Dada angu alishawahi nunua picha tu za ukutan inamtu kwenye hiyo picha siku moja ikamkonyeza imagine
2025-07-25 10:00:31
500
beatykessy75 :
huyo labubu n mchawi kabsa nlimuwek kwenye droo usiku nakakuta kmenipandia sjuh kalitaka kunibaka😩😩
2025-07-25 14:50:02
227
@nekesa :
💕:tulikiane video 5 plz😂
2025-07-27 04:55:16
24
Khalid Mazroui :
Sisi waislam tumekatazwa hiyo midoli na mapicha kwny nyumba. Tufate tamaduni zetu. Hizo za hawa mashetani tuache
2025-07-25 20:13:48
262
Tannah cute bear. :
kwel kabx
2025-10-17 07:22:40
0
official eth💕♥️ :
mamaangu alinunua kioo kidogo cha kubandika ukutanii tumekaa nacho week mama akawa anajiangalia kwenye kioo damu zikawa zinatoka pembeni ya kiooo akamuita jirani wakazungumza mama akachukua kioo akaenda nacho njee akakipasua na jiwee ndani ya kioo ukatoka mwanga mweupe ukayeyuka yani kama mtu
2025-07-25 15:08:54
174
pinky_poshy :
Kweli mm ni shuhuda ivi vilabubu sio poa vinanisuka hadi yeboyebo
2025-07-25 12:51:18
151
Sister Bahati ❣ :
labubu Wanauza wapi nimnunulie Mama mkwe wangu😁
2025-07-28 09:01:04
68
phynahgee :
Umefanana na yemi Alade
2025-07-25 17:33:15
600
allaboutda.only.vee :
Iyi sikweli niko nailo labubu and it’s doesn’t do anything