@roseminde93: Wanaume me nawapenda Bwana ❤️😍#tanzaniantiktok🇹🇿 #africantiktok #swahilitiktok #foryou

It's 🌹
It's 🌹
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 20 July 2025 14:23:54 GMT
121057
8516
810
760

Music

Download

Comments

sulle296
Sulle :
Huyu ndo msemaji wetu sisi wanaume kuanzia leo 🥰
2025-07-21 03:32:14
165
blessicon67
BLESS ICON💎 :
SKUPINGI MWANETU
2025-07-28 06:24:49
1
_.dalotteixeira_.21
Mani🤍 :
Maneno yako Mazuri Dadangu 🥰🥰🥰Ila nikuuulize utajuaje kama mwanamke Ni mama Bora Wa watoto wako.......?????
2025-07-21 12:10:32
10
samcobbar
sam cobbar :
Eeah Mungu baba nipe kama huyuu baba😔
2025-07-21 17:51:06
28
alex.makori
Alex Marcos :
ongea haraka nataka kujikuna n kisu kwa matako
2025-07-21 19:35:00
7
leynerleonard
Natalie :
Asante kwa ushauri wako
2025-07-27 21:08:44
1
gmedical
G medical @forever living prod :
kupata madini kama haya kutoka kwa dada mrembo bonyezaa 8.
2025-07-27 17:24:11
0
paul.kone67
Paul kone :
tumepata mtetezi wetu 🤗🤗🤗
2025-07-28 06:30:24
1
user7440530415819
CHARLES BOYZ :
asante sistar nimekuelewa
2025-07-24 11:17:22
1
tate4992
Tate :
Akili kama hii hatar sana❤️
2025-07-21 17:43:52
5
user5727876582936
حبيب :
siomke mzuri kwa macho, point. Mungu atustiri
2025-07-25 15:03:31
1
mrisha136
M-RISHA :
daa aisee umeongea jambo kubwa sana. mweny masikio na asikie
2025-07-21 18:54:29
2
luccah_02
Lucawise_👑💭 :
Semaji Letu😂🔥
2025-07-22 12:03:03
3
_aim4justice_
HR OFFICER :
Mtu unamuuliza vizuri tu mwanamke wako Nina 12M hapa nikufungulie biashara gani et anajibu hiyo nipe nkanunue Iphone 16 pro, nikanunue gauni zangu mpya, nikodi ukumbi nialike rafiki zangu waje kwenye birthday yangu
2025-07-23 12:41:31
6
user4731058819531
eneza kiska :
wanawake kama nyie mnapatikana wap smart girl bright akili nying kichwan.
2025-07-21 14:19:06
15
mwakabungu5
mwakabungumwakabu :
kama alivyo sema Sulle kwenye comment wewe ndio msemaji wetu wanaume kuanzia leo na vikao vyetu vyote utaingia😅
2025-07-27 05:04:45
1
official_shebyboy2
official_shebyboy😎🤠🤓 :
me ata sipo kwenye mada niko busy na lips zake na vimacho vyake vizuri 😁😁😁🥰🥰
2025-07-23 10:01:31
2
lildrill69
Lil Drill👨🏼‍🎤 :
Kwenye Vikao vyetu wanaume. Tume fikria sanam lako rijengwe Posta 🏬Um nili Sema ntachangia Nondo 40 na Mifuko ya smenti 35🫵🏻
2025-07-25 08:37:08
6
user9822544914669
001"N.E.T" :
mara ya kwanza kuona mwanamke mweupe mzuri tena ana akili unaweza ukakuta hana nyuma ndo maana anaongea point kama hizi 😂😂😂😅😅😅😅
2025-07-24 22:32:53
1
theguywhohavenomoney
theguywhohavenomoney :
utajuaje km huyu ni sahihi au siyo sahihi
2025-07-21 09:40:05
2
chris_hahaha
chris_goodvibes :
mmmh sioi nimegundua
2025-07-27 18:34:46
1
paul.peter53
Paul Peter :
Maan kila siku yeye analia shida tu mara hiki matokea yake kafungua Kesi mahakamani aisee Kesi yenyewe hakimu mwanamke sikutoboa hiyo Kesi naumia 😭
2025-07-21 23:26:28
6
king_of_don7
king_of_don7 :
😂😂……msemaji wa wanaume 🙌🙌🙌
2025-07-24 14:15:16
1
shebbyogg
Shaban Matembe :
mungu akulinde akupe maisha malefu namume sahihi nakuelewa sana yan kunakitukilinkuta kwenye mausiano Aseeee! mpaka naogopa kuingia tena kwenye
2025-07-21 12:46:57
3
barakamugan
Baraka E Muganyizi :
Dada yetu
2025-07-21 11:49:07
2
To see more videos from user @roseminde93, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About