@nabii_denis_tanzania: #THE_YEAR_OF_LABORING_FOR_GREATER_GLORY_AHEAD #

Nabii Denis Tanzania 🇹🇿
Nabii Denis Tanzania 🇹🇿
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 25 July 2025 00:46:30 GMT
192899
4964
758
1589

Music

Download

Comments

heartcode232
Heart Code❤️🔐 :
Tangu nmeanza kuzingatia kutoa fungu la kumi kwa uaminifu nayaona mabadiliko na sijawahi kupungukiwa ILO NDO NINALOLIJUA MIMI
2025-07-26 07:02:17
107
martini.enock
Mch.Martini :
Ibrahim alitoa zaka Isaka alitoa zaka wewe NI Nani hata upinge?
2025-07-25 06:38:25
33
rashid.alhabsi79
Rashid Alhabsi :
kweli kabisa
2025-09-21 16:03:15
0
mwanakijiji255
tusome wote :
Kumbukumbu la Torati 14:22 Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka.
2025-07-25 17:23:00
31
zakariaandrew56gm
[email protected] :
mimi sio mchungaji. ila sipendi wachungaji waongo. mimi akili yangu ndogo sana tena ya chini. sitaacha kutoa fungu la kumi. nimegundua wewe ni msomi. wewe ni mlopkoji. yale niliona kwenye kutoa sitaacha kamwe. basi bilia yote hiatusu.
2025-07-25 05:02:47
52
sifikasamwel1309
Sifikael✨ :
watu wengi tunatoa kama sheria na Wala sio kwa upendo
2025-07-25 06:21:46
18
honoratha49
Honoratha :
tupeleke wapi?
2025-07-25 12:46:42
1
coletha.manyala
Coletha Manyala :
Kuamini kwamba si lazima labda mawingu yaguse aridhi. Watu wa mataifa wanatoa zaka kwa miungu yao tena sana leo hii asimame mtu aniambie nisitoe zaka kwa Mungu wangu aliyenibariki!!
2025-07-25 11:00:53
0
u61752
Meshack_Pius :
Hii ndiyo shida ya watu kuamka na kukiita wachungaji bila kuwa na mizizi ya Imani, fungi la 10 halijatajwa kwenye kitabu kimoja pekee, watu wenyewe wanaotoa fungu la 10 wanaelewa wanachokifanya, Nenda Kalime Kaka wewe kuliko kupotosha watu...
2025-07-25 09:12:06
12
shamba225
shamba :
hapo lengo lako ni kufunga baraka za watu,wakikusikiliza kwa hili wakaacha kutoa zaka kuzimu inafanya sherehe
2025-07-25 18:25:06
1
sabinabm35
sabinabm35 :
Mimi natoa fungu la kumi kwa kusapot kazi ya Mungu tu, si kwa sheria wala mafundisho ya mchungaji.
2025-07-25 10:37:10
13
miychoice
Miy choice :
halafu naomba kuuliza zaka inatakiwa kwenda kwa wachungaji tu au unaweza kupelekea yatima
2025-07-26 04:13:02
0
ipyana70
WAMBINGUNI 7 :
huu ni upotoshaji
2025-07-26 14:34:52
3
joyceprecious82
Joyce Precious :
hili jambo lilikua linanisumbua sana, nimesoma maandiko nikawa sijaelewa na sina wa kumuuliza. asante kwa ufafanuzi huu, Mungu akubariki zaidi na zaidi🙏🙏
2025-07-25 06:15:15
1
simon.kanguya
Simon Kanguya :
asante mimi swali langu ninani anaye staili kula zaka?
2025-07-26 10:23:22
1
mikeshilinde
Mike :
mtumishi anawapa na maandiko mnaompinga toeni na maandiko msipinge tu
2025-07-25 11:00:33
3
arafa_mbegu
arafa_mbegu :
wasomi wengi ndio wanaongoza kwa ujinga😁.....
2025-09-15 08:22:01
0
creator.pilot.program5
@tiktok.creator.pilot.program :
Mimi Mchungaji wangu anadai fungu la kumi kama mshahara wake yaaan kiukweli saiv sitoi kwaajili staki ategemee fungu la kumi
2025-08-12 18:50:09
2
_ev.innocentmuzanye
Ev. Innocent Muzanye :
fact, ukisoma huduma ya ukuhani ya agano la kale, ambapo ukoo wa kikuhani, walipewa kukaa hekaluni tu bila kufanya kazi za kujiletea riziki ila ilikuw
2025-08-08 07:23:47
0
baba.moureen
Baba Moureen :
YESU ANARUDI SHIKILIA ULICHONACHO.
2025-07-26 11:30:03
9
emmanuel.mwanyong
Emmanuel Mwanyonga :
sitoi ili nibarikiwe sem nimebarikiwa ndo mana ninatoa😊
2025-07-28 14:33:13
7
leonidas.stephano
Leonidas Jr :
😂😂😂😂 kunywa soda nakuja kulipa
2025-07-25 01:19:35
10
darprintingandstationery
darprintingandstationery :
Afadhali kwakweli,🙏🙏🙏 wengi tumeishi na mzigo wa kujilaumu na kujiwekea madeni moyoni …!!!!
2025-07-25 07:12:46
2
tupetindikali822
Md. Tupe. :
Nimeewa ila kwa mtu mchana wa imani anaweza kutafskri tofauti kidogo. 1) nimeelewa sisi tulio wa neema tunapaswa kumsikiliza sana Roho mtakatifu anasemaje kwenye eneo la utoaji. 2) nimeelewa kwamba kutoa sio kulazimishwa ni ibada ya upendo kwa Mungu.
2025-07-25 07:12:54
4
To see more videos from user @nabii_denis_tanzania, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About