Mungu anipe roho ya kusamehe kuna watu walinisaliti nikapata maumivu nacheka nao tu ila Kila nikisikia ivi nakumbushia Mungu kuwa kuna watu walinichimbia shimo nipe roho ya kusamehe basiii kwan maumivu ayaishiii moyon😭
2025-07-24 04:05:57
41
The sicret herro :
Ameeeeeeeeen
2025-07-28 23:30:13
1
btptphr :
SAMAHANINI Wapendwa wangu iliji typ SIYO ISAYA NI [YEREMIA 15:20-21 ]
2025-07-23 19:05:06
12
sokaagape :
Amen 🙏 mtumishi
2025-07-24 11:44:44
4
user8539493398238 :
amina nmepokea 🙏🙏
2025-07-24 05:48:22
3
user0798313158 :
amen amen 🙏 may i receive that favour
2025-07-24 05:41:03
4
Jacklie Felix :
Ameeen nikweli kzn kuna mtu yeye furaha yake nikuona watu wanachukiana
2025-07-25 09:45:16
3
Mikali Sauli :
ameni mtumishii
2025-07-25 09:27:39
1
Ahimidiwe :
Watu wenye damu wazeee wa mashimo
2025-07-23 19:28:45
5
Angel~H💞 :
Adui yangu chimba kashimo kafupi mana mambo yanabadilika🤣
2025-07-26 11:29:37
6
martin david okendo :
Kwel pasta Kuna watu wanaroho mbaya sana Mungu atusaidie 🙏🏼
2025-07-28 06:22:42
1
gladness mkami :
kabisa asante unihubilia nimeelewa
2025-07-26 15:11:58
1
Da masoka :
nikweli
2025-07-28 05:51:56
1
Nadine :
watundukwe wale wabaya wangu
2025-07-25 13:47:49
2
user4325707727061 :
AMEN mabaya hayatanipata kamwe yatawarudia wao wenywe