Ni kwel but sio wote tupo ivyo Me Nilishawai Kusumbuliwa san na Mke wa Rafiki angu, Nikaacha kwenda kwa Rafiki angu na sikuwai mwamby Mshikaji angu lakin nilkua natunza Sms zote za mkewe adi siku alipomfumania kweny Cm kwa voic note alizonipgy maan Cm ake ilkua ina record bila mwenye kujua, Apo ndipo Nami Nikamuonyeshe sms zote za mkewe na nikamwamby ndomaan Niliacha kuja kwako.
2025-07-23 10:14:54
10
Joseph paul :
ubinadam nikaz sana !kama hayajakukuta huez muelewa anaongeann!.
Hapa kichwa kilitulia jamaa tunawaitia kazi halafu wanakuja kuwa wazinguaji
2025-07-21 08:24:19
4
peace and love :
kidogo initokea kazini ila nilifanya juu chini aondoke kabisa sio wema mm unihalibie,mpaka saivi sina mazoea na kiumbe chochote kwenye utafutaji
2025-07-21 15:31:33
2
amrabat907 :
yes fact
2025-07-21 11:18:27
3
beni zanzibar :
uwakika mze wangu nakubali sana
2025-07-21 06:55:16
5
Bby’cathleen🌹 :
Nature ya watu kupata maisha makubwa kuliko jitihada zake 🤝🤝
2025-07-21 12:20:11
2
@RAJAB :
niliwah kuwa na mshkaji wa hivyo ukiwa na girlfriend ata taka ajionyeshe nae angeweza kuwa nae mkipishana kaul kwake n fursa ya kumwona yeye n chaguo sahih! kama hayajakukuta uwez elewa😁😁😁
2025-07-21 18:36:54
1
MoSeS_🇹🇿 :
MWANAMKE akikwambia "RAFIKI YAKO ANA NITONGOZA" ujue huyo hampendi au hamtaki. Anaye mtaka au kumpenda HAWEZI kukwambia habadani.
2025-07-21 16:56:27
1
Dr.ramsey :
sahih 😞
2025-07-21 07:00:38
3
To see more videos from user @mastory_bongo, please go to the Tikwm
homepage.