mnafkiii sana ndo maaana swala la lissu yupo kimyaa mbuuuu huyu🤣
2025-07-18 11:18:43
0
Godfrey yohana :
mbowe yuko kwajili ya tumbo lake
2025-07-20 13:00:09
0
BORN TO SERVE :
mbowe ni choko na ndo mtu pekee aliyekuwa anatuharibia siasa kwa tamaa zake binafsi,mbowe ni mwizi ,fisadi na tapeli wa kisiasa.
2025-07-18 08:40:38
21
Amos PambalaJr :
kazingua sana. tatizo alianzisha afu alitegemea kupigia pesa sasa kilichomkuta haamini macho yake. sasa walioibeba hio NOREFOMS NO ELECTION Wapo imara
2025-07-18 06:31:26
17
mr_kasongo_tz :
NO REFOMS NO ELECTIONS
2025-07-19 19:58:18
0
Nambole :
yaani alikosa hata ujasiri wa kukizungumzia hata kile alichokiasisi yeye mwenyewe.
mbowe ametuchelewesha Sana
2025-07-18 08:01:04
0
Musa Enock :
Mbowe kwa sasa ni mbwa wa mama kizimkazi. NO REFORMS NO ELECTIONS
2025-07-18 07:15:05
27
Mussah Rimoy :
hanamana kabisa mzee huyo
2025-07-18 17:12:53
0
user5373791865287 :
ni mwenyekiti aliyepigwa chini na mwamba lisu
2025-07-18 06:58:09
10
eddy :
khaan big up sanaa umesema kweli kbsaa
2025-07-18 07:25:03
14
user1531166161291 :
tatizo la kuwa na wachambuzi na Wana habari uchwara
2025-07-18 11:47:59
3
Chala boy :
UYU SIO MWENYEKITI MSTAAFU BALI WA ZAMANI MSTAAFU NI MTU ALIYE MALIZA MDA WAKE KIROO SAFI YEYE KAPIGWA CHINI KWA KURA TANGU AWALI ALIKUA PAPERT WA CCM
2025-07-18 07:51:59
5
aggyosmund :
kiukweli yale majibu yake ni kiashiria haiitaji ata shule kuelewa
2025-07-20 02:07:44
0
Kereyani Edward Julias :
mbowe huyo ametukosea wanachadema fala yeye mbwa yeye
2025-07-18 09:16:15
0
Willam victor :
ana njaa huyo . hakuna sababu ya kwenda mnafiki huyo .
2025-07-18 07:22:18
5
Mhagama junior :
ndio mjue alikua mwentekiti mtumia tumbo huyo
2025-07-18 09:16:46
2
ant virus :
watu wana akili mgando sana maana ile haikua shuhuri ya chama bali ni Taifa sasa nashangaa kuona wanamponda sana mbowe 😊
2025-07-18 08:31:55
3
Mwanazuoni :
No reforms no election ✌️✌️
2025-07-18 19:47:27
0
Chidy 💰 point :
Mzee kazengua kwanza alikua mafichoni kwa muda tangu uchaguz upite afu Leo ana ibukia kweny vikao afu kiongz mwezio yupo ndani vikao vyao huonekni afu bd kada wenzio Wana kulilia uwepo kwamba chamba kina hitji wazee Mzee huonekni afu una jiita Mwana chama yy nikongz sio ty Mwana chama Kani keraa
2025-07-18 08:43:29
1
chance kapongo :
mboye ni chawa wamama
2025-07-19 04:38:46
1
user9579366502186 :
No reform no Election
2025-07-19 15:20:32
0
To see more videos from user @noreformnoelection1, please go to the Tikwm
homepage.