Allah amekupa kipaji cha kuongea madam leila🙌🏼🥹Allah akuhifadhii
2025-07-19 15:04:40
135
veroooofh :
nikiona post zako napata faraja
2025-07-19 14:25:09
40
glorious_gsm :
tangu nimeanza kukufuatilia nimepona haswaa nafurahia maisha napata raha najishangaa nilivyokua nalia yaan mimi saivi nikilia labda nimefiwa
2025-07-24 08:20:05
0
BintiShekh :
Madam Unadeal vipi na Comment mbaya mbaya, mbona mm zinanivunja moyo kuelimisha kunataka nguvu na moyo, wuuuueeeh, mtu hakuskilizi ww anakuangali ulivyo vaa, sauti, macho, uzuri akiona hakuna doa atanza mwanamke hafai hivi au hafai vile🤔🤔🤔🤔
2025-07-23 18:09:13
0
mnyonge siluma :
wewe ni kichwa hasa nakukubali sana,una vitu ambavyo unavyovitoa ni vya msingi sana,big up
2025-07-21 06:37:37
2
🎀finegirl raya🎀 :
dada sijui nikwambie aje Ila namaumivu Mimi Sina ata wakumueleza Ila najikaza watu wasione vile nayopitia Ila nikiwa mwenyew nalia san mtu amekumizaa na hajali😭😭😭
2025-07-19 18:13:08
60
Mwanaisha Mohammed :
😭😭madam leyla nyoyo zetu zinavuja machozi ya damu ndani kwa ndani Allah atufanyie mapito kwenye haya bila ya mazara 🤲🤲Shukrn madam kwa ktutia ngv
2025-07-20 09:11:11
10
zuhura170 :
Shukran kwa makumbusho bora yafaa
2025-07-23 16:29:58
0
David :
Madam hivi mwanamke alieolewa ni sawa kujipost post kwenye mitandao
2025-07-19 15:22:11
4
Dayuu Mansini :
asante sn dada Nakupenda 🫶 umenipa nguvu
2025-07-23 05:38:11
0
k,b,d,💕m :
mim ni mke wa mtu na mwanamke alieko kwenye ndoa hatakiwi kujipost post sio vizur jamani mnaonekana kama maraya ila mi mwenzenu uwa naji post na nitaendelea kujipost mpanka umauti utakapo nikuta😂😂😂😂😂
2025-07-21 07:29:07
2
beib wangu :
Me nataka aniachee lakini hataki nataka kuwa huru
2025-07-19 14:25:54
26
user4546501159367 :
siamini kama nimepona majeraha yale dah!! asikwambie mtu maumivu ya mapenzi na njaa hukimbia
2025-07-19 21:08:13
17
user8771260661301 :
unadeal aje na mwanaume mkiwa Kwa nyumba hakuongeleshi na akiwa na safari zake hakuambii anachukua tu bag na kuondoka
2025-07-20 08:52:52
2
Ridhy Nizer 🌹 :
Wacha uongo kma ngwai ngwai Yan mbaya mbaya
2025-07-20 02:18:05
11
chingatz :
ukweli nikwamba nimemuacha mkewangu aende anapo taka nimeshindwa kauli zake za kejel.kwasasa naisi aman ya moyo
2025-07-20 20:50:38
4
🅢𝕒𝕣𝕒𝕙 🎁 :
Wallah dada nakupenda sana 💕💕🙏🏻
2025-07-23 05:17:52
0
khadija :
mwenyez mung amenipa nguvu na moyo mgumu wa kumkalia kmy mpk sasa aminii km ni mm niliekuwa namlilia 😁
2025-07-22 14:36:26
3
officialruky😍 :
nna amani Alhamdulillah🥰🤗
2025-07-23 08:15:43
0
@Haitham maa :
nifanye nini ili anipe talaka yangu ili niwe huru maana vituko vyote ninavyomfanyia hajali
2025-07-19 17:24:39
3
user3212888870490 :
waleikum msalaam maami, very true
2025-07-23 19:05:22
0
Awena Salum Salum :
Allah Akuzidishie Afya na Kheir zake Yarabi
2025-07-24 08:22:31
0
Rahma :
kweli dadaa Allah akupe umri mrefu uzidi kutupa moyo
2025-07-20 04:46:32
12
Christiana Juma :
Da Leila Nakupenda sana kwa jili ya Allah,ww ni mganga wangu mi tiba ya mafunzo kwako naipata, Alhamdulilallah 🙏🙏
2025-07-23 05:15:26
1
Asia Wa Ilfani :
dada niwe mtu mkwel niliongea had sasa nakonda ila umeshanipa somo hata sikia nimefunua tena mdomo wang
2025-07-19 20:55:47
3
To see more videos from user @madam_leila, please go to the Tikwm
homepage.