dada sijui nikwambie aje Ila namaumivu Mimi Sina ata wakumueleza Ila najikaza watu wasione vile nayopitia Ila nikiwa mwenyew nalia san mtu amekumizaa na hajali😭😭😭
2025-07-19 18:13:08
60
sumeiya adam🦋 :
Allah amekupa kipaji cha kuongea madam leila🙌🏼🥹Allah akuhifadhii
2025-07-19 15:04:40
136
glorious_gsm :
tangu nimeanza kukufuatilia nimepona haswaa nafurahia maisha napata raha najishangaa nilivyokua nalia yaan mimi saivi nikilia labda nimefiwa
2025-07-24 08:20:05
0
beib wangu :
Me nataka aniachee lakini hataki nataka kuwa huru
2025-07-19 14:25:54
26
David :
Madam hivi mwanamke alieolewa ni sawa kujipost post kwenye mitandao
2025-07-19 15:22:11
4
veroooofh :
nikiona post zako napata faraja
2025-07-19 14:25:09
40
chingatz :
ukweli nikwamba nimemuacha mkewangu aende anapo taka nimeshindwa kauli zake za kejel.kwasasa naisi aman ya moyo
2025-07-20 20:50:38
4
user4546501159367 :
siamini kama nimepona majeraha yale dah!! asikwambie mtu maumivu ya mapenzi na njaa hukimbia
2025-07-19 21:08:13
17
BintiShekh :
Madam Unadeal vipi na Comment mbaya mbaya, mbona mm zinanivunja moyo kuelimisha kunataka nguvu na moyo, wuuuueeeh, mtu hakuskilizi ww anakuangali ulivyo vaa, sauti, macho, uzuri akiona hakuna doa atanza mwanamke hafai hivi au hafai vile🤔🤔🤔🤔
2025-07-23 18:09:13
0
k,b,d,💕m :
mim ni mke wa mtu na mwanamke alieko kwenye ndoa hatakiwi kujipost post sio vizur jamani mnaonekana kama maraya ila mi mwenzenu uwa naji post na nitaendelea kujipost mpanka umauti utakapo nikuta😂😂😂😂😂
2025-07-21 07:29:07
2
Ridhy Nizer 🌹 :
Wacha uongo kma ngwai ngwai Yan mbaya mbaya
2025-07-20 02:18:05
11
Mwanaisha Mohammed :
😭😭madam leyla nyoyo zetu zinavuja machozi ya damu ndani kwa ndani Allah atufanyie mapito kwenye haya bila ya mazara 🤲🤲Shukrn madam kwa ktutia ngv
2025-07-20 09:11:11
10
@Haitham maa :
nifanye nini ili anipe talaka yangu ili niwe huru maana vituko vyote ninavyomfanyia hajali
2025-07-19 17:24:39
3
user8771260661301 :
unadeal aje na mwanaume mkiwa Kwa nyumba hakuongeleshi na akiwa na safari zake hakuambii anachukua tu bag na kuondoka
2025-07-20 08:52:52
2
khadija :
mwenyez mung amenipa nguvu na moyo mgumu wa kumkalia kmy mpk sasa aminii km ni mm niliekuwa namlilia 😁
2025-07-22 14:36:26
3
Rahma :
kweli dadaa Allah akupe umri mrefu uzidi kutupa moyo
2025-07-20 04:46:32
12
Asia Wa Ilfani :
dada niwe mtu mkwel niliongea had sasa nakonda ila umeshanipa somo hata sikia nimefunua tena mdomo wang
2025-07-19 20:55:47
3
Penny Africa :
kweli kimya ni jibu.
2025-07-19 15:52:49
5
Asha hamady :
nikweli ukhty leila napitia jayo nina wiki sasa toka aliponambia nisimpigie simu tena 😭😭🙏🙏🙏
2025-07-19 16:18:08
6
mnyonge siluma :
wewe ni kichwa hasa nakukubali sana,una vitu ambavyo unavyovitoa ni vya msingi sana,big up
2025-07-21 06:37:37
2
Hemed Salim Rajabu :
waalaikum salaam warahmatullah Wabarakatuh
Kila nikipitia post yako naona wengi wanacomment maumivu, ni dhahiri wenye maumivu ni wengi sana, hivyo kama unayaelew maumivu basi usikubali kuwa sehemu ya maumivu kwa mtu, usisambaze maumivu, kuwa sababu ya mtu kuamini katika furaha tena.
2025-07-20 10:20:41
4
Christiana Juma :
Da Leila Nakupenda sana kwa jili ya Allah,ww ni mganga wangu mi tiba ya mafunzo kwako naipata, Alhamdulilallah 🙏🙏
2025-07-23 05:15:26
1
Trust 🦋 :
😭 kwan uliniona wakat naachwa Leo😭
2025-07-19 20:25:55
5
ree bby😘😘 :
Ubarikiwe san madam leila ALLAH akuhifadhi cku zot kwaajil yetu tuko weng tunapitia mengi mazito ila tunapt uhauheni kwasababu yako ubarikiwe
2025-07-19 17:34:55
5
Zuberi haji Ali :
asalam alaykum madam LEYLA, endelea kutufunza Isha ALLAH
2025-07-23 05:50:07
1
To see more videos from user @madam_leila, please go to the Tikwm
homepage.