@madam_leila: Kimya ni jibu bora zaidi linapokosekana jibu. . . . . #wengihawajui #wengihawafahamu #kayawellnesscompany

Madam Leila
Madam Leila
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 19 July 2025 14:10:55 GMT
234326
18219
592
1327

Music

Download

Comments

ummulayth
sumeiya adam🦋 :
Allah amekupa kipaji cha kuongea madam leila🙌🏼🥹Allah akuhifadhii
2025-07-19 15:04:40
129
user8752062023681
ikram imran :
nakupenda unanifundisha mengi. najifunza viitu tofauti tofauti nakushukuru
2025-07-22 13:09:53
2
saidabridalsboutique
Saida Bridal Boutique :
asante Kwa ushauri nimelia sanaaa Kwa uchungu Kwa msg yako
2025-07-22 20:08:07
0
user92334504074300
user923345040743 :
nakupenda xanaa madam kwa mxaada wako nakuwa jaxiri
2025-07-22 22:55:44
0
veroooofh
veroooofh :
nikiona post zako napata faraja
2025-07-19 14:25:09
38
jack.kimwel
David :
Madam hivi mwanamke alieolewa ni sawa kujipost post kwenye mitandao
2025-07-19 15:22:11
2
beib.wangu
beib wangu :
Me nataka aniachee lakini hataki nataka kuwa huru
2025-07-19 14:25:54
24
user23411791587597
Ridhy Nizer 🌹 :
Wacha uongo kma ngwai ngwai Yan mbaya mbaya
2025-07-20 02:18:05
10
9khadija22
khadija :
mwenyez mung amenipa nguvu na moyo mgumu wa kumkalia kmy mpk sasa aminii km ni mm niliekuwa namlilia 😁
2025-07-22 14:36:26
2
dayuumansini
Dayuu Mansini :
asante sn dada Nakupenda 🫶 umenipa nguvu
2025-07-23 05:38:11
0
user8771260661301
user8771260661301 :
unadeal aje na mwanaume mkiwa Kwa nyumba hakuongeleshi na akiwa na safari zake hakuambii anachukua tu bag na kuondoka
2025-07-20 08:52:52
1
milajiramadhan813
M nyawenga :
dada utatuuwakwamaneno yako lakin asantee unajua dada
2025-07-22 17:49:48
0
wathabi3
user4546501159367 :
siamini kama nimepona majeraha yale dah!! asikwambie mtu maumivu ya mapenzi na njaa hukimbia
2025-07-19 21:08:13
14
maggd65
k,b,d,💕m :
mim ni mke wa mtu na mwanamke alieko kwenye ndoa hatakiwi kujipost post sio vizur jamani mnaonekana kama maraya ila mi mwenzenu uwa naji post na nitaendelea kujipost mpanka umauti utakapo nikuta😂😂😂😂😂
2025-07-21 07:29:07
1
user62219868212700
Mwanaisha Mohammed :
😭😭madam leyla nyoyo zetu zinavuja machozi ya damu ndani kwa ndani Allah atufanyie mapito kwenye haya bila ya mazara 🤲🤲Shukrn madam kwa ktutia ngv
2025-07-20 09:11:11
8
mummy3517
Mummy :
assalam Alaikum madam Leila Nina dharura ya kuongea nawe sana nikupateje
2025-07-22 19:38:20
0
christiana.juma0
Christiana Juma :
Da Leila Nakupenda sana kwa jili ya Allah,ww ni mganga wangu mi tiba ya mafunzo kwako naipata, Alhamdulilallah 🙏🙏
2025-07-23 05:15:26
0
ree.bby3
ree bby😘😘 :
Ubarikiwe san madam leila ALLAH akuhifadhi cku zot kwaajil yetu tuko weng tunapitia mengi mazito ila tunapt uhauheni kwasababu yako ubarikiwe
2025-07-19 17:34:55
5
user52731108058796
user52731108058796 :
anaeniumiza wala hajuag km naumia ,
2025-07-22 19:26:33
0
hemed.s.r
Hemed Salim Rajabu :
waalaikum salaam warahmatullah Wabarakatuh Kila nikipitia post yako naona wengi wanacomment maumivu, ni dhahiri wenye maumivu ni wengi sana, hivyo kama unayaelew maumivu basi usikubali kuwa sehemu ya maumivu kwa mtu, usisambaze maumivu, kuwa sababu ya mtu kuamini katika furaha tena.
2025-07-20 10:20:41
4
asiawailfani
Asia Wa Ilfani :
dada niwe mtu mkwel niliongea had sasa nakonda ila umeshanipa somo hata sikia nimefunua tena mdomo wang
2025-07-19 20:55:47
3
sarahfashio
🅢𝕒𝕣𝕒𝕙 🎁 :
Wallah dada nakupenda sana 💕💕🙏🏻
2025-07-23 05:17:52
0
user396530411682
sweet mom :
kweli dadangu
2025-07-22 20:43:42
0
zuberi.haji.ali
Zuberi haji Ali :
asalam alaykum madam LEYLA, endelea kutufunza Isha ALLAH
2025-07-23 05:50:07
0
trustmwangulube54
Trust 🦋 :
😭 kwan uliniona wakat naachwa Leo😭
2025-07-19 20:25:55
5
To see more videos from user @madam_leila, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About