@alphoncemaiga: Majini hayakai kwa tajiri #kenyantiktok🇰🇪 @Wasafi Media #chekatu #live #oscaroscar #live

Mtumakiniart
Mtumakiniart
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 22 July 2025 17:59:49 GMT
357312
15948
533
3122

Music

Download

Comments

daddytz1
OfficialDaddy🇹🇿 :
Point ni kwamba,,TAJIRI NDY JINI MWENYEWE
2025-07-23 03:13:45
152
dr_aingongo
Dr_aing'ong'o :
Ni kwanin Nguruwe ana mafuta mengi lakini hana presha kama binadamu
2025-07-25 07:06:05
2
aisha72050
aisha :
hata masikn hawana majin ila nilicho ngundua wanakuaga na jazba yamaisha mawazo yanakuaga yamezdi sana kchwan
2025-07-26 13:33:02
1
jayko_baghdad
JAYKO 🇹🇿 🇯🇲 🇿🇦 :
hii nchi ukiwa huna hela kila kinachoongelewa utaona unasemwa wew 2😁💯✌️
2025-07-23 10:04:12
50
gloriadachristina
gloria da christina :
Najiulizaka pia
2025-07-25 08:58:11
1
user1305777058268
@ hellen :
karibu mchezo wa kulike video 3 vipenzi
2025-07-24 08:14:34
3
danieledgar7312
Apostle DANIEL E. Timothy :
MPUMBAVU MJINGA WA MWISHO KABISA, Kasome Biblia utaona na kuelewa.
2025-07-23 03:41:29
8
fredrickmsamba1
fredrickmsamba :
tafutenhela huo ndo ukwel
2025-07-24 12:15:57
1
user2252211699630
Noely Stanley👉👉👉👉 :
Broo hayo n mawazo yako binafsi,na ndo uelewa ulionao kuhusu imanii cku ukijuwa kuwa matajiri ndo wamiliki halali wa majini usingeongea ivoo👹👹👹
2025-07-25 08:30:16
0
user9401304385263
Bizzour R 1 :
shetani ha hangaiki na watu ambao anajua any time tu akiwahitaji atawapata, so yy anakomaa na wale ambao ni wagumu masikini wengi wanaamin sana Mungu
2025-07-23 08:50:37
1
amina.ally612
Amina Ally :
kweli kabisa ata ukiangalia shule wale wapata ziri ndo huwa wanamajini
2025-07-23 04:40:51
0
rukayaali122
daluu :
Majini ni stress na hasa ukiwa huna pesa na hali ngumu yakimaisha ndo kabisaa na wakati mwengine inasababishwa na stress za ukoo unakuta familia ina hali ngumu yakimaisha na kila anaejaribu kupambana hafanikiwi hapo tena majini huanza 😔huwa ni msongo wa mawazo
2025-07-23 07:19:48
2
user1073594622184
justin🦺🇺🇬 :
ndio maana sijawai patwa na majini kumbe sio matatizo yetu sisi.
2025-07-24 17:41:01
1
agripina.mzuma
agripina mzuma :
kama kweli vile😂😂😂😂
2025-07-25 08:03:16
1
user7744583711220
CharlesChrispin :
jini au pepo linakaa kwa yeyote yule, sema tumetofautiana utulivu tu. Kakae nyumbani kwa tajiri, ishi nae kwa muda, utahisi umeonana na shetani laivu. utasema huyu mtu au pepo
2025-07-25 06:23:33
0
kurwa.mashaka8
Kurwa Mashaka :
tafuta hela tajil hapadishi mashetan
2025-07-23 05:26:59
11
hasassaeyyd
Hasas Saeyyd :
ndugu huna usichokijuaa ktk maisha inatakikana ufuatilie kwnza ndio useme
2025-07-23 04:30:21
0
dotto9306
dotto :
Mwamposa alimuombeaga mama yetu mweshimiwa samia ata hakudondoka lkn maskn niatali
2025-07-24 08:18:24
0
tausi.tausioman
Tausi Tausioman :
hili nalo neno kwakweli
2025-07-23 02:51:00
1
mfahidhina
mfahidhina :
wewe mjinga leo umeongea pointi
2025-07-22 21:15:40
70
evancefelician
🇪 🇻 🇦 🇳 🇨 🇾  🇬 🇺 🇾 :
mimi osicar nakubali kabisaa tajiri uwezi kumkuta kwenye ibada za mwaposa
2025-07-23 03:56:52
14
ballotel
Omary ⚽✌🏿 :
Ila😂😂😂😂
2025-07-24 09:33:22
1
ibrahimpatrick5
ibrahimpatrick5 :
TUTAFTE HELA TAJIRI HAPANDISHI MASHETANI😂😂
2025-07-24 10:55:06
2
zabibumakampu
Zabibu Makampu :
kwakweli umeongea kweli wa kwetu ushokora
2025-07-24 19:33:13
0
jeromemchaga.0g
Jerome@mchaga 0g :
Tajiri alogwii
2025-07-22 21:54:28
8
To see more videos from user @alphoncemaiga, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About