ila huyu kumbe alishakuwa kiongozi bado kuapishwa tu🥰
2025-07-18 03:19:50
18
First boe_Drill :
Hamsi mwinyijuma na Mwananyamala mwinyijuma Kuna uhusiano gani 😂
2025-07-18 08:38:11
6
user8608660380766 :
Eti nae leo na muheshimiwa
2025-07-18 09:37:30
5
SWAUM RAMADHAN MWANAMKE KUJIAm :
watuy tunatoka mbali huyu hap kamaliza ugomvi wa paten na hao wajinga walikuw wanamlazimisha aonge mambo ya shule hiv
2025-07-18 06:05:38
6
RSB :
Ila alivyosema dogo patern kapewa umaarufu watu wanamaka,haya mkongwe huyo
2025-07-18 05:18:55
6
GACH-D SUMAILI120 :
nawaombea mpone haraka Wanawake wote ambao mpo period nimeanza kuwa miss 🥰🥰
2025-07-18 19:02:39
4
head current :
wakikuuliza unaendeleaje wajibu vizuri zaidi jana 💪
2025-07-18 18:00:12
4
ngametwa :
umeshakuwa Sasa kwenye sehemu ya maamuzi yafanye hayooo
2025-07-18 18:46:39
4
mtu_star :
Amefariki lini????
2025-07-18 12:04:01
2
Bravo_One :
Huyu jamaa ni Msomi 👌🏿🤌🏿👏🏿👏🏿👏🏿
2025-07-18 12:18:17
3
Emmajames :
Mimi ni single father, Baby mama ameacha kututumia pesa 😭
2025-07-18 17:55:36
0
userMkali More :
aaah.. ok, kipindi hiko ye ndo alikuwa anaeleza matatizo kwa Mheshimiwa☺️☺️☺️
2025-07-18 05:10:26
3
Emmanuel woisso 🦍 :
Patten alihojiwa na wale viumbe wa mjini fm kua ni kitu gan kimebadilika kwenye maisha yako akasema kua ni umaarufu tuu🙂 wale viumbe wakawa kama watoto wa darasa la pili😎
2025-07-18 21:15:53
1
Am_Chillah☝🏾 :
Akili kubwa
2025-07-18 17:07:47
3
plug_wa_motii :
Mbuyu ulianza kama mchicha. Lakini mchicha hauwezi kuwa mbuyu.