Allah amekupa kipaji cha kuongea madam leila🙌🏼🥹Allah akuhifadhii
2025-07-19 15:04:40
129
ikram imran :
nakupenda unanifundisha mengi. najifunza viitu tofauti tofauti nakushukuru
2025-07-22 13:09:53
2
Saida Bridal Boutique :
asante Kwa ushauri nimelia sanaaa Kwa uchungu Kwa msg yako
2025-07-22 20:08:07
0
user923345040743 :
nakupenda xanaa madam kwa mxaada wako nakuwa jaxiri
2025-07-22 22:55:44
0
veroooofh :
nikiona post zako napata faraja
2025-07-19 14:25:09
38
David :
Madam hivi mwanamke alieolewa ni sawa kujipost post kwenye mitandao
2025-07-19 15:22:11
2
beib wangu :
Me nataka aniachee lakini hataki nataka kuwa huru
2025-07-19 14:25:54
24
Ridhy Nizer 🌹 :
Wacha uongo kma ngwai ngwai Yan mbaya mbaya
2025-07-20 02:18:05
10
khadija :
mwenyez mung amenipa nguvu na moyo mgumu wa kumkalia kmy mpk sasa aminii km ni mm niliekuwa namlilia 😁
2025-07-22 14:36:26
2
Dayuu Mansini :
asante sn dada Nakupenda 🫶 umenipa nguvu
2025-07-23 05:38:11
0
user8771260661301 :
unadeal aje na mwanaume mkiwa Kwa nyumba hakuongeleshi na akiwa na safari zake hakuambii anachukua tu bag na kuondoka
2025-07-20 08:52:52
1
M nyawenga :
dada utatuuwakwamaneno yako lakin asantee unajua dada
2025-07-22 17:49:48
0
user4546501159367 :
siamini kama nimepona majeraha yale dah!! asikwambie mtu maumivu ya mapenzi na njaa hukimbia
2025-07-19 21:08:13
14
k,b,d,💕m :
mim ni mke wa mtu na mwanamke alieko kwenye ndoa hatakiwi kujipost post sio vizur jamani mnaonekana kama maraya ila mi mwenzenu uwa naji post na nitaendelea kujipost mpanka umauti utakapo nikuta😂😂😂😂😂
2025-07-21 07:29:07
1
Mwanaisha Mohammed :
😭😭madam leyla nyoyo zetu zinavuja machozi ya damu ndani kwa ndani Allah atufanyie mapito kwenye haya bila ya mazara 🤲🤲Shukrn madam kwa ktutia ngv
2025-07-20 09:11:11
8
Mummy :
assalam Alaikum madam Leila Nina dharura ya kuongea nawe sana nikupateje
2025-07-22 19:38:20
0
Christiana Juma :
Da Leila Nakupenda sana kwa jili ya Allah,ww ni mganga wangu mi tiba ya mafunzo kwako naipata, Alhamdulilallah 🙏🙏
2025-07-23 05:15:26
0
ree bby😘😘 :
Ubarikiwe san madam leila ALLAH akuhifadhi cku zot kwaajil yetu tuko weng tunapitia mengi mazito ila tunapt uhauheni kwasababu yako ubarikiwe
2025-07-19 17:34:55
5
user52731108058796 :
anaeniumiza wala hajuag km naumia ,
2025-07-22 19:26:33
0
Hemed Salim Rajabu :
waalaikum salaam warahmatullah Wabarakatuh
Kila nikipitia post yako naona wengi wanacomment maumivu, ni dhahiri wenye maumivu ni wengi sana, hivyo kama unayaelew maumivu basi usikubali kuwa sehemu ya maumivu kwa mtu, usisambaze maumivu, kuwa sababu ya mtu kuamini katika furaha tena.
2025-07-20 10:20:41
4
Asia Wa Ilfani :
dada niwe mtu mkwel niliongea had sasa nakonda ila umeshanipa somo hata sikia nimefunua tena mdomo wang
2025-07-19 20:55:47
3
🅢𝕒𝕣𝕒𝕙 🎁 :
Wallah dada nakupenda sana 💕💕🙏🏻
2025-07-23 05:17:52
0
sweet mom :
kweli dadangu
2025-07-22 20:43:42
0
Zuberi haji Ali :
asalam alaykum madam LEYLA, endelea kutufunza Isha ALLAH
2025-07-23 05:50:07
0
Trust 🦋 :
😭 kwan uliniona wakat naachwa Leo😭
2025-07-19 20:25:55
5
To see more videos from user @madam_leila, please go to the Tikwm
homepage.