha yake ya shule daaah kwel kuna watu na viatu
2025-07-17 17:48:05
21
Stella Christopher :
😂🤣aya sasa kakazangu nyimbo yakuwaimbia kina wifi hiiapaa daedekii😂🤣
2025-07-18 11:58:35
0
Wa brand Tz🤗🤩😃😆☺💞🥒🥕🤞🥽 :
dogo Anajua sana
2025-07-18 13:40:42
1
iammrsj_fashionstyles :
Dogo patten unajua sana 😄😄😄ndio maana wanakufanyia figisu😁😁😁kaza dogo utafika mbali